Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

Ezekiel Wenje Chadema Haina Pesa?

K
Hahaha unamatatizo wewe, wapi nimesema mwanchama ni mimi tu? Na wapi nimeongelea habari za Lisu na Mbowe? Nikujue ili iweje sasa?

Kama unataka tujadili hayo ya Mbowe na Lisu ungesema tangu mwanzo.

Wafuasi wa Lisu mnamatatizo sana, mnataka kila mtu afikiri kama nyie. Sipendi tabia zenu kuhukumu watu bila ushahidi, manajaza watu ujinga mkiulizwa ushahidi hamna.

Chadema haifi, ila mjifunze kuwa na staha muelewe nini kinazungumzwa wapi na nani?

Sasa huo wizi wa Mbowe mliisha mshitaki mahakamani?

Tundu Lisu ni makamu mwenyekiti, haelewi wizi ni kosa? Mliisha mshitaki huyo Mbowe kwa wizi wa mali za chama?

Na kwanini hamjaleta internal na external auditor ili watuletee ukweli wa wizi huo?

Lini CAG report ilionyesha matatizo?

Wekeni financial statement tuone kaiba wapi kaiba lini, na kiasi gani?

Nyie mnampenda Lisu ndio chaguao lenu, acheni na wengine wawe na uhuru wa kuchagua. Mtizamo wako siyo wangu.

Hakuna tuhuma dhidi ya Mbowe mmewahi kuithibitisha popote. Hivyo yote mnayozusha ni uongo.

Lisu ni wakili, na ana mawakili wengi nyuma yake, wanaweza kujitolea kumfungulia Mbowe mashitaka, ya wizi na ubadhilifu wa mali za chama. Mmeamua kuyasema maovu yake hadharani, kwanini msiyapeleke mahakamani?

Lisu siyo Mungu, anamapungufu lukuki lakini mnayaona ni sifa kwasababu ya mapenzi mliyonayo kwake.

Kama chadema itakufa na ife tu, Lisu ana uwezo mzuri wa kuandika katiba ya chama bora duniani, atafanya hivyo na atasajiri chama kipya na wafuasi tayari anao, tatizo liko wapi?
Kila mwanadamu ana mapungufu yake lakini si kigezo cha wewe kutaka Mbowe awe mungu awe malaika wakati ni mwizi kama wezi wengine na huko mahakamani unakotaka apelekwe atapelekwa pindi uongozi mpya ukiingia madarakani na kuibua ufisadi madudu yake yote ikiwemo Rushwa ya Ngono kwa viti maalum kama RK na P Diddy
 
Hii 👇👇ndiyo hoja yako uliyojibu..

".....Msingi wa swali, ni kwamba wengi wanolalamikia pesa, hata siyo wanachama, na wanachama wengi hawachangii au kulipia ada za uanachama wao, lakini ndio wapiga kelele wa kwanza...."

Nikakujibu hivi👇👇👇

".....Kama sio wanachama wanaolalamika ni kina nani? Mawe au mbwa pori? Kwa uelewa na tafsiri yako wewe, mwanachama ni nani kwani? Tundu Lissu sio mwanachama? Heche Je? Mimi Je? Unanijua? Unawajua wanachama wote wa CHADEMA wewe...."

So, shida yako ni nini...?

Yeyote anayehoji matumizi mabaya ya fedha ndani ya chama ajibiwe...

Pesa za chama ziko wapi? Kwanini mnakiuza chama kwa ma CCM kwa mlango wa nyuma (rushwa za Abdul)?

We need changes. Tundu Lissu can lead to bring the required changes in the party...

Freeman Mbowe na genge lake MUST GO....
Mbowe huiba pesa za chadema na kujimilikisha kienyeji na baaadae huzitakatisha kwa kisingizio cha kukopesha chama au kujitolea pesa zake mfukoni, Pesa ya chadema inaibiwa bila kujua kisha kugeuka mali halali za mbowe ni wizi Hatari sana
 
Mbowe aliwageuza wanachadema mazezeta alikuwa akila pesa zao kiulaini sasa wameamka, hakuna mabaya yasiyo na mwisho, kila kitu kina mwisho wake, ingawa kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee wenje na Boniface watahakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti watambue kuwa chadema inaenda kuwa TLP NCCR na CUF ya Lipumba
 
Hii 👇👇ndiyo hoja yako uliyojibu..

