Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sawa jamaa hakufa,yan mm pale mwisho ilivo isha nilitaman kupasuka aise .ila kama kuna mda yule dogo ovi alivokuwa swimming kuna mda kama jamaa alionekana kwa mbalii
Mkuu huko Telegram unapataje movies?!Neflix naona inakula Ela bure tu wakati telegram move zote mpya unazipata fresh tu move moja kwa gb1 au mb 800
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi, yule mlinzi wa ovi alimuambia mke wake kua boss wake accounts zake zimefungwa so hela iliopo haitoshi kwa ajili ya mission iweze kukamlilika.Nadhani hukuekewa lile gemu. Hawakusema kuwa hawataki kumpa hela ila aliye wapa ule mchongo aliwazunguka hivyo Tylor anaona ili apate pesa yake lazima atoke na yule mtoto.
Sehemu tu iliyonichnganya ni pale yule mlinzi wa ovi alipowashamvulia waokoaji swali ni kwamba sasa ni nani alitoa hiyo tenda ya uokoaji?
God save us
Sasa ilikuwa je Taylor amuite tena amkabidhi dogo wakati akijua ndio amewazunguka?Iko hivi, yule mlinzi wa ovi alimuambia mke wake kua boss wake accounts zake zimefungwa so hela iliopo haitoshi kwa ajili ya mission iweze kukamlilika.
Pia boss alimpa kitisho kule gerezani akamwambia muokoe mwanangu(Ovi) kama unataka kuona birthdays zengine za mwanao (aki maanisha atamua mtoto wake).
Sasa jamaa akawalipa pesa nusu akina Rake, so ndo maana akaanza kuwaua baada ya kumuokoa dogo ila awazurumu pesa iliobakia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimetoka kuichek now, bonge la movie,Mzee baba kama ni marks za uchambuzi umepiga A hapo.. ni kweli jamaa hajafa, ila ingekuwa na part two. Naona kuna masnitch wamebaki bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia izo channel mhili Kama unataka move na sereas iyo ya telegram move iiMkuu huko Telegram unapataje movies?!
Shukrani mkuuAngalia izo channel mhili Kama unataka move na sereas iyo ya telegram move ii
Na telegram sereas izo zingine Kama utakua mpenzi wa move za kikorea Ila move za UKWEL ni season zote ni izo mbili ApoView attachment 1437041
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau movies za Thor,mwamba anaitwa chris hemsworth jamaa ni mu australia huyo..ndio kacheza movie inaitwa 12 strong pia ni hatari yan ya kijesh pi
Licha kutokufa ila ukiangalia nwshon ndogo kipind anaogelea alipotoka kuna mtu alikuwa anamuagalia
View attachment 1435672
Ila naona mnyama Tyler kama bado yuko hivi hasa hiki kipande cha mwisho alionekana kama yeye vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Bad endingKama kweli hakufa mi naipa 5/10
Haiwezekani apigwe risasi ya shingo alafu aendelee ku survive
Jamaa umeongeza na chumvi kidogo japo swala LA kukaa majin n sawa ila inampaje nguvu risasi alivyopigwa vile na ilikuaje akapona me bado naona bad endingHuyu jamaa nimefatilia.. huyu jamaa ana uwezo wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu sana (kama umeangalia hii Movie kuna kipande jamaa kaka kwenye maji kafunga miguu kwa muda)
So jamaa alivyopigwa risasi na kujitupa kwenye maji.. kule jamaa akufa (yaan kuna nguvu flani anaipata akiwa majini) ndo maana movie inaisha dogo pembeni yake jamaa yupo kwa mbali.
Na kama ukijua jamaa aliweza ku survive kwenye maji ni sawa na Dogo mwishoni mwishoni alivyojaribu kukaa majini kwa sekund tu so it means jamaa kujitupa majini ndo pona yake na ndo maana ata wale wenzake awakuweza kumsaidia sababu wanamuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app