Ezekiel Kamwaga: Taratibu tatizo la Ushoga linakuzwa sana japo lipo mbali sana kati ya matatizo yanayotukabili

Mleta mada ndio una akili mdogo sana ushoga ni tatizo kubwa sana kuliko ubongo wako
 
Kati ya nyie na nchi zilizohalalisha ushoga zipi zina uchumi mkubwa na zimeendelea?

Unaweza kupinga ushoga ila jenga hoja zenye mashiko. I don't condone ushoga ila sababu zenu nyingi ni za kijinga
Jaribu kujua tofaut kati ya zilizo na zinazo.


Familia Historia zao za awali mpk sasa utajua hilo.
 
Hoja fikirishi...
 
Kuna miaka hapo nyuma kidogo, enzi za uwepo wa magazeti ya hovyo yaliyokuwa yakiitwa ya udaku...

Ushoga ulitangazwa sana kwa magazeti kupambwa kwa picha za mashoga wakijulikana kama aunt fulani au aunti sinui nani...

Pengine tunachokiona sasa, ni mojawapo ya mavuno ya hayo matangazo ambayo hayakukomeshwa wakati huo...
 
Ila mie sijaelewa ushoga unawafaidi nini wale wanaoshabikia. Lakini pia napata shida kutambua vizuri ni kwa nini watu huku Afrika wanavutiwa na kuwa mashoga ukiachana na wale wanaozaliwa na matatizo.
Kikubwa zaidi nashangaa namna suala linavyoshughulikiwa na kusemwa kwa nguvu sana. Hapa Tanzania kuna walimu wamemaliza chuo mwaka 2014 mpaka leo hawajapata ajira. Miaka miwili sasa Tanzania maisha ni magumu sana; nafikiri mzunguko wa hela umepungua,nk. Je, hizi shida ni ndogo kiasi kwamba jambo hilo jipya lijadiliwe zaidi kuliko haya mengine?
Lakini kama wanaojiingiza ushogani inaweza kuwa ni ugumu wa maisha; basi namna ya kuondoa ushoga ni kubadilisha maisha ya wananchi yawe mazuri na yenye nafuu ili idadi ya washoga ibaki tu ile ya wanaojitakia
 
Swali la uelewa: Hao mnaosema wanafadhili hayo mambo machafu, wenyewe wanafaidikaje na huo mradi labda?
 
Unataka kusema watu wakiacha kukemea ushoga watu ndio watapata ajira?
Kuhusu suala la ajira watu wanasema sana hasa humu jf.
Suala la maisha linasemwa sana humu pitia nyuzi
Hadi tiba na afya inasemwa
Katiba ndio kabisaa.

Kwanini kwako kukemea ushoga ndio kukufanye uone shida zingine ni za msingi.?
 
Binafsi unawajua mashoga na wasagaji wangapi? Sio wa kusimuliwa.
Amandla...
Nimeongelea concept yenyewe kwanza siko interested kupoint mtu hapa.Kama lengo ni kutaka kujua ukubwa wa hili tatizo ni kwambie tu kwamba ni kubwa sana.

Kama unahitaji kutambua hilo angalia kwenye social media hii topic ikiwa ndio mada.Look at those who argue for na rudi hapa uniulize nawajua wangapi.Hoja zao wote ni zile tu:human rights,sijui mambo ya msingi mbona hayaongelewi,sijui nyie mbona uchumi wenu mbovu,sijui ajira zimeenda zikarudi and blah! blah!.

Hizo human rights mnazosema ziko violated ni zipi? Hii concept ya human rights imekuwepo lini?na je hii concept ya ushoga ilikuwa accommodated in the first place?Jibu ni hapana.Ndio hizi principles ziko flexible(They can change to fit in a new context).But my question is,ni watu gani mlikaa mkakubaliana kwamba na ushoga uwe part of what is called human rights?Kama makubaliano yapo tayari niwatikie a nice trip to hell(I won't be part of this madness)
 
Sasa wewe una base imani yako ya idadi ya mashoja kutokana na yanayoandikwa katika social media? Hauoni kuwa wangekuwa wengi kiasi hicho usingekosa kumjua angalau mmoja miongoni mwa rafiki zako, ndugu zako, wafanyakazi wenzako, wanafunzi wenzako, majirani, mnaokunywa nao, mnaosali nao n.k. Kote huko hujamuona hata mmoja lakini unaamini kuwa jamii yetu imejaa mashoga!

Nadhani haujui suala la human rights. Ungeijua usingeiita concept kama ambavyo usingesema kuwa kuna concept ya ushoga. Usingediriki kusema human rights ni flexible. Inaelekea umekariri maneno bila kujua maana yake.

Kitabu kitakatatifu kinatuasa tusiwe wepesi wa kuhukumu wenzetu maana hukumu ni ya Muumba peke yake. Unaweza kushangaa unaelekea hell peke yako.

Amandla....
 
Unachotaka kujustify hapa wewe ni nini?

Hukumu iliyotoka ni hipi?Kuna mtu katajwa hapa?Nimekwambia always wanao argue for na hoja zao.Then what?

Human rights ni concept ndio kwamba hulijui hili? Ushoga pia ni concept ambayo iko visualized katika behavior.

