Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Dear wewe uko married happily married and you witnessed that your wife is faithful then what the heck was wrong with you to cheat on your wife ? Sometimes problem nyingine tunajitakiaga wenyewe.. Well stay away from other people's wives .. And be with your wife ... Thanks...
Sometimes, troubles follow us...
 
Hongera sana Mkuu! Hapo jitahidi KY isiwe inakaa mbali! Vinginevyo siku yakitokea ya Kutokea utaumia sana!
Hicho na unachofikiria Nina uhakika hawezi kufanya nipo vizuri issue kurogwa
 
Napenda sana kugegeda wake za watu...ni watam sana na hawana ahadi hewa...nlianza kuwagegeda nikiwa form 4 mwaka 2004 mpaka Leo cjaacha na staacha....

Nakuashauri nawe usiache kumgegeda huyo mke wa mtu...huyo jamaa utamkwepa kiaina tu....ikibumbuluka utakomaa nae bhana..kwani nini
Huna nia njema na marinda yake...
 
Yes dear inatia hasira sana ... He knew from the beginning that he is married .. Hata kama Huyo mama hakuwa mke wa mtu still he wasn't suppose to go and approach other women since he has a wife at home ... Kwa kweli hizi Ndoa ni tabu sana aaggghhrrr.. Kama hatuko tayari and don't know the meaning of marriage why married ? Aggrrrrhhh... Thanks..
Hapo kwenye red hapo...
Yani hata simwelewi huyu mtu mamy!! sina kumbu kumbu kama kuna siku imepita bila kupata maswahibu ya ndoa hapa JF!!
 
Repent is not too late , since you are ready to change .. Weka sawa na Mungu wako then confess to your wife tell her what happened everything ili likija kutokea lolote awe by your side .. And please never cheat again .. Good luck.. Thanks..
hizo sehemu mbili ndipo mziki ulipo!! na mleta mada kasha kiri kwamba ni kazi kwake!
 
Hapo kwenye red hapo...
Yani hata simwelewi huyu mtu mamy!! sina kumbu kumbu kama kuna siku imepita bila kupata maswahibu ya ndoa hapa JF!!
Well dear , I guess he realized his mistakes now Daddy... As he said ..I honestly prefer my partner aniache is way better than to cheat on me .. I don't tolerate that at all... Inaumiza sana kusalitiwa ... Thanks..
 
download.jpg
Napenda sana kugegeda wake za watu...ni watam sana na hawana ahadi hewa...nlianza kuwagegeda nikiwa form 4 mwaka 2004 mpaka Leo cjaacha na staacha....

Nakuashauri nawe usiache kumgegeda huyo mke wa mtu...huyo jamaa utamkwepa kiaina tu....ikibumbuluka utakomaa nae bhana..kwani nini
 
hizo sehemu mbili ndipo mziki ulipo!! na mleta mada kasha kiri kwamba ni kazi kwake!
Well at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..
 
Hapo kwenye red hapo...
Yani hata simwelewi huyu mtu mamy!! sina kumbu kumbu kama kuna siku imepita bila kupata maswahibu ya ndoa hapa JF!!
Jamani mnaanza kunionea sasa au ndio kila kosa la ndoa linaletwa kwangu
 
Well at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..
uko sahihi, nadhani hii ni solution namba moja kwa huyu mleta mada!! amwambie wife kwanza...
sijui hata kama atakuelewa!
 
Well at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..
Kukiri kwa mke kwa kitu ambacho yeye hafikiri kama unaweza kufanya nadhani hapo pana timing yake
 
Back
Top Bottom