".....Msingi wa swali, ni kwamba wengi wanolalamikia pesa, hata siyo wanachama, na wanachama wengi hawachangii au kulipia ada za uanachama wao, lakini ndio wapiga kelele wa kwanza...."

Nikakujibu hivi👇👇👇

".....Kama sio wanachama wanaolalamika ni kina nani? Mawe au mbwa pori? Kwa uelewa na tafsiri yako wewe, mwanachama ni nani kwani? Tundu Lissu sio mwanachama? Heche Je? Mimi Je? Unanijua? Unawajua wanachama wote wa CHADEMA wewe...."

So, shida yako ni nini...?

Yeyote anayehoji matumizi mabaya ya fedha ndani ya chama ajibiwe...

Pesa za chama ziko wapi? Kwanini mnakiuza chama kwa ma CCM kwa mlango wa nyuma (rushwa za Abdul)?

We need changes. Tundu Lissu can lead to bring the required changes in the party...

Freeman Mbowe na genge lake MUST GO....
Uliwahi kuhoji hayao matumizi ya pesa ndani ya chama na hawakukujibu?

Matumizi gani mabaya ndani ya chama, au ubaya wa hayo matumizi ni upi? Ungekuwa specific na maswala yako, toa mifano hai... " kaiba pesa kiasi fulani, hayo yana thibitica kwenye financial statement ya mwaka fulani". Mwizi hapigiwi kelele JF, bali anashitakiwa mahakamani.

Pesa zipi za chama unazouliza ziko wapi?

Lini CCM wamesema wana taka kuinunua chadema?

Hiyo Rushwa ya Abdul imethibitishwa wapi na nani?

Maana hakuna yeyote mnayemjua kapokea hizo pesa, na kiasi gani, kutoka account gani na kwenda account gani au hata cash?

Mnapiga kelele tu, kama mnaushahidi muuweke hapa nasi tuuone tuwaunge mkono, na siyo maneno matupu.

Mmeanza lini kuisema hii rushwa, hamjapata ushahidi tu mpaka leo?

kama ushahidi upo upelekwe takukuru au mahakamani na wahusika wachukuliwe hatua.

Nyie mna-mtaka Lisu, siyo change.

Lisu ni makamu mwenyekiti wa Chadema. Kwa kipindi alichohudumu kwenye nafasi hiyo kama anauwezo wa kuleta change angeshaileta. Au tuambie tangu kawa makamu mwenyekiti kafanya nini kuashiria uwezo huo mnaouona leo?

Weka mfano wa mabadiriko aliyoleta akiwa makamu mwenyekiti, au alichukua cheo akakaa tu kama wengine, halafu mnasema ataleta mabadiriko akiwa mwenyekiti?

Nyie mko karibu na Tundu Lisu, manchotafuta ni kumuingiza madarakani ili muweze kupata nafasi za uongozi ndani ya chadema. Mmezikosa chini ya Mbowe, hivyo mmemfanya adui wenu.
 
K

Kila mwanadamu ana mapungufu yake lakini si kigezo cha wewe kutaka Mbowe awe mungu awe malaika wakati ni mwizi kama wezi wengine na huko mahakamani unakotaka apelekwe atapelekwa pindi uongozi mpya ukiingia madarakani na kuibua ufisadi madudu yake yote ikiwemo Rushwa ya Ngono kwa viti maalum kama RK na P Diddy
Ukisema aliiba nini, lini na wapi kwa ushahidi, wala hatutozungumza yoote haya. lakini shutuma za maneno tu bila ushahidi wowote, mnapoteza muda wenu.

Rushwa za ngono hazihitaji atoke madarakani, Lisu na wanasheria wenzake wanafahmu hilo.

Aliyeombwa rushwa ya ngono nani ajitokeze kwa ushahidi isije kuwa tu kama Chiku Abwao na Mrema, ushahidi wa kutengenezwa ccm.

vinginevyo ushahidi uliopo na mlio nao unatosha kumpeleka mahakamani siyo lazima atoke, hiyo pekee inaweza kumuondoa madarakani, kushitakiwa kwa wizi wa mali za chama.

