Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

Fanya haya kuepuka hayo matatizo
Ndugu zangu Habari za Jumapili,
Sikuhuzi kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook.

Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwa jamii baada ya kuona picha na video zisizo na staha kwa mtu mwenye heshima zake,

Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au Picha chafu, fanya yafuatayo:-
👇🏽👇🏽

🖊️Ingia kwenye Settings ya Facebook Account yako kisha nenda Audience and Visibility halafu nenda Profile and Tagging.

🖊️Ukishafika hapo Profile and Tagging utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu Viewing and Sharing.

🖊️Kwenye 'Who can post on your profile' chagua 'Only Me' vivyo hivyo kwenye 'Who can see what others post on your profile' chagua 'Only Me.'

🖊️Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, 'Who can see posts you're tagged in on your profile' chagua 'Only Me'.

🖊️Aidha, pale kwenye option ya 'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it' napo chagua 'Only Me.'

_Baada ya hapo account yako itakuwa Safe.
Ndio maana niliachana na huu mtandao wa kijinga miaka mingi sana.

Hawa akina Elon wametumwa na shetani.
 
TCRA watafanya nn ndugu? Fb ni dhaifu ndio maana ilihackiwa juzi hapa .

Wale hackers wanachukua mpaka account za watu ,wana namba za kenya wanajifanya watu wa UNICEF.
Kichekesho!

Eti wanagawa fedha za msaada, wanadai uwatumie laki ili wakutumie millioni 2. Something!

Nikawa nashangaa, mbona wanatumia njia za kuscam za kizamani sana, kuna watu watao waokota kweli?
 
Kichekesho!

Eti wanagawa fedha za msaada, wanadai uwatumie laki ili wakutumie millioni 2. Something!

Nikawa nashangaa, mbona wanatumia njia za kuscam za kizamani sana, kuna watu watao waokota kweli?
Bora hao wakianza tu hizo stories unajua hawa ni matapeli lakini hii ya kuweka picha za ngono kwenye profile yako kila rafiki yako anaona uchafu wako hii ni mbaya zaidi aisee
 
Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.

Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook

Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Aisee nilijisikia aibu kuna moja mtu mzima kama kai reply hivi,uboo uko juu ya K
 
Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.

Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook

Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Ni wao wenyewe ndio wanafungua link kutaka kuangalia video?😂
 
Bora hao wakianza tu hizo stories unajua hawa ni matapeli lakini hii ya kuweka picha za ngono kwenye profile yako kila rafiki yako anaona uchafu wako hii ni mbaya zaidi aisee
Hii nimeiona nikashangaa na kulog off Fb.
Hizo picha ni za ngono kweli yaewzekana wahusika wakawa si wa nchi hii.
 
😃😃😃😃
kuna mmama kanipa simu nifute kabisa iyo account ya fb sababu ya izo picha watoto wake huwa wanashika simu yake kucheza game wasije kuona hizo mambo.

ila kwa chaputa wanaona ni neema kwao tena wanashukuru mpaka wanatokwa machozi kwa furaha.
 
Facebook ni mtandao wa kishamba sana kwa namna ya interaction kati ya watu. Hauna privacy.

Ni mtandao ambao upo out of touch.
Privacy fb unaitengeneza wewe mwenyewe, ni vile watu wengi hawajui kuitumia.

Ukienda kwenye settings zake kuna option kibao, na sasa hivi wameonheza na anonymous posts.
Ni wewe tu.
 
Aisee baada ya kusoma hapa si nikaenda kuangalia FB yangu! mamaaa!

Ujinga kabisa na nina mda mrefu sana siingii huko saiv naangalia nakutana na rafiki yangu kanitagg khaa!

Nimeblock kabisa
 
Nendeni setting then profiling and Tagging kwenye viewing and Sharing chagua ONLY ME na tagging zote Only me hawataweza kuku hack
Screenshot_2024_0324_233828.jpg

Hiyo kitu hapo unaielewaje?
 
Back
Top Bottom