F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

Kibu kachezewa faulo ambayo imemfanya ashindwe kuendelea na mchezo

Then kuna watu wanakuja na madai kuwa huyu ni refa wa Simba, is that real??
 
Kwani ni kipi kimetokea?
Screenshot_20240215_172308.jpg
 
Simba number 4 inapwaya..bora INONGA arudi ili MALONE arudi nafasi yake..
 
Freddy ameanza kunipa wasiwasi kama simuelewi hivi lakini ngoja niendelee kumuangalia
 
JKT wanafika mara kwa mara kwenye eneo letu sijapenda
 
Back
Top Bottom