Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Takwimu za TCRA zinaonyesha kwamba mtandao wa kijamii wa facebook unaimilikiwa na kampuni ya meta bado ndio mtandao unaotumiwa na watu wengi zaidi Tanzania kuliko mtandao wowote ule.

Kwa mujibu wa TCRA, kiwango cha data kinachotumika kwenye Mtandao wa facebook ni sawa na data zinazotumika kwenye mitandao mingine yote kwa pamoja.

Ushauri, kama wewe ni mfanyabiashara, wekeza zaidi Facebook na kuweka matangazo ya bidhaa zako zaidi Facebook kuliko kwenye WhatsApp Status na mitandao mingine.

20230208_222655.jpg
 
Hizi takwimu nina wasiwas nazo. Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2.

Wastani tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Takwimu za TCRA zinaonyesha kwamba mtandao wa kijamii wa facebook unaimilikiwa na kampuni ya meta bado ndio mtandao unaotumiwa na watu wengi zaidi Tanzania kuliko mtandao wowote ule.

Kwa mujibu wa TCRA, kiwango cha data kinachotumika kwenye Mtandao wa facebook ni sawa na data zinazotumika kwenye mitandao mingine yote kwa pamoja.

Ushauri, kama wewe ni mfanyabiashara, wekeza zaidi Facebook na kuweka matangazo ya bidhaa zako zaidi Facebook kuliko kwenye WhatsApp Status na mitandao mingine.
View attachment 2510888
Hizi takwimu nina wasiwas nazo... Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2..

Wastani Tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Hizi takwimu nina wasiwas nazo... Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2..

Wastani tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Hizo hesabu zako umezipigaje mkuu?

Unaweza kuzinyumbuisha kidogo?
 
Hizi takwimu nina wasiwas nazo... Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2..

Wastani Tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Chukua trili 90 gawanya kwa idadi ya watumiaji wa internet ambao ni mil 30... Ambayo utapata zaidi ya laki 300000, so ina maanisha kwa kila mtanzania anae tumia intenet anatumia gb 300000 kwa miez 2 kwa ajili ya facebook... Ambacho hko kitu sio kwel..

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
IMG_1906.jpg

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022
 
View attachment 2511113

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022


Piga hesabu mfano; kama Mb 370 costs Tshs 1000/=, vipi hizo Gb trillion 90.1 itakuwa ni shs ngapi tumelambwa??--- it is a hell amount of money!😏

Halafu mtu anataka bei ya packages zipunguzwe kirahisi nani atakuelewa??
 
Back
Top Bottom