covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
acha na mimi nijifunze kutoka kwako mkuu!Zamani nilikua nataka Tanzania tujikomboe kifikra ila Kwa Sasa nimeamua kuipenda hivo hivo bila kutamani chochote kutoka kwake,ni kama uzae mtoto mlemavu ambae yupo kitandani mda wote mwisho wa siku hutamani Tena apone unajifunza kumkubali Hali yake na kumpenda hivo hivo.