WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,586
- 2,454
Nani mtoto?,,,, Nina Familia ujue mkuu....sasa mtoto wangu....ni nani kama Mi ni mtotoWatoto wa siku hizi mna mambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mtoto?,,,, Nina Familia ujue mkuu....sasa mtoto wangu....ni nani kama Mi ni mtotoWatoto wa siku hizi mna mambo!
Sasa form 4 si katoto?! Mnaanza mambo mapemaNani mtoto?,,,, Nina Familia ujue mkuu....sasa mtoto wangu....ni nani kama Mi ni mtoto
by then nlikuwa na 19 years....ndio nakiri nlianza mapema....Sasa form 4 si katoto?! Mnaanza mambo mapema
How about we drink our heads off tonight?? I loaned the 30 pieces of silver from Judas and the idiot hanged himself... So am kinda loaded.. Hit me with a yes.!!Okay...... Thanks..
No dear... Thanks..How about we drink our heads off tonight?? I loaned the 30 pieces of silver from Judas and the idiot hanged himself... So am kinda loaded.. Hit me with a yes.!!
Next weekTaifa stars wanarudiana lini na Chad?
You're sure you don't wanna see my torch that glows in the dark?No dear... Thanks..
Too bad the one I have can satisfy and supply all my needs... I don't miss nothing... So yes I am more than sure.. Thanks...You're sure you don't wanna see my torch that glows in the dark?
Kumbe umekimbilia huku kuomba ushauri eeh...ila nitakukamata tu,inauma sana...Nilijiunga Facebook muda kidogo kama miaka 6 sasa na kipindi chote nimekutana na watu mbali mbali ila sikuwahi kuwa na tamaa na mwanamke wa facebook kwa maana ya mkumtongoza mwanamke fb mpk ilipotokea kwa huyu.
Huyu Dada hata sijui ilitokeaje tukawa marafiki Fb tukajikuta tuaanza kuchati mazungumzonya kawaida kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kuona mazungumzo yanahama nakaa najaribu kuonesha heshima maana ilikuwa kanizidi umri kidogo tukabadirisha namba za simu sikuwa najua kama kaolewa na hakuniambia ila mie alijua na make kwani aliona picha Fb.
Tukapanga tuonane siku moja Mungu sio Jecha wala Lowasa ikatokea siku tukaonana katika maongezi na hapo kaishanipuna Savannah sijui nyama choma tukajikuta tupo hoi ndio ananiambia ni mke wa mtu nikajisemea lazima nimtafune kaishanitia hasara nikamgegeda lakini nafsi ilinisuta sana nikiona namsaliti yf ambae yeye Nina uhakika ni muaminifu na hata siku hiyo angekuwa makini angegundua hiyo ikapita tukakaa muda mrefu story ni kwenye Fb tu maana simu ni kimeo wenza wetu wangeweza kutustukia.
Sasa juzi juzi ilikuwa j2 fy kaenda kwenye issues zake huyu mama kanipigia akaniuliza nipo wapi nikamwambia home akaniambia nimfate sehemu ni kawa sina ujanja kwenda nakuta kaishalipia chumba na kaagiza mbuzi katoliki na Pepsi baridi nikala na nikamgegeda vizuri sana mpk akadata sasa tatizo amekuwa msumbufu akidai Mzee wake hamfikishi vizuri na mambo kibao ,
Na toka juzi kuna namba ilinitumia sms ikidai imekuta sms kwenye namba ya mke wake anataka kukua mie ni nani sikuijibu nichofanya ni kumblock Fb huyu Dada na kwenye simu ila mpk anafanya hivyo nilikuwa nimeshapigiwa simu sana sikupokea maana sijui nitaongea nini alichosema atahakikisha ananidaka sasa nahofia kufanyiwa kitu ile Mungu hapendi au kurogwa maana huyu jamaa ni msukuma naombeni ushauri jamani nipo kwenye wakati mgumu nifanyeje.
Hahahaaaa.. Sometimes you don't know what you've been missing until you taste it.. Make a move, girl.Too bad the one I have can satisfy and supply all my needs... I don't miss nothing... So yes I am more than sure.. Thanks...
Okay I can see where you are going... So let me be quiet from now on.. Conversation is closed......Thanks..Hahahaaaa.. Sometimes you don't know what you've been missing until you taste it.. Make a move, girl.
Hahahaha tena kama wewe ndio hata hauna mke acha mikwara yakoKumbe umekimbilia huku kuomba ushauri eeh...ila nitakukamata tu,inauma sana...
Mbona wewe hukuwa na huruma kwa mke wa MTUHata mie ndio nasikiaga hivyo hawa jamaa halafu nasikia hawanaga huruma
Hahahaaaa... I bet you already seen where am coming from.. I just can't take the silent lane..Okay I can see where you are going... So let be quiet from now on.. Conversation is closed......Thanks..
Faraja ya nini? wakati unafanya siulijua kuwa ni mke wa mtu, malipo ya dhambi ni mauti tu hamna namna.Wewe jamaa una roho mbaya hamna hata faraja
It is well .. Thanks..thanks for making that clear to him...
Taifa staz wamenitwangia mtu juzi adi raha yani.Taifa stars wanarudiana lini na Chad?