Ezekiel Kamwaga: Taratibu tatizo la Ushoga linakuzwa sana japo lipo mbali sana kati ya matatizo yanayotukabili

Mbona mnakuwa waongo wa kupitiliza. Wapi nimetaja cultural diversity? Human rights ni moja tu na haijalishi context.

Mpaka sasa hivi hamna aliyesema hizo NGO zinazowageuza watu kuwa mashoga zinatumia mbinu gani ili waendelee kuwa mashoga na wanapata faida gani.

Huyo mtoto atakuwa alikuwa shoga toka awali lakini alipogundulika akaona awasingizie NGO. Hizi NGO zinazolaumiwa zinajihusisha na watu ambao tayari ni mashoga na sio kuwafundisha ushoga wasio mashoga. Hivi hapo ulipo unaamini kweli kuna mtu anaweza kukushawishi kuwa shoga kama hautaki?
Amandla...
 
Ukanda wa Africa Mashariki una watu wengi sana wenye akili ndogo. Watu wenye akili ndogo ndio huwa wanapenda kujikita kwenye petty issues na maisha binafsi ya watu wasiowahusu.
Haswaaa yaan lol
 
Kwa hiyo tunasubiri mpaka litakapokuwa karibu. Yaani kwa lugha nyingine bwana ezekiel anasubiri hadi kijana wake wa kiume siku amuage nyumbani kuwa anaenda kulala kwa bwana wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naombaaa wasome hapaa na waeleweee.
 
Kabla ya Declaration ya universal human rights kuna watu ambao walihesabiwa kuwa hawastahili kutambuliwa kama binadamu. Adolph Hitler alitangaza kuwa wayahudi sio binadamu kama wajerumani na akachukua hatua za kuwatokomeza katika uso wa dunia. Wazungu wa Marekani walimhesabu mtu mweusi kuwa sio binadamu kamili ndio maana wakaweza kuwageuza bidhaa inayouzwa na kununuliwa. Kuna sheria Marekani ilisema mtu mweupe hawezi kuadhibiwa kwa lolote atakalomfanyia mtu mweusi ikiwa pamoja na kumuua kwa sababu hana tofauti na mnyama anayemmiliki. Katika sehemu nyingi, wanawake hawakuhesabiwa kuwa ni binadamu kamili ndio maana hawakuwa na haki ya kupata elimu, kupiga kura na walipoolewa waume wao walikuwa na haki ya kuwafanya lolote wanalotaka.
Ni baada ya vita kuu ya pili ya dunia, ambapo ulimwengu uliona uovu unaoweza kufanyika kama kundi moja (wajerumani) litahesabu lingine ( wayahudi) sio binadamu kamili ndio ikaja hiyo Declaration of Universal Human Rights. Neno universal liliwekwa kuonyesha kuwa haki hozi hazina mipaka. Ndio maana kumnyima haki ya kuishi kama binadamu mwingine mtu ambae ni shoga ni kukiuka haki zake kama binadamu.

Hayo mengine unayoongea ni gibberish tupu. Sitakujibu tena.

Amandla....
 
What about limitation of human right?
Au unaongea vitu huvijui.
 
What about limitation of human right?
Au unaongea vitu huvijui.
Limit pekee ya human right ni kuwa it does not cause any harm. Mwanzoni ilikuwa isi cause harm to other humans peke yake lakini siku hizi kuna watu wanai extend kwa wanyama, mimea na mazingira.

Ukiweza kuthibitisha kuwa uwepo wa mashoga unakuzuia kufaidi haki yako kama binadamu ndio watawekewa limit maana watakuwa wame cause harm. Bruised ego sio sababu.
Najua ninachoongelea. Kuliko wewe.

Amandla...
 
Sikuwa na interest ya kufanya debate na wewe hata hivyo nlishangaa kwanini ulijitokeza kufanya debate.Vyote unavyosema hakuna kigeni acha kurudia vitabu ambavyo nshamaliza kusoma.Kila la kheri simamia unachoamini kitakuvusha ila sio kututea ushoga
 
nilitaka kushangaa mashoga wasijitokeze kujibu mapigo.

unaogopa utakuwa cancel ughaibuni.wacha ushoga.,ushoga ni laana kamwaga.
 
Huenda na wewe ni shoga ndo sababu hujaelewa point yangu kuhusu cultural diversity as per current Human Right paradigm,Shame on you unakaza misuli kutetea ushoga bila kujali athari Kwa jamii at large
 
Huenda na wewe ni shoga ndo sababu hujaelewa point yangu kuhusu cultural diversity as per current Human Right paradigm,Shame on you unakaza misuli kutetea ushoga bila kujali athari Kwa jamii at large
Mkishindwa kutetea hoja zenu mnakimbilia kumuita mtu shoga. Nifahamishe basi hiyo cultural diversity imekuwa reflected wapi kwenye the Universal Declaration of Human rights.
Nitajie athari tatu ambazo jamii at large inapata kutokana na uwepo wa James Delicious.

Amandla...
 
Huyu hana akili, labda nayeye ni shoga ndiyo maana anataka tuone hili tatizo ni dogo
 
Rudi ukasome vzr yaani ulishakariri hiyo Universal Declarion of Human Right basi umemaliza? Nambie hiyo Universal Declaration of Human Right ilipokuwa issued has it been static au kuna other developments?
 
Rudi ukasome vzr yaani ulishakariri hiyo Universal Declarion of Human Right basi umemaliza? Nambie hiyo Universal Declaration of Human Right ilipokuwa issued has it been static au kuna other developments?
Mbona una jiumauma. Taja basi hizo developments zinazo zungumzia cultural diversity? Wewe umesema ipo, mimi nimesema haipo basi weka uthibitishe kuwa uko sahihi.

Amandla....
 
Mbona una jiumauma. Taja basi hizo developments zinazo zungumzia cultural diversity? Wewe umesema ipo, mimi nimesema haipo basi weka uthibitishe kuwa uko sahihi.

Amandla....
Hii siyo proper forum ya kuanza kukufundisha at free cost wewe champion wa ushoga .Nimekwambia kafanye research siyo kukurupuka na kukariri na ku misinterpret hiyo Universal Declaration of HR Ili ku- justify uchafu wako wa ushoga.Hizi habari za Human Right ni very diverse Kwa mtu uliyekwishapotoka kama wewe inahitaji muda wa kutosha which I am not ready to waste my time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…