Experience yangu mbaya na gari za Toyota

Experience yangu mbaya na gari za Toyota

Asante.... Kwa experiense yako ni brand zipi za nissan za kuavoid.. maana kwa japan mm ni mpenzi wa nissan hizi pathfinder, navara, murano yenye engine q35 six cylinder si hizi 4 cylnder. Na kama ninayo nn cha kufanya iwe salama?


1. Cube 2009-2013

2. Murano 2003-2017

3. Juke 2010-2017

4. Maxima 2004-2016

Kuna Brand zingine za nissan Kama Rogue, Rogue sport, Altima, Sentra, Versa na Versa Note sijaziona sana Tz lakini nazo kina miaka ina majanga.

Hizi ni baadhi tu. Wanasema zikishaanza kugonga 130k km gearbox zinaanza kusumbua.
 
1. Cube 2009-2013

2. Murano 2003-2017

3. Juke 2010-2017

4. Maxima 2004-2016

Kuna Brand zingine za nissan Kama Rogue, Rogue sport, Altima, Sentra, Versa na Versa Note sijaziona sana Tz lakini nazo kina miaka ina majanga.

Hizi ni baadhi tu. Wanasema zikishaanza kugonga 130k km gearbox zinaanza kusumbua.
Shukran sana mkuu.
 
1. Cube 2009-2013

2. Murano 2003-2017

3. Juke 2010-2017

4. Maxima 2004-2016

Kuna Brand zingine za nissan Kama Rogue, Rogue sport, Altima, Sentra, Versa na Versa Note sijaziona sana Tz lakini nazo kina miaka ina majanga.

Hizi ni baadhi tu. Wanasema zikishaanza kugonga 130k km gearbox zinaanza kusumbua.
Mkuu, hapa ukiangalia list, 90%+ zinakuja na gear box ya CVT.. vipi pamoja na kua na inherent weaknesses za design, je regular changing ya CVT fluid ie After every 30,000km (being CVT fluid NS-2 or NS-3) haiwezi saidia kuongeza uhai wa hizi gear box za jatco?
 
Mkuu, hapa ukiangalia list, 90%+ zinakuja na gear box ya CVT.. vipi pamoja na kua na inherent weaknesses za design, je regular changing ya CVT fluid ie After every 30,000km (being CVT fluid NS-2 or NS-3) haiwezi saidia kuongeza uhai wa hizi gear box za jatco?
Hizi gear box za CVT za Nissan kutoka Jatco ugonjwa wake unaaza hivi.
...Kutembea nayo wakati fluid ipo chini ya minimum level..

...Kujaza fluid kupitiliza
...Kutumia fluid nje ya zilizopendekezwa
...Kuondoa gari kwa kukanyaga mafuta mengi..
CVT inataka uiche ichanganye yenyewe na inachanganya faster.
 
Mkuu, hapa ukiangalia list, 90%+ zinakuja na gear box ya CVT.. vipi pamoja na kua na inherent weaknesses za design, je regular changing ya CVT fluid ie After every 30,000km (being CVT fluid NS-2 or NS-3) haiwezi saidia kuongeza uhai wa hizi gear box za jatco?

Ndio maana si zote. ni model tu kadhaa.

So far ilikuwa ni ishu kubwa sana mpaka mwaka 2016 nissan wakalazimika kuextend warrant ya gari zao kutoka 60,000miles kwenda 120miles.

Hiyo ilikuwa hata mtu akitunza vipi gari yake lazima akumbane na shida.

Japo wanasema tatizo lilikuwa kwenye Oil cooler ya transmission ambayo ilikuwa inaweka cracks na hivyo kupelekea transmission kuoverheat na kufail.
 
Hizi gear box za CVT za Nissan kutoka Jatco ugonjwa wake unaaza hivi.
...Kutembea nayo wakati fluid ipo chini ya minimum level..

...Kujaza fluid kupitiliza
...Kutumia fluid nje ya zilizopendekezwa
...Kuondoa gari kwa kukanyaga mafuta mengi..
CVT inataka uiche ichanganye yenyewe na inachanganya faster.

Most of hizo models nilizotaja Oil cooler ya Transmission ilikuwa inaanza kuweka cranks ukishafika around 100,000+km. Hivyo hata mtu atunze vipi gearbox yake. Lazima tu ingeoverheat na kufeli.

Ndio Maana mwaka 2016 Nissan walilazimika kuongeza warrant kwa wateja wao kutoka 60000 miles mpaka 120000 miles.
 
Boss nina volkswagen polo ya 2006 hapa.

ina tatizo moja naomba msaada.

kila siku Asubuhi napata shida kuiwasha, yaani inawaka vizuri tu then ndani ya sekunde kadhaa ina stall... nikijaribu mara kadhaa haraka haraka naingiza gia nakukanyanga accelerator mpaka mwisho, inakua na power ndogo sana inaondoka kwa shida, then inachanganya haraka na inakua normal.

baada ya apo hata nikizima nkaiwasha inawaka vizuri tu.. shida ni hapo nikizima niache mpaka asubuhi ndo inaleta shida.

pia ikikaa idle mda kwa muda mrefu unazima yenyewe.

nawasilisha
 
Boss nina volkswagen polo ya 2006 hapa.

ina tatizo moja naomba msaada.

kila siku Asubuhi napata shida kuiwasha, yaani inawaka vizuri tu then ndani ya sekunde kadhaa ina stall... nikijaribu mara kadhaa haraka haraka naingiza gia nakukanyanga accelerator mpaka mwisho, inakua na power ndogo sana inaondoka kwa shida, then inachanganya haraka na inakua normal.

baada ya apo hata nikizima nkaiwasha inawaka vizuri tu.. shida ni hapo nikizima niache mpaka asubuhi ndo inaleta shida.

pia ikikaa idle mda kwa muda mrefu unazima yenyewe.

nawasilisha

ina maana engine inakuwa haina nguvu ikiwa ya baridi?
 
Back
Top Bottom