Pre GE2025 Ezekiel Kamwaga: Tundu Lissu anaweza kuwa Dikteta mtarajiwa

Pre GE2025 Ezekiel Kamwaga: Tundu Lissu anaweza kuwa Dikteta mtarajiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Baada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.

Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.

Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.

Screenshot_20241230-154317.jpg
Screenshot_20241230-154317.jpg
 
A MamaBaada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.
Ezekiel Kamwaga no mwandishi wa habari, kwa hiyo ametoa maoni yake kuhusu uchaguzi huu. Kwa hiyo angesema mzazi amemtuma mwanaye kumuhomga Lissu, ungechukua mawazo yake Kamwaga na kusema CCM wameamua kumsimamisha mtoa rushwa?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Baada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.

Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.

Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.

View attachment 3188607View attachment 3188607
Ndio yule Chahali au mwingine,ili tujue kama tunapo pa ku komenti au laa?
 
Kamwaga yuko sahihi. Lissu akiwa kwenye udikteta wake alikuwa hamtambui hata Mbunge Kinani aliyechaguliwa na wananchi.
 
Siku anagombea; kinyume na mwenyekiti wenu? Pumbavu kabisa, Bora chama cha Ubwabwa aisee, at least he is honesty!
Vyawa wapo kazini na huu ni msimu wa kutengeneza pesa kutoka kwa hao wagombea.

Nailaumu awamu ya sita ya Samia, imetengeneza hulka ya watu kutoona aibu kujulikana kwamba wao ni wapambe wa tajiri fulani.

Ujinga wa Mwijaku na Baba Levo haukuonekana wakati wa awamu ya hayati JPM.
 
Vyawa wapo kazini na huu ni msimu wa kutengeneza pesa kutoka kwa hao wagombea.

Nailaumu awamu ya sita ya Samia, imetengeneza hulka ya watu kutoona aibu kujulikana kwamba wao ni wapambe wa tajiri fulani.

Ujinga wa Mwijaku na Baba Levo haukuonekana wakati wa awamu ya hayati JPM.
Mkuu, wanasema wewe ni chawa mwandamizi
 
Baada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.

Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.

Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.

View attachment 3188607View attachment 3188607
Yani wapumbavu wa ccm ndio tutegemee hoja za maana kutoka kwao.
 
Back
Top Bottom