Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

nikikuambia kwa hapa, wanga wengi.

Kwanza hebu nipe angalizo. Una kadalili kokote ka kunipenda au japo ka kunitamani kwa mbali?
Ha ha ha nimependa hii style ya kung'oa
 
mmh! naona kama vile WATU wanafahamiana vile toka kitaa...sasa sijui nimpende nani(voice wonder)...anyway mi ni mgeni hapa MMU but sio mgeni JF ha ha ha ha ha WAUNGWANA nikaribishe katika jamvi hili bandugu
 
Last edited by a moderator:
mmh! naona kama vile WATU wanafahamiana vile toka kitaa...sasa sijui nimpende nani(voice wonder)...anyway mi ni mgeni hapa MMU but sio mgeni JF ha ha ha ha ha WAUNGWANA nikaribishe katika jamvi hili bandugu

nakupenda ding dong
 
Umeona eh. Hii mitongozo analogi hawa mabinti wa digitali hata hawanielewi. Ngoja nirudi kwa wake zangu cacico, BADILI TABIA na Kongosho nikaimarishe ndoa za ujana wangu.

Chelewa chelewa babu utakuta si wako maana kuna vijana madigital a.k.a mamarioo hawacheleweshi kuwachukua mabibi hao.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…