Cruel conman
Member
- Jan 29, 2024
- 34
- 118
Kijana vipi mbona kama unataka waru waishi unavyotaka wewe? Mood zinatofautiana kulingana na siku so ukiona mtu analeta ujinga kila thread/siku wewe muignore. Lakin pia angalia anajitengezeaje identity yakeKwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Zamani nami nilikuwa falla kama yeye, kuwa siriaz gizaniMaoni lazima yawe na ladha tofauti.
Jf ni burudani tosha kwa wengi. Hivyo sometimes chukulia sawa tu. Mtu aweza kujibu kuchangamsha ukumbi tu, lakini ana madini ya kutosha.Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Mwenyekiti wa chaputaKijana pumzika sasa, kapige hata nyeto.....
Aanze kutembea mikono katanua kama kabana vipimajoto makwapani!?🤣🤣🤣🙏Kijana pumzika sasa, kapige hata nyeto.....
Lakini wewe...basi tu😂Kijana pumzika sasa, kapige hata nyeto.....
Kijana amekoomaaa yuko siriazi hadi mishipa ya taco yamsimama😂Hata shilingi ina pande mbili.
it is very simple,Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Senior expert member kajibu😅😅Kijana pumzika sasa, kapige hata nyeto.....