Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tumkomesheee tukomesheee! Na inaonekana yamemnogea kweli ana siku hajaonekana humu!
Huyo mganga wako usimuache[emoji1783]!
Mganga Yesu udugu [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumkomesheee tukomesheee! Na inaonekana yamemnogea kweli ana siku hajaonekana humu!
Huyo mganga wako usimuache[emoji1783]!
Tupewe maua yetu.Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Amina kubwaaa!!Mganga Yesu udugu [emoji23][emoji23][emoji23]
0689 nauliza vipi mambo😂🤣🤣🤣 kuachana bado ndio kwanza tumeanza, ngoja nimwambie aingie mara moja akupe hi!
Mapenzi yamemnogea hata kuingia huku ss hivi hataki anasikia uvivu 🤣🤣🤣
Kweli aisee hata kuingia jf tena naona hakuna jipyaTumkomesheee tukomesheee! Na inaonekana yamemnogea kweli ana siku hajaonekana humu!
Huyo mganga wako usimuache[emoji1783]!
Huku naona hamna tena jipya[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeanza
Tuyaache hayo kwanza!!
Udugu Antonnia alikuwa anakuulizia eti umeadimika au utakuwa umenipiga kibuti?!!
Huku naona hamna tena jipya[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe huyo!!!
Ulichokitaka si ushakipata
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ehee ninapenda kupigwa na ile fimbo ya kwenye suruali[emoji2222][emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Una maanisha wewe ni bikra?Aisee acha tabia mbaya sijalala na mtu mie
Powa, kuna story hapa nimesoma sasa hivi ya mdada ana business anaanza nimekutag checkTuondoke me kushanichosha huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Powa, kuna story hapa nimesoma sasa hivi ya mdada ana business anaanza nimekutag check
Hivi ???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Thubutuuuuu!!!
Wewe sema unataka kumchezea dada wa watu humu
Serious checkUmeanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa me nahusikaje?!
Nimeiona hun na nimetoa ushauri kwa uchache ila kuna kitu ndani yake.Powa, kuna story hapa nimesoma sasa hivi ya mdada ana business anaanza nimekutag check
Umeanza 🤣🤣🤣Serious check
Wewe ni business mogul
Chuma, jembe[emoji23]Umeanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]