Expert Members wengi wanaongoza kwa reply za hovyo tofauti kabisa na expectation zetu

Expert Members wengi wanaongoza kwa reply za hovyo tofauti kabisa na expectation zetu

Kasongoo yeyeeee mombali nangai kasongoo yeyeeee mombali nangai kasongoo mbona weoooo..... Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa
 
Nakumbusha kigezo cha kuwa expert Member ni likes na Number of post ulizoandika.

Hivyo haihusiani na akili za mtu
 
Ila tuongee tu ukweli vinaja wengi tuna ujinga mno tembelea kwenye vijiwe na mikusanyiko ya vijana kisha sikiliza content zao !
 
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Wataje tuwawekee kikao
 
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Nn maoni watyu wako special kwa kicheko hata uandike msiba wanamalizia na kichekoo
 
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Kula hiikitu ntalipa nimecheka sana..
Dj nipe ule wimbooo na hata sasa Bwana ametupiganiaaa pigania kwa ushindii tukashindaa zaidi ya kushindaa kwa yeye alietupendaa

Kishindk cha ....
 

Attachments

  • Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    Screenshot_20240311_133144_Instagram Lite.jpg
    323.4 KB · Views: 1
  • 2021-06-02.jpg
    2021-06-02.jpg
    42.4 KB · Views: 2
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Dunia mzunguko wake utabaki vilevile kama ilivyokuwa kabla ya kutoa maoni yako
 
yaaan kuna mtyu kabisaa anaweka gb2 kupata serious comments 100perc
Jf kweliii??

Nacheka kwa huzuni
 
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Inabidi ujiulize kwanza kigezo cha kuwa expert member kabla ya kuwa na matarajio makubwa toka kwao.

Nadhani wengi wetu tumepata hadhi ya expert members kutokana na muda tuliokaa jukwaani, idadi ya mabandiko na comments siyo busara.

Uzee siyo kipimo cha busara japo.
 
Kwa jamiiforums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Kweli wewe chizi!

Yanga na Simba zimeanzishwa miaka ya 1935 na 1936 mpaka leo hawana viwanja vyao kwa kuchezea mechi!
 
Back
Top Bottom