asante sana mkuu Ruttashobolwa kwa kusambaza upendo kwangu nami ngoja nisambaze kwa wafuatao
naanza na wewe mwenyewe, Daudi1, uran na mkewe Valentina, Evelyn Salt, kiwatengu, Rich Pol Mentor, Mzizi Mkavu, Mtambuzi, Arushaone, Window7, Mamndenyi, watu8, The Boss. naona list haiishi
nitaendelea siku nyingine
OLESAIDIMU umeniita?Ennie uko wapi!!!!
OLESAIDIMU nakupenda kama ubuyuuuu!
OLESAIDIMU umeniita?
Wee bana waache warembo njoo kwenye forum za Wakenya utufahamishe kwa nini katika utajiri wa mijini, hamna mji hata mmoja wa Bongo upo kwenye ishirini bora Afrika, ilhali Nairobi yetu ipo ndani kumi bora. Yaani hata Dar es Salaam imeshindwa na Mombasa. Waite wenzio wakusaidie Kimweri Bulldog Geza Ulole Askari Kanzu https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ouseholds-earning-over-$10-000-each-year.html
Kwa style hii, naona hata warembo wa Kibongo tutawateka wote, hapa Nairobi kuna jamaa yangu kamteka na kumuoa mtoto mrembo wa Iringa. Afu jinsi anavyobabaisha kwa Kiswahili chake kitamu, vijana wengi wameanza michakato ya kutalii Bongo.
Cant you express!!!!?????
Nilikuwa napekua pages nione kama kuna mchepuko!!!
I Love You hny!!
No mchepuko mamy!!!!!
Labda mathna kama utasababisha
Nakuangalia tu!!
Niisababishe mie tena?
Ha ha ha aaaaaaa umetokea vuuup!!!!!!:A S-frusty2::A S-frusty2:
Eeeeenh wewe huyo ukilizua!!!!!!!!!!!!!!
Yaaani kazini ni..................:lalala:.....ukirudi nyumbani nako.........:horn:.............itakuwaje unadhani
asante sana mkuu Ruttashobolwa kwa kusambaza upendo kwangu nami ngoja nisambaze kwa wafuatao
naanza na wewe mwenyewe, Daudi1, uran na mkewe Valentina, Evelyn Salt, kiwatengu, Rich Pol Mentor, Mzizi Mkavu, Mtambuzi, Arushaone, Window7, Mamndenyi, watu8, The Boss. naona list haiishi
nitaendelea siku nyingine
Usitie wasi atajitokeza tu mwenyewe..hebu mtaje bwana
Haha haaaaaaa!!!
Mpaka nimecheka kwa sauti yaani!!!
Cheka huku unazingatia!!!!!!