Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ndio maana Marekani wameifungaHata Tiktok ni ngono tupi imetawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana Marekani wameifungaHata Tiktok ni ngono tupi imetawala
Ndio maana niliachana na huu mtandao wa kijinga miaka mingi sana.Fanya haya kuepuka hayo matatizo
Ndugu zangu Habari za Jumapili,
Sikuhuzi kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook.
Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwa jamii baada ya kuona picha na video zisizo na staha kwa mtu mwenye heshima zake,
Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au Picha chafu, fanya yafuatayo:-
👇🏽👇🏽
🖊️Ingia kwenye Settings ya Facebook Account yako kisha nenda Audience and Visibility halafu nenda Profile and Tagging.
🖊️Ukishafika hapo Profile and Tagging utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu Viewing and Sharing.
🖊️Kwenye 'Who can post on your profile' chagua 'Only Me' vivyo hivyo kwenye 'Who can see what others post on your profile' chagua 'Only Me.'
🖊️Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, 'Who can see posts you're tagged in on your profile' chagua 'Only Me'.
🖊️Aidha, pale kwenye option ya 'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it' napo chagua 'Only Me.'
_Baada ya hapo account yako itakuwa Safe.
Ina shida gani?Hivi kuna watu bado mnatumia Facebook
Hili swali nilikitegemea, kwamba fb na jf zina tofauti gani?Hivi kuna watu bado mnatumia Facebook
Kichekesho!TCRA watafanya nn ndugu? Fb ni dhaifu ndio maana ilihackiwa juzi hapa .
Wale hackers wanachukua mpaka account za watu ,wana namba za kenya wanajifanya watu wa UNICEF.
Bora hao wakianza tu hizo stories unajua hawa ni matapeli lakini hii ya kuweka picha za ngono kwenye profile yako kila rafiki yako anaona uchafu wako hii ni mbaya zaidi aiseeKichekesho!
Eti wanagawa fedha za msaada, wanadai uwatumie laki ili wakutumie millioni 2. Something!
Nikawa nashangaa, mbona wanatumia njia za kuscam za kizamani sana, kuna watu watao waokota kweli?
Aisee nilijisikia aibu kuna moja mtu mzima kama kai reply hivi,uboo uko juu ya KKatika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.
Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook
Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Ni wao wenyewe ndio wanafungua link kutaka kuangalia video?😂Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.
Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook
Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Hii nimeiona nikashangaa na kulog off Fb.Bora hao wakianza tu hizo stories unajua hawa ni matapeli lakini hii ya kuweka picha za ngono kwenye profile yako kila rafiki yako anaona uchafu wako hii ni mbaya zaidi aisee
kuna mmama kanipa simu nifute kabisa iyo account ya fb sababu ya izo picha watoto wake huwa wanashika simu yake kucheza game wasije kuona hizo mambo.
ila kwa chaputa wanaona ni neema kwao tena wanashukuru mpaka wanatokwa machozi kwa furaha.
Kuna wengine mishanga kibao kiunoniAisee nilijisikia aibu kuna moja mtu mzima kama kai reply hivi,uboo uko juu ya K
Ina utofauti gani na apps nyingine??
Ina shida gani?
Wewe endelea kutumia tiktok.
Facebook ni mtandao wa kishamba sana kwa namna ya interaction kati ya watu. Hauna privacy.Hili swali nilikitegemea, kwamba fb na jf zina tofauti gani?
Wenetu mnajiona wajanja kumbe ndio washamba wa mwisho.Facebook ni mtandao wa kishamba sana kwa namna ya interaction kati ya watu. Hauna privacy.
Ni mtandao ambao upo out of touch.
Privacy fb unaitengeneza wewe mwenyewe, ni vile watu wengi hawajui kuitumia.Facebook ni mtandao wa kishamba sana kwa namna ya interaction kati ya watu. Hauna privacy.
Ni mtandao ambao upo out of touch.
Nendeni setting then profiling and Tagging kwenye viewing and Sharing chagua ONLY ME na tagging zote Only me hawataweza kuku hack