Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Mwaka Huu 2023 Jamie forums.com Itawika Sana Tuwape Muda
 
Umejiuliza wanaotumia wi-fi wanatumia MBs ngap kwa siku?

Mfano wew ukipata nafasi ya kutumia wi-fi huwa unatumia MBs ngap kwa muda mchache tu
Ndo atatumia gb 33,000 kwa siku???
Maana kwa ripoti hiyo Ina maana Kila mtu anatumia gb 33,000 kwa siku!
 
Inamana jamii forum haipo hizo takwimu za mchongo
 
fb hakuishiwagi vituko beginners wengi wa social media wapo kule basi ushamba ushamba fulani na vituko kama vyote. Nina mwaka wa 4 sijaingia fb
Facebook sihami huwa nacheka sana hasa kwenye groups hukoo 🤣🤣🤣🤣 vituko sana
 
Back
Top Bottom