Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
We binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?
Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?
Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
🤣🤣🤣🤣 Mpaka sasa script unayo tayari, subiri movie kamili… very soon usijali."Nilikutana nae 2014, tukapendana, nikazingua, nikaomba msamaha, anakisamehe, mwanaume bora kuliko wote"
Nifah ebu siku fanya mpango utupe hio story nzima maana kila siku unatupa introduction tuu alaf unarudi maneno yaleyale.
Waingereza husema;
"PUT UP OR SHUT UP"
(Jokes)
Usisahau kuni tag🤣🤣🤣🤣 Mpaka sasa script unayo tayari, subiri movie kamili… very soon usijali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekucha....
Ila ya huko PM na kwingineko jitahidi yabakie huko huko. Kuyaleta hapa public hakuna faida yo yote sis mbali na kufurahisha baraza na makundi sogozi ya humu.
Ila inaonekana umeanza kukua sasa. Songa mbele mpaka umpate yule uliyeandikiwa na Mungu wako [emoji1545]
Nakazia wapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Jf na hekaheka za mapenzee🤠![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣Swali la kizushi, hao wandewa, si walipiga hyo nyenye?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatar sana shouzzJf na hekaheka za mapenzee[emoji1783]!
Noumaaa narobotatu!
Msifike huko jamanWe binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?
Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
😯😯😯😯😯😯😯We binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?
Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
Mi nishavuka uko ss hivi Kantry nammiliki na jf tumeachana nayo 🤣🤣🤣🤣
Wee kumbe!! Safi hiooo hapo mmejua kutuziba midomo!Mi nishavuka uko ss hivi Kantry nammiliki na jf tumeachana nayo 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 kuachana bado ndio kwanza tumeanza, ngoja nimwambie aingie mara moja akupe hi!Wee kumbe!! Safi hiooo hapo mmejua kutuziba midomo!
Watasema mmepigana kibuti 🤠!
Tukomesheee tukomesheee! Na inaonekana yamemnogea kweli ana siku hajaonekana humu!🤣🤣🤣 kuachana bado ndio kwanza tumeanza, ngoja nimwambie aingie mara moja akupe hi!
Mapenzi yamemnogea hata kuingia huku ss hivi hataki anasikia uvivu 🤣🤣🤣
Watu wenye fikra kama zako mara nyingi huwa ni mashoga.