Eee!! Sorry mpendwa km nimekuumiza.Yani ulivyoguna nmejisikia vibya ina maana humu kuna watu wananionaga kuwa nina tabia mbayaπ€π€π€π€
ππEee!! Sorry mpendwa km nimekuumiza.
Unataka dadangu aolewe na huyo kilazaπ€chuga hatunaga chawa kama huyo
Hunaga mambo mengi mtoto wa watu...Umekaa kishari shari sana mkuu.π₯
Anajua kuyakata Mauno na jamΓ a anajua kusukumia Mwichi au na sisi tufanye yetu shemu lake? Sikutangazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipe connection hiyo shem
Halafu wewe ni kambeya sana πMhmm
Hahahaha namwelewa sana sema anakuaga na mambo mengi ka mwal. mpyayungu village[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binti Maua chuma kikali ooh!!
Sawa bwanaHahahaha namwelewa sana sema anakuaga na mambo mengi ka mwal. mpyayungu village
Sawa nini jamaa kashafunguka ingia king Sasa hapo myamalize mkafanye matusi,Sawa bwana
Mimi sio mrahisi kihivyoo aiseeSawa nini jamaa kashafunguka ingia king Sasa hapo myamalize mkafanye matusi,
Mrahisi kivipi Sasa una utamu kiasi gani kwani inasoma 0 km/hr au ishatumika km ngap?Mimi sio mrahisi kihivyoo aisee
Kweli mnakuwa wema hapa ngoja basi tuwe na mawasiliano mnaanza sintofahamu unakuwa hueleweki hapo hujawa naye hata kimapenziUlipost wapi? Ningeona tangazo ningejaribu bahati yangu kwa mrembo Unique Flower
Kutumika usitumike aisee hapo inategemea na mapenzi if nikimpata atakayenitoa pangoni nitafurahi sanaMrahisi kivipi Sasa una utamu kiasi gani kwani inasoma 0 km/hr au ishatumika km ngap?
Weweee twende faragha kwanza nikakusaminishe hapa mafisi wengi, PM imefungwa πKutumika usitumike aisee hapo inategemea na mapenzi if nikimpata atakayenitoa pangoni nitafurahi sana