Sema hamna ushahidi mnatafuta huruma za watu wasiojielewa.

Ufisadi kama upo upo tu hauwezi kusubiri mtu atoke madarakani, kama mnao ushahidi mahakama inaweza kumuondoa, kwa kusaidiana na ofisi ya msajiri, ili apishe uchunguzi.

Mungu siyo Mbowe, Mungu ni Lisu mnayetaka kila mtu amtizame mnavyomtizama nyie.
 
Mwenyekiti kutoa fedha kwa sababu ya nafasi aliyopo kunafanya chama kiwe mradi binafsi wa mtu, ni mwendelezo wa upumbavu wa mtu mweusi tu.

Kama ana mapenzi na chama anashindwa nini kutoa fedha hata akiwa mstaafu mwenye heshima zake? Ndio maana miaka yote kuna utata kwenye matumizi ya fedha za chama, kumbe mhuni anajilipa kwa riba fedha anazoukopesha mradi wake!

Tundu Lissu kwa uadilifu wake kavumilia mengi, kwa muda mrefu, sasa kaona imekuwa too much kaamua mbwai mbwai. Kwa mtu mwadilifu ni mtihani sana kuvumilia uchafu kwa miaka kibao, ila matapeli wanaonufaika na mfumo huo kama akina wenje hawaoni shida na wanaweza kuzungumza proudly hadharani.

Waliokuwa wakisema CDM ni SACCOS ya Mbowe sikuwa nikiwaziingatia hasa kutokana na CV zao za kijani zilizolaanika, lakini naona sasa ni muda wa kukubaliana na shetani japo kwa hili moja.
Chadema ni duka saccos ya mbowe kwani huendesha chama kidikteta idara ya pesa yupo peke yake hata katibu mkuu mnyika hana mamlaka juu ya pesa za chama
 
Ukisema aliiba nini, lini na wapi kwa ushahidi, wala hatutozungumza yoote haya. lakini shutuma za maneno tu bila ushahidi wowote, mnapoteza muda wenu.

Rushwa za ngono hazihitaji atoke madarakani, Lisu na wanasheria wenzake wanafahmu hilo.

Aliyeombwa rushwa ya ngono nani ajitokeze kwa ushahidi isije kuwa tu kama Chiku Abwao na Mrema, ushahidi wa kutengenezwa ccm.

vinginevyo ushahidi uliopo na mlio nao unatosha kumpeleka mahakamani siyo lazima atoke, hiyo pekee inaweza kumuondoa madarakani, kushitakiwa kwa wizi wa mali za chama.

Sema hamna ushahidi mnatafuta huruma za watu wasiojielewa.

Ufisadi kama upo upo tu hauwezi kusubiri mtu atoke madarakani, kama mnao ushahidi mahakama inaweza kumuondoa, kwa kusaidiana na ofisi ya msajiri, ili apishe uchunguzi.

Mungu siyo Mbowe, Mungu ni Lisu mnayetaka kila mtu amtizame mnavyomtizama nyie.
Ushahidi uletewe ghetto kwako? Ukitaka ushahidi subiria Mbowe ang’oke uenyekiti na madudu yake yote yawekwe wazi, wewe ni mnufaika wa wizi wa mbowe hata uletewe ushahidi utajitoa fahamu na kuukataa, endelea kula pesa za mbowe lakini mjue hakuna kisicho na mwisho, wizi wenu una mwisho maovu yenu yana mwisho kila baya lenu lina mwisho wake
 
Wanufaika wa wizi wa mbowe wanataka ushahidi ili wapate kubuni mbinu zingine za kuiba, ushahidi hampewi sasa siku ya mwisho wa kampeni ndipo kila kitu kitawekwa wazi ili wapiga kura waamue sasa
 
Ushahidi uletewe ghetto kwako? Ukitaka ushahidi subiria Mbowe ang’oke uenyekiti na madudu yake yote yawekwe wazi, wewe ni mnufaika wa wizi wa mbowe hata uletewe ushahidi utajitoa fahamu na kuukataa, endelea kula pesa za mbowe lakini mjue hakuna kisicho na mwisho, wizi wenu una mwisho maovu yenu yana mwisho kila baya lenu lina mwisho wake
Hahaha kumbe huna hoja ni chuki binafsi zinakusumbua. Mbowe hang'oki na madudu yake sijui mtatembea nayo mpaka lini au mpaka wapi.

