Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo mambo nazipenda sana
Na hapo huwa ni mwendo wa kutazama zile compilation video
Mambo ya MPEGAV hahaaapHub je ?
Wanaopenda udaku na kupost post kila wakati twitter hawaiweziWatanzania wengi hawatumii Twitter........
ni sawsawa na sh. ngapi na serikali imepata ngapiView attachment 2511113
Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).
Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.
TCRA 2022
Naungana na na wewe, nakubaliana na hesabu zako, hiyo data inaonesha sio ya Tanzania.Kuna kitu hakiko sawa kwenye hizo data, naangalia Hio chart sioni sehemu ikionesha kua ni ya tcra, so nadhani haiwezi kua data zetu hizo au Kama ni zetu hizo data ndani ya miezi mitatu basi mtoa data wa tcra atakua hatumii hata common sense
Twende kwenye hesabu, Tanzania tuna population ya kama 60M, let's assume 20M ni active Facebook users(binafsi siitumii).... Ukigawa trillion 90 kwa milioni 20
90,000,000,000,000/20,000,000=4,500,000
Milioni 4.5 za GB kwa kila mtumiaji wa Facebook hapa tz kwa siku 90! It doesn't make sense
4,500,000/90= 50,000
Yaani Gb 50,000 Kila siku kwa kila mtumiaji Facebook Tanzania? Hell no! Wengi hawafikishi hata gb 50 ndani ya miezi mitatu! So izo data either ni kwenye MBs na sio Gb au wamekosea tu sio za Tanzania
Umefafanua vizuri sana, kwa hesabu hizo number hazidanganyi.Kuna kitu hakiko sawa kwenye hizo data, naangalia Hio chart sioni sehemu ikionesha kua ni ya tcra, so nadhani haiwezi kua data zetu hizo au Kama ni zetu hizo data ndani ya miezi mitatu basi mtoa data wa tcra atakua hatumii hata common sense
Twende kwenye hesabu, Tanzania tuna population ya kama 60M, let's assume 20M ni active Facebook users(binafsi siitumii).... Ukigawa trillion 90 kwa milioni 20
90,000,000,000,000/20,000,000=4,500,000
Milioni 4.5 za GB kwa kila mtumiaji wa Facebook hapa tz kwa siku 90! It doesn't make sense
4,500,000/90= 50,000
Yaani Gb 50,000 Kila siku kwa kila mtumiaji Facebook Tanzania? Hell no! Wengi hawafikishi hata gb 50 ndani ya miezi mitatu! So izo data either ni kwenye MBs na sio Gb au wamekosea tu sio za Tanzania
Kwenye web Yao wameandika ivo pia, yaani tuna watu incompetent sana, yaani hizo data za Facebook tu, bado wakajaza sijui trillion 34 YouTube, bado IG yaani wamekosea vibaya sana!Naungana na na wewe, nakubaliana na hesabu zako, hiyo data inaonesha sio ya Tanzania.
Kwa hiyo, wanalalamika au?View attachment 2511113
Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).
Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.
TCRA 2022
Mi nazifatilia twitterUnafikiri kuna mwanamume asiyeangalia porno ndugu yangu.
Vyema mkuu fanya kunipa link mwanawaneMi nazifatilia twitter
Yeah nikweli kabisa, Facebook kuna mambo huko acha tuWanaopenda udaku na kupost post kila wakati twitter hawaiwezi
fb hakuishiwagi vituko beginners wengi wa social media wapo kule basi ushamba ushamba fulani na vituko kama vyote. Nina mwaka wa 4 sijaingia fbYeah nikweli kabisa, Facebook kuna mambo huko acha tu
Yeah mzee baba 💩💩💩Ulikuwa unatafuta wanaotoa siagi wakati wa kupakuliwa