Kayenga jr
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 443
- 349
- Thread starter
-
- #21
Hapo kwenye kumwambia ukweli wife ndio shida labda kama kuna njia nyingine ya kufanya maana nitakuwa nijikaanga na mafuta yangu mwenyeweRepent is not too late , since you are ready to change .. Weka sawa na Mungu wako then confess to your wife tell her what happened everything ili likija kutokea lolote awe by your side .. Ad please never cheat again .. Good luck.. Thanks..
Hahahahhaaaaa.... Dear I don't think so she cheated on him.. Angekwishajua long time ago.. Some women huwa tuna mengi ya kufanya to keep ourselves busy without cheating .. Thanks..wife wake alienda kwenye mishemishe zake naye hiyo jpili.
mtendwa hutendwa..mla vya watu naye vyake huliwa.
Hakuna mtihani usio na majibu mkuu. Mwombe Mungu akupe ujasiri.Kaka hapo linalotekeleza ni hilo namba 1tu mengine ni mtihahani
Nitatubu tu mwenyezi Mungu nakumuomba aniepushe na hiki kikombe aisee sijawahi kuwa kwenye pressure kama hiiwife wake alienda kwenye mishemishe zake naye hiyo jpili.
mtendwa hutendwa..mla vya watu naye vyake huliwa.
ThanxHakuna mtihani usio na majibu mkuu. Mwombe Mungu akupe ujasiri.
If you are ready to change then you will do it .. Trust me there is the meaning behind on what I told you .. I want you to have full of mercy from God .. And you can't have full mercy if you don't full repent .. If its really your wedding wife at church do it .. Confess your sin unto her so you can be free.. You don't look for people mercies but God's mercies and full of forgiveness ... Thanks..Hapo kwenye kumwambia ukweli wife ndio shida labda kama kuna njia nyingine ya kufanya maana nitakuwa nijikaanga na mafuta yangu mwenyewe
Yanayoendana na matumizi yake... kulainisha ngoziYatanikuta yapi
sijawahi chepuka zaidi ya huyu na ninajutia hili nitajaribu kuangalia namna ya kuongea na wife na kwasasa sina mawasiliano tena na huyu mamaIf you are ready to change then you will do it .. Trust me there is the meaning behind on what I told you .. I want you to have full of mercy from God .. And you can't have full mercy if you don't full repent .. If its really your wedding wife at church do it .. Confess your sin unto her so you can be free.. You don't look for people mercies but God's mercies and full of forgiveness ... Thanks..
Hata akisoma hawezi nijua tupo wengi humuMumewe Naye anasoma huu Uzi.
Chimps amemshauri aanze kutembea na vaseline mfukoni kwan muda wowote lolote linaweza kutokea.Uliwe tu na wewe, maana hakuna namna....
Si ndio nitakuwa nachochea moto hapoMtumie msg huyo msukuma mwambie amkanye mkewe kukufata lol
Yes dear do that.. But before you do talk to your wife.. Ask God for the wisdom and Holy Spirit to lead you on that.. Ili yatakayotoka kinywani mwako yasiwe your words but God's word.. I'm sure she will forgive you ... And after that never cheat with anyone again.. Thanks..sijawahi chepuka zaidi ya huyu na ninajutia hili nitajaribu kuangalia namna ya kuongea na wife na kwasasa sina mawasiliano tena na huyu mama
Badili namba kwa mudaSi ndio nitakuwa nachochea moto hapo
Hili ndo la muhimu aandae kilainishi kabisaChimps amemshauri aanze kutembea na vaseline mfukoni kwan muda wowote lolote linaweza kutokea.