Najua hamna ushahidi, mnaweweseka tu.
 
Wewe binafsi, kabla uzi haujaa wanga, umewahi kutoa mchango wowote chadema, au kulipia ada ya uanachama wako?
Sio lazima kuchangia, Sabodo alichangia chadema milioni 100 akiwa mwana ccm...unasemaje hapo?!.
Mbowe miaka 21 uenyekiti inatosha sasa, twende na lissu kiboko ya ma ccm yote!
 
Akikujibu, NDIYO au HAPANA unataka umfanye nini kwani..?

Mbona mantiki ya swali lako ni kama umeshaandaa na kisu cha kumchinjia kabisa akikupa Jibu lolote...?

Maana yangu ni kuwa, your question is out of logic...!

Unapaswa kujadili hoja badala ya kuuliza swali la kijinga na la kitoto kama hili...

BACK TO THE TOPIC:

1. Nitofautiane kidogo na mleta hoja kwenye eneo la "idadi ya wanachama". CHADEMA si kweli kuwa Ina wanachama registered 500,000 tu nchi nzima. Wanachama registered wa CHADEMA wako zaidi ya 5,000,000 nchi nzima. Sisi ndio watunza database ya chama...

2. Nakubaliana na mleta hoja kuwa, tatizo la CHADEMA sio fedha bali ni kukosekana trust & faith kwa uongozi ulio chini ya Freeman Mbowe (Mwenyekiti) sasa. Hoja za Wenje huko Wasafi TV ni dhaifu sana, za mtu aliyechanganyikiwa na za kujitetea na kujisafisha tu yeye na Boss wake waathirika wa rushwa ya Abdul na Mama Abdul...

3. Wenje na Team Mbowe are very frustrated na rushwa ya Abdul na Mama yake a.k.a Bi Samia Suluhu Hassan a.k.a Mwenyekiti wa CCM TAIFA na Rais wa JMT...

4. Wako confused kwa sababu "RUSHWA HUPOFUSHA FIKRA ZA KIONGOZI kiasi cha wakati fulani kuonekana kama amechanganyikiwa kabisa. Ndivyo alivyo Wenje na wenzake sasa....

5. Ndo kusema, kwamba, chama kinaweza kukiendesha kwa kutumia fedha za michango ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa chama hiki muhimu kabisa ambako wako mamilioni nchini na duniani kote.....

6. Kinachotakiwa kwanza kabla ya yote ni kurejesha imani miongoni mwa makundi haya yote (wanachama, wapenzi na mashabiki) ambao ndio wafadhili wa chama hiki. Na hilo linawezekana si kwa njia nyingine bali kwa kusafisha uchafu uliopo chamani sasa. Na lazima usafi huu uanzie juu (kumuondoa Mwenyekiti huyu kwa kuwa hataki kujitunzia heshima yake kwa kung'atuka mwenyewe) kisha turudi kwenye mifumo ya uendeshaji na usimamizi wa chama ikiwemo kufanya mabadiliko muhimu kwenye katiba ya chama.
Umenena vema kabisa mkuu huu ndiyo ukweli ambao nyumbu wa Sultan Mbowe hawataki kuusikia. Mbowe akilazimisha kuendelea na uenyekiti Chadema inakwenda kudhoofika sana.
 
Hahaha unamatatizo wewe, wapi nimesema mwanchama ni mimi tu? Na wapi nimeongelea habari za Lisu na Mbowe? Nikujue ili iweje sasa?

Kama unataka tujadili hayo ya Mbowe na Lisu ungesema tangu mwanzo.

Wafuasi wa Lisu mnamatatizo sana, mnataka kila mtu afikiri kama nyie. Sipendi tabia zenu kuhukumu watu bila ushahidi, manajaza watu ujinga mkiulizwa ushahidi hamna.

Chadema haifi, ila mjifunze kuwa na staha muelewe nini kinazungumzwa wapi na nani?

Sasa huo wizi wa Mbowe mliisha mshitaki mahakamani?

