serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Man una Bahati... Naskia Yuda kakukopesha ule mpunga aliopata kwa kumuuza yesu afu kajinyonga.... Naomba share mkuu...Taifa stars wanarudiana lini na Chad?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man una Bahati... Naskia Yuda kakukopesha ule mpunga aliopata kwa kumuuza yesu afu kajinyonga.... Naomba share mkuu...Taifa stars wanarudiana lini na Chad?
Wewe sio mtu nzuri kwangu haunitakii memaUliwe tu na wewe, maana hakuna namna....
Sometimes, troubles follow us...Dear wewe uko married happily married and you witnessed that your wife is faithful then what the heck was wrong with you to cheat on your wife ? Sometimes problem nyingine tunajitakiaga wenyewe.. Well stay away from other people's wives .. And be with your wife ... Thanks...
Hicho na unachofikiria Nina uhakika hawezi kufanya nipo vizuri issue kurogwaHongera sana Mkuu! Hapo jitahidi KY isiwe inakaa mbali! Vinginevyo siku yakitokea ya Kutokea utaumia sana!
Huna nia njema na marinda yake...Napenda sana kugegeda wake za watu...ni watam sana na hawana ahadi hewa...nlianza kuwagegeda nikiwa form 4 mwaka 2004 mpaka Leo cjaacha na staacha....
Nakuashauri nawe usiache kumgegeda huyo mke wa mtu...huyo jamaa utamkwepa kiaina tu....ikibumbuluka utakomaa nae bhana..kwani nini
Mmmhhmmmmhhm.. Thanks..Sometimes, troubles follow us...
Wewe kuliwa mke kunauma sasa ili kupoza machungu inabidi na wewe uliweWewe sio mtu nzuri kwangu haunitakii mema
Some women huwa tuna mengi ya kufanya to keep ourselves busy without cheating .. Thanks..
Okay...... Thanks..Your statement makes my heart beat faster and slower at the same time...ooh my.!!
Hapo kwenye red hapo...Yes dear inatia hasira sana ... He knew from the beginning that he is married .. Hata kama Huyo mama hakuwa mke wa mtu still he wasn't suppose to go and approach other women since he has a wife at home ... Kwa kweli hizi Ndoa ni tabu sana aaggghhrrr.. Kama hatuko tayari and don't know the meaning of marriage why married ? Aggrrrrhhh... Thanks..
sasa bosi wangu kama unaweza kutubu kwa mungu kwanini ushindwe ku confess kwa mkeo?Kaka hapo linalotekeleza ni hilo namba 1tu mengine ni mtihahani
hizo sehemu mbili ndipo mziki ulipo!! na mleta mada kasha kiri kwamba ni kazi kwake!Repent is not too late , since you are ready to change .. Weka sawa na Mungu wako then confess to your wife tell her what happened everything ili likija kutokea lolote awe by your side .. And please never cheat again .. Good luck.. Thanks..
Well dear , I guess he realized his mistakes now Daddy... As he said ..I honestly prefer my partner aniache is way better than to cheat on me .. I don't tolerate that at all... Inaumiza sana kusalitiwa ... Thanks..Hapo kwenye red hapo...
Yani hata simwelewi huyu mtu mamy!! sina kumbu kumbu kama kuna siku imepita bila kupata maswahibu ya ndoa hapa JF!!
Napenda sana kugegeda wake za watu...ni watam sana na hawana ahadi hewa...nlianza kuwagegeda nikiwa form 4 mwaka 2004 mpaka Leo cjaacha na staacha....
Nakuashauri nawe usiache kumgegeda huyo mke wa mtu...huyo jamaa utamkwepa kiaina tu....ikibumbuluka utakomaa nae bhana..kwani nini
Well at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..hizo sehemu mbili ndipo mziki ulipo!! na mleta mada kasha kiri kwamba ni kazi kwake!
Jamani mnaanza kunionea sasa au ndio kila kosa la ndoa linaletwa kwanguHapo kwenye red hapo...
Yani hata simwelewi huyu mtu mamy!! sina kumbu kumbu kama kuna siku imepita bila kupata maswahibu ya ndoa hapa JF!!
uko sahihi, nadhani hii ni solution namba moja kwa huyu mleta mada!! amwambie wife kwanza...Well at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..
Kukiri kwa mke kwa kitu ambacho yeye hafikiri kama unaweza kufanya nadhani hapo pana timing yakeWell at this point Hana choice .. He has to do that .. Maana ni better mkewe ajue ili apate her mercies Yule mume wa sister akiaamua kufanya kitu kibaya to him.. Thanks..