Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Hizo mambo nazipenda sana

Na hapo huwa ni mwendo wa kutazama zile compilation video
teer.PNG
 
Kuna kitu hakiko sawa kwenye hizo data, naangalia Hio chart sioni sehemu ikionesha kua ni ya tcra, so nadhani haiwezi kua data zetu hizo au Kama ni zetu hizo data ndani ya miezi mitatu basi mtoa data wa tcra atakua hatumii hata common sense


Twende kwenye hesabu, Tanzania tuna population ya kama 60M, let's assume 20M ni active Facebook users(binafsi siitumii).... Ukigawa trillion 90 kwa milioni 20

90,000,000,000,000/20,000,000=4,500,000


Milioni 4.5 za GB kwa kila mtumiaji wa Facebook hapa tz kwa siku 90! It doesn't make sense

4,500,000/90= 50,000

Yaani Gb 50,000 Kila siku kwa kila mtumiaji Facebook Tanzania? Hell no! Wengi hawafikishi hata gb 50 ndani ya miezi mitatu! So izo data either ni kwenye MBs na sio Gb au wamekosea tu sio za Tanzania
 
View attachment 2511113

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022
ni sawsawa na sh. ngapi na serikali imepata ngapi
 
Kuna kitu hakiko sawa kwenye hizo data, naangalia Hio chart sioni sehemu ikionesha kua ni ya tcra, so nadhani haiwezi kua data zetu hizo au Kama ni zetu hizo data ndani ya miezi mitatu basi mtoa data wa tcra atakua hatumii hata common sense


Twende kwenye hesabu, Tanzania tuna population ya kama 60M, let's assume 20M ni active Facebook users(binafsi siitumii).... Ukigawa trillion 90 kwa milioni 20

90,000,000,000,000/20,000,000=4,500,000


Milioni 4.5 za GB kwa kila mtumiaji wa Facebook hapa tz kwa siku 90! It doesn't make sense

4,500,000/90= 50,000

Yaani Gb 50,000 Kila siku kwa kila mtumiaji Facebook Tanzania? Hell no! Wengi hawafikishi hata gb 50 ndani ya miezi mitatu! So izo data either ni kwenye MBs na sio Gb au wamekosea tu sio za Tanzania
Naungana na na wewe, nakubaliana na hesabu zako, hiyo data inaonesha sio ya Tanzania.
 
Kuna kitu hakiko sawa kwenye hizo data, naangalia Hio chart sioni sehemu ikionesha kua ni ya tcra, so nadhani haiwezi kua data zetu hizo au Kama ni zetu hizo data ndani ya miezi mitatu basi mtoa data wa tcra atakua hatumii hata common sense


Twende kwenye hesabu, Tanzania tuna population ya kama 60M, let's assume 20M ni active Facebook users(binafsi siitumii).... Ukigawa trillion 90 kwa milioni 20

90,000,000,000,000/20,000,000=4,500,000


Milioni 4.5 za GB kwa kila mtumiaji wa Facebook hapa tz kwa siku 90! It doesn't make sense

4,500,000/90= 50,000

Yaani Gb 50,000 Kila siku kwa kila mtumiaji Facebook Tanzania? Hell no! Wengi hawafikishi hata gb 50 ndani ya miezi mitatu! So izo data either ni kwenye MBs na sio Gb au wamekosea tu sio za Tanzania
Umefafanua vizuri sana, kwa hesabu hizo number hazidanganyi.
 
Nimeona kwenye website Yao ni kweli wameandika ivo ivo, sasa kama watz wanatumia gb 90,000,000,000,000 ndani ya miezi mitatu Ina maana wanatumia 1,000,000,000,000gb ndani ya siku Moja! Ukigawa wa watumiaji 30,000,000( watumiaji wa internet Tanzania nzima) unapata roughly Kila mtu anatumia gb 33,000 Kila siku!!

Doesn't add up
 
Naungana na na wewe, nakubaliana na hesabu zako, hiyo data inaonesha sio ya Tanzania.
Kwenye web Yao wameandika ivo pia, yaani tuna watu incompetent sana, yaani hizo data za Facebook tu, bado wakajaza sijui trillion 34 YouTube, bado IG yaani wamekosea vibaya sana!
 
View attachment 2511113

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022
Kwa hiyo, wanalalamika au?
 
Hapa ndio uone kuwa haya makampuni ya simu yanatengeneza pesa ya kutisha...
 
Back
Top Bottom