Tundu Lisu ni makamu mwenyekiti, haelewi wizi ni kosa? Mliisha mshitaki huyo Mbowe kwa wizi wa mali za chama?

Na kwanini hamjaleta internal na external auditor ili watuletee ukweli wa wizi huo?

Lini CAG report ilionyesha matatizo?

Wekeni financial statement tuone kaiba wapi kaiba lini, na kiasi gani?

Nyie mnampenda Lisu ndio chaguao lenu, acheni na wengine wawe na uhuru wa kuchagua. Mtizamo wako siyo wangu.

Hakuna tuhuma dhidi ya Mbowe mmewahi kuithibitisha popote. Hivyo yote mnayozusha ni uongo.

Lisu ni wakili, na ana mawakili wengi nyuma yake, wanaweza kujitolea kumfungulia Mbowe mashitaka, ya wizi na ubadhilifu wa mali za chama. Mmeamua kuyasema maovu yake hadharani, kwanini msiyapeleke mahakamani?

Lisu siyo Mungu, anamapungufu lukuki lakini mnayaona ni sifa kwasababu ya mapenzi mliyonayo kwake.

Kama chadema itakufa na ife tu, Lisu ana uwezo mzuri wa kuandika katiba ya chama bora duniani, atafanya hivyo na atasajiri chama kipya na wafuasi tayari anao, tatizo liko wapi?
Una kabichwa kadogo ushaambiwa pesa inapigwa kwenye madeni ya chama .....sasa CAG akikagua madeni yaliyolipwa unataka aseme pesa imepigwa?
Kama ni mwelewa huwezi kubishia kifo cha chadema.....wewe unaona chadema ya 2010-2015 inalingana na hii ya leo?

Mpaka leo chama kinategemea fedha kutoka mfukoni mwa mtu halafu useme pana uongozi hapo?
 
Nimemsikia mjumbe wa kamatikuu Ya Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) Na mwenyekiti wa kanda ya Victoria, Mh Ezekiel Wenje akiwa Wasafi kwenye kile kipindi kinacho muogopa Tundu Lisu, akijalibu kuhadaa wananchi kua Chadema hawana pesa zakutosha kuendesha shughuli zao za kisiasa nchi nzima

Kutokana na ruzuku kua ndogo, hivyo Mboe inambidi atoe pesa zile ili mambo yaende sawia, hili laweza kua kweli? Nahapa mimi nina maswali je Mboe anapotoa pesa anakisaidia chama? Au anakikopesha chama? Na je anakikopesha kwa riba au?

Ukweli mchungu nikua Chama kama Chadema hakiwezi kushindwa kujiongoza chenyewe kwakutegemea wanachama wake na watu mbalimbali wanaokipenda chama, kwa mfano pamekua na taalifa ambazo kwasasa ni rasmi kua CHADEMA kina wanachama walio jisajili yapata laki tano.

Hiki nikiasi kikubwa cha rasilimali watu hawa wakitoa wote kiwango cha chini cha mchango ambacho ni tsh 2500 inapatikana zaidi ya bilion 1.2 hiyo ni kwa wale wenye kadi tu. Ikumbukwe watu wanaojitoa kuchukua kadi za chama niwachache kutokana nakua watu wengi hawapendi kuonekana wako chama cha upinzani hapa Tanzania,

Sasa changamoto kubwa ni watu kua na imani na viongozi, katika mazingira ambayo tuhuma za rushwa zinakua nyigi,matumizi ya pesa ya hovyo inakua inakatisha watu tamaa kuchangia pesa, Ndio maana ukizitafakari hakili za Wenje nikua Lissu Akiwa Mwenyekiti Chadema ukata wa Pesa utamfanya ashindwe kuongoza chama,

Jambo ambalo si kweli kwani kutokana na uadilifu wa Lissu utawasukuma watu wengi zaidi kuchangia chama, kwani watafikili kua zitatumika sahihi, ninahakika kua kama watu wakiwa naimani na uongozi, Chadema Inauwezo wakukusanya hata zaidi ya bilion mbili kwa mwaka kutoka kwa wanachama ukiacha hiyo milion mia na ushee ya ruzuku. Pesa ambayo inaweza kuendesha chama bila kutegemea pesa za mtu mmoja au watu wachache
Mi nafikiri, badala ya kuhoji sana ungelitwambia au ingeliuliza kwamba pesa ambayo wewe unachangia Chadema kwa mwaka ni shilingi ngapi na zinzfanya nini mpaka Mbowe aongeze za kwake?
 
