Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Jamani mnaanza kunionea sasa au ndio kila kosa la ndoa linaletwa kwangu
Dear don't take him wrong way... What he meant hakuna siku inayopita bila kuona thread za marriage problem na hii came from after I have wrote : if we are not ready to marry or don't know the meaning of marriage why we got married since we knew not done yet with our foolishness things? So don't be offended with ,something talks in general and not only you .. It's for all of us ... Thanks..
 
Face to face inahitaji moyo na sio kwamba nilikuwa napenda ndio maana nikasema nafsi ilikuwa inanisuta
nimekwelewa mkuu, ndio maana nikakwambia, cheki upepo ukoje ukiona mambo yakua magumu mwambie ukweli mkeo, hiyo ndiyo solution namba moja!! la kutokea likitokea awe anajua kuliko kushitukizwa maana ndio utakua umeharibu zaidi!
 
Nilijiunga Facebook muda kidogo kama miaka 6 sasa na kipindi chote nimekutana na watu mbali mbali ila sikuwahi kuwa na tamaa na mwanamke wa facebook kwa maana ya mkumtongoza mwanamke fb mpk ilipotokea kwa huyu.
Huyu Dada hata sijui ilitokeaje tukawa marafiki Fb tukajikuta tuaanza kuchati mazungumzonya kawaida kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kuona mazungumzo yanahama nakaa najaribu kuonesha heshima maana ilikuwa kanizidi umri kidogo tukabadirisha namba za simu sikuwa najua kama kaolewa na hakuniambia ila mie alijua na make kwani aliona picha Fb.
Tukapanga tuonane siku moja Mungu sio Jecha wala Lowasa ikatokea siku tukaonana katika maongezi na hapo kaishanipuna Savannah sijui nyama choma tukajikuta tupo hoi ndio ananiambia ni mke wa mtu nikajisemea lazima nimtafune kaishanitia hasara nikamgegeda lakini nafsi ilinisuta sana nikiona namsaliti yf ambae yeye Nina uhakika ni muaminifu na hata siku hiyo angekuwa makini angegundua hiyo ikapita tukakaa muda mrefu story ni kwenye Fb tu maana simu ni kimeo wenza wetu wangeweza kutustukia.
Sasa juzi juzi ilikuwa j2 fy kaenda kwenye issues zake huyu mama kanipigia akaniuliza nipo wapi nikamwambia home akaniambia nimfate sehemu ni kawa sina ujanja kwenda nakuta kaishalipia chumba na kaagiza mbuzi katoliki na Pepsi baridi nikala na nikamgegeda vizuri sana mpk akadata sasa tatizo amekuwa msumbufu akidai Mzee wake hamfikishi vizuri na mambo kibao ,
Na toka juzi kuna namba ilinitumia sms ikidai imekuta sms kwenye namba ya mke wake anataka kukua mie ni nani sikuijibu nichofanya ni kumblock Fb huyu Dada na kwenye simu ila mpk anafanya hivyo nilikuwa nimeshapigiwa simu sana sikupokea maana sijui nitaongea nini alichosema atahakikisha ananidaka sasa nahofia kufanyiwa kitu ile Mungu hapendi au kurogwa maana huyu jamaa ni msukuma naombeni ushauri jamani nipo kwenye wakati mgumu nifanyeje.
Ushauri wangu ni huu:
 
Dear don't take him wrong... What he meant hakuna siku inayopita bila kuona thread za marriage problem na hii came from after I have wrote : if we are not ready to marry or don't know the meaning of marriage why we got married since we knew not done yet with our foolishness things? So don't be offended with ,something talks in general and not only you .. It's for all of us ... Thanks..
thanks for making that clear to him...
 
H


Hiyo sawa maana ni ngumu pia kuanza tu kujieleza kunahita timing kama nilivyosema awali
mkuu leo unaandika hapa trust me kuna siku utashindwa hata kuja hapa JF! nakushauri uache hiyo tabia maana kuna siku utakua inakiogopa hata kivuli chako!
 
Dear don't take him wrong... What he meant hakuna siku inayopita bila kuona thread za marriage problem na hii came from after I have wrote : if we are not ready to marry or don't know the meaning of marriage why we got married since we knew not done yet with our foolishness things? So don't be offended with ,something talks in general and not only you .. It's for all of us ... Thanks..
Mie nimetulia sana aisee kitu ambacho sielewi mpk sasa hata sijui ilikuwaje nikajikuta nachart na huyu Dada mpk kufikia hata ya kutaka kuonana nadhani na shetani anahusika na katika kipindi chote lazima nijutie kwa kile nilichokifanya na nilikuwa naona uchungu kama vile wa kwangu ndio kanisaliti
 
Kwa mke wa mtu sina cha kukushauri maana umefanya dhambi inayomchukiza Mwenyezi Mungu, nenda kafanye toba na Mungu atakusamehe.
 
kwa sisi wakristo tunaruhusiwa kula nyama leo ijumaa kuu??
 
Unapokuwa na ndoa yenye furaha alafu unaongeza bidii katika kuhakikisha ya mwenzio inaingia huzuni.Tubu kwa Mungu wako uachane na hiyo tabia ya uzinzi.
 
Mie nimetulia sana aisee kitu ambacho sielewi mpk sasa hata sijui ilikuwaje nikajikuta nachart na huyu Dada mpk kufikia hata ya kutaka kuonana nadhani na shetani anahusika na katika kipindi chote lazima nijutie kwa kile nilichokifanya na nilikuwa naona uchungu kama vile wa kwangu ndio kanisaliti
Okay.. Then tell your wife the Truth.... Thanks..
 
Napenda sana kugegeda wake za watu...ni watam sana na hawana ahadi hewa...nlianza kuwagegeda nikiwa form 4 mwaka 2004 mpaka Leo cjaacha na staacha....

Nakuashauri nawe usiache kumgegeda huyo mke wa mtu...huyo jamaa utamkwepa kiaina tu....ikibumbuluka utakomaa nae bhana..kwani nini
Watoto wa siku hizi mna mambo!
 
Back
Top Bottom