Kukupa mfano wa social media nimejaribu kukuonyesha hii concept ambavyo inaweza kukubalika kwa wengi na ikawa internalized at the end ikawa character.We unaweza vipi kuargue for katika debate zinazohusu ushoga(not you but those who support this one).

Human right ni flexible ndio,flexibility yake hiko hivi,vitu unavyoweza kupewa wewe na kunyimwa viko embeded katika time and context.Ndio maana kuna vitu viko granted let say Kenya but denied in Tanzania(except those called universal human rights like right to live and so).Marekani ushoga ni haki ya binadamu,vipi huko kwenu ni haki pia? sasa ndio ujue kwamba human right is a concept and have this flexibility nature.

Vitabu vitakatifu vinatuhasa tusihukumu ndio ila vitabu hivyo pia vinakuruhusu ukubali mambo ambayo ni batili sio(najua wewe hukubali ila nlitaka kujua wewe unataka kudefend wanaosupport hii concept ama?)
 
Kama nilivyosema, umeenda shule lakini haujaelimika. Tunaposema concept tunamaanisha kuwa ni kitu cha kufikirika na sio halisi. Kitu ambacho tayari kinakuwa implemented sio concept tena bali ni reality. Kuna wakati kweli human rights zilikuwa ni concept kwa sababu zilikuwa bado hazijakubalika katika jamii. Ziliacha kuwa concept 1948 baada ya Umoja wa Mataifa kutoa Declaration of Human rights. Tunapozungumzia Human Rights tunazungumzia hiyo na siyo nyingine.

Marekani hana "human rights " ya kwake bali ana bill of rights inayohusu raia wake. Kinachokuwa debated ni nani anahesabiwa kama human. Kama tunakubaliana kuwa shoga ni human basi hizi rights zinamhusu bila kujali yuko Marekani au Tanzania. Tunaposema kuwa haziwahusu tunakuwa tunamaanisha kuwa hatuwatambui kuwa ni binadamu. Tunapoambiwa kuwa tutambue human rights za mashoga ni kuwa tunaambiwa tuwatambue tu kuwa ni binadamu.

Aidha, ushoga sio concept ni reality. Walikuwepo, wapo na watakuwepo. Ushoga sio koti ambalo wanavaa na kulivua kutegemea na mazingira.
Unazungumzia vitu vilivyo batili bila kujiuliza nani anavifanya kuwa batili. Uamuzi wa kuwa unayoyafanya yanakubalika utafanyika siku ya hukumu yako ambapo utakuwa peke yako mbele ya muumba wako. Tumeambiwa tutahukumiwa kwa namna tulivyowatenda kila moja ya viumbe vyake, mashoga wakiwemo. Haupati hasara yeyote ukiwatendea wema bila kuwanyanyapaa hata kama haukubaliani na matendo yao.

Amandla...
 
Nadhani na wewe unataka kupotosha kwani human right inatakiwa izingatie cultural diversity hivyo right ya kutambua ushoga Marekani siyo lazima iwe hivyo Tanzania ambako customs zetu hazi-embrace kitu hiyo.Wadau wengi hawapingi rights of existence as human being ya hao mashoga,lakini tabu ni hapo sasa Taasisi mbalimbali kama some NGOs kuhamasisha our young generation Ili wajiunge na kadhia hiyo ambayo hata workforce yetu ya kesho Kwa mfano Jeshini cjui itakuwa na quality yenye utata.Kama Museveni alivyosimamia hoja yake kuwa kama Mashoga wote wangekuwa ni inborne kutokana na kuzaliwa hivyo basi kungekuwa na hoja ya kutopiga vita ushoga .Nashauri,Kila anayejadili hii mada avae viatu vya mfano wa mzazi ambaye kapeleka mwanae shule halafu baadae anakuja kugundua baadae kuwa kijana wake si ridhiki simply tu Kwa sababu kuna NGO ilimshawishi na kutoa incentive mbalimbali na kum-recruit kuwa shoga,it is so painful
 

Hii tafsiri yako ya concept na kinachosemwa hapa naona unanchanganyia madesa ndugu.

Universal declaration of human rights ya 1948 ndio ilifanya human rights kutoka kuwa concept mpaka ikawa reality sio?So,kwahiyo unataka kusema before that year there were no human rights?kwamba binadamu hakuwa na haki ya kuishi? au kwasababu wakoloni hawakuliandika ndio maana unapata shida.Sema the concept human right was coined into language in that year and other formalities were established but not your blah! blah!

Haki za binadamu zimekuwepo tangu mwanzo wa uumbaji(kama una amini katika uumbaji) au pale tu mwanadamu alipoanza kuinteract na mazingira kama theories mbali mbali zinavyoeleza(achana na vitabu unaweza kutumia akili yako hivi vitu ukavielewa na hicho ndicho tunaita maarifa)

Kwanini nasema ushoga ni concept au human right ni concept ni kwasababu viko perceived katika mind.Ushoga sio real but mashoga ni real unaweza kuniambia tofauti hapo?Living is real but not right to live(ukijua tofauti hapo utajua concept ni nini katika huu mkutadha)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…