Nanyego umepiga kwenye mshono masauala ya mapato na matumizi ya chama huwa yanakaguliwa naCAG Kila mwaka na ripoti yake hujadiliwa na bunge la ccm hakuna wakati wowote aliwahi kutoa hati chafu kwa cdm sasa hayo mnayosema kuwa MBOWE anakula fedha za chama mtoa wapi?
 
Ndugu palm beach nikwamba mapoto na matumizi ya chama yanakaguliwa Kila mwaka na serikali kupitia kwa CAG alafu masauala ya fedha Yanasimamiwa na katibu mkuu wa chama nasio mwenyekiti na matumizi yanapangwa na kamati KUU ya chama amboyo lissu pia ni mjumbe kwa muda wa miaka 20 lkn hajawahi toka adharani na kusema hayo anayoyasema leo
 
Una kabichwa kadogo ushaambiwa pesa inapigwa kwenye madeni ya chama .....sasa CAG akikagua madeni yaliyolipwa unataka aseme pesa imepigwa?
Kama ni mwelewa huwezi kubishia kifo cha chadema.....wewe unaona chadema ya 2010-2015 inalingana na hii ya leo?

Mpaka leo chama kinategemea fedha kutoka mfukoni mwa mtu halafu useme pana uongozi hapo?
Chama 2010-2015 kilikuwa na wabunge wengi, sasa hivi kinao wachache.

Hakuna pesa ina pigwa, ni wivu wa kitanzania tu unawasumbua.

Vikao vinaweza kuamua chama kisikopeshwe na Mbowe, badala yake kikaenda kukopa NMB au CRDB.

Mna hisia zenu tu kwamba kwasababu mkopeshaji ni Mbowe basi anaiba.

Chadema siyo kampuni ya kibiashara ni chama cha siasa. Kama wanachama hawachangi za kutosha, na hakina ruzuku ni lazima kikope kuendesha shughuli za kichama.
Wivu ndio unawasumbua, sasa CAG unadhani inakagua nini? report yake inakagua makosa ya kifedha, mapato ma matumizi, kukuwa na upotevu wa pesa tutauona kwenye report.
 
Chama 2010-2015 kilikuwa na wabunge wengi, sasa hivi kinao wachache.

Hakuna pesa ina pigwa, ni wivu wa kitanzania tu unawasumbua.

Vikao vinaweza kuamua chama kisikopeshwe na Mbowe, badala yake kikaenda kukopa NMB au CRDB.

Mna hisia zenu tu kwamba kwasababu mkopeshaji ni Mbowe basi anaiba.

Chadema siyo kampuni ya kibiashara ni chama cha siasa. Kama wanachama hawachangi za kutosha, na hakina ruzuku ni lazima kikope kuendesha shughuli za kichama.
Wivu ndio unawasumbua, sasa CAG unadhani inakagua nini? report yake inakagua makosa ya kifedha, mapato ma matumizi, kukuwa na upotevu wa pesa tutauona kwenye report.
Maeleezo mengiii (in sugu's voice) pumba tupu! Safari hii ccm wametushika pabaya! Mbowe anashinda ila jahazi ndo linazama hivyo! Tujiiandae ACT kuwa the leading opposition party. Mbowe will be remembered as a hero to CCM for killing his own legacy
 
Maeleezo mengiii (in sugu's voice) pumba tupu! Safari hii ccm wametushika pabaya! Mbowe anashinda ila jahazi ndo linazama hivyo! Tujiiandae ACT kuwa the leading opposition party. Mbowe will be remembered as a hero to CCM for killing his own legacy
Tatizo lenu washabiki namyi mnaongelea mambo ya chama.

Mlitakiwa muwaachie wanachama, waongee mambo ya chama chao.
ACT hata Zanzibar haishindi tena, na Tanganyika ndio sahau kabisa, hata kigoma hawapati hata jimbo moja.

Mnamchukia Mbowe kwanini msimuache afe na chama chake?

Hata msimkumbuke.
 
Back
Top Bottom