johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwanamume asiye dikteta ni Sawa na muuza Uduvi TU 😃Mumeo dikteta sana, na haya masharti unakutana nayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamume asiye dikteta ni Sawa na muuza Uduvi TU 😃Mumeo dikteta sana, na haya masharti unakutana nayo?
Kuna Siku niliona BBC wanajadiliana na KAMWAGA masuala ya Siasa.Baada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.
Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.
Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.
View attachment 3188607View attachment 3188607
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz waoSasa Mdude na bangi zake ndio hovyo kabisa. Naona safari hii amechokolewa rumande mpaka haongei tena
Mdude kamuulize mamayenu huko lumumba anamjua vizuri Hadi akisikia jina lake tu anapandwa chembamoyo.Sasa Mdude na bangi zake ndio hovyo kabisa. Naona safari hii amechokolewa rumande mpaka haongei tena
Kina nani wanasema?. Mimi ni mzalendo kwa serikali iliyopo ikulu, nilikuwa nyuma ya hayati JPM na sasa nipo na Samia, ninaangalia zaidi substance inayoongelewa kwenye mada sichangii mada kivyepesi tu.Mkuu, wanasema wewe ni chawa mwandamizi
Wewe ni pilau la CHADEMA?Kamwaga ni Moja ya mabwabwa ya ccm.
Kabisa, asipewe nafasi CDM ataharibu mno!Baada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.
Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.
Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.
View attachment 3188607View attachment 3188607
kimkabidhi lisu(mwehu) uongozi wowote ni kuleta tafrani kama mwendazakeBaada ya Chadema kuupinga udikteta kwa miaka mingi, sasa wameamua kumkaribisha dikteta mezani kwao.
Mpaka sasa anapingana na maamuzi ya kila kikao cha chama cha kidemokrasia, anasema yeye mwenyewe ataenda kupindua maamuzi ya chama hata kama vikao havitaki.
Hapa ndipo chadema itapasuka kwa kuwa wajumbe wa vikao watamgomea, na inawezekana akapigiwa kura ya kutokuwa na imani na kufurushwa kama dikteta yeyote. Madikteta wengi wa aina ya Lissu huwa hawamalizi muda wao madarakani, baadhi yao ni Idd Amin Dada, Bokasa, na Mobutu.
View attachment 3188607View attachment 3188607
mwehu kama lisu[emoji18][emoji1784][emoji1784][emoji1784]Siku anagombea; kinyume na mwenyekiti wenu? Pumbavu kabisa, Bora chama cha Ubwabwa aisee, at least he is honesty!
Mnufaika wa hela ya AbdulHuyo ndiye nani naye!!?
Hapa kuna rushwa kubwa inatembea haswaSiku anagombea; kinyume na mwenyekiti wenu? Pumbavu kabisa, Bora chama cha Ubwabwa aisee, at least he is honesty!