Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

Watu wanadhalilishwa sana huko Fb 😂

Tukiona hizo picha/video zimepostiwa kwenye akaunti yako, tutajua sio wewe uliye post(Ila ulijaribu kutaka kuifungua/kuiona hio picha/video)

😂😂
Tutajua alikua anataka kupata burudani ya macho!!!
 
kuna mmama kanipa simu nifute kabisa iyo account ya fb sababu ya izo picha watoto wake huwa wanashika simu yake kucheza game wasije kuona hizo mambo.

ila kwa chaputa wanaona ni neema kwao tena wanashukuru mpaka wanatokwa machozi kwa furaha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nendeni setting then profiling and Tagging kwenye viewing and Sharing chagua ONLY ME na tagging zote Only me hawataweza kuku hack
Nashukuru sana mkuu nimepiga pini zote! wajinga sana hawa jamaa unakuta kwenye account yako watu wanapelekeana moto na mwezi mtukufu huu inakuwa balaa kubwa.

Kama ni mbususu tunazo nyumbani tunazichakata daily.
 
Wandugu mi sielewi. Ni muda Sasa tangu nianze kuona hizi picha yaani saizi hata kufungua mbele za watu Facebook naogopa maana lazima nizikute picha za ngono. Sijui wengine mnaziona pia daaa!
 
Unaona ngono kwa sababu upo intested na pages zinazohusiana na habari za ngono ngono.

Mimi napenda sana michezo, nikifungua fb habari nazokutana nazo sana ni za kuhusu michezo hasa mpira wa miguu.

Unaweza usilike hizo pages lakini kitendo cha kuruhusu kuona taarifa zao mara kwa mara filter ya fb inang'amua kuwa unapendelea hayo na itakuwa inakusogezea mbele kabisa.
 
Unaona ngono kwa sababu upo intested na pages zinazohusiana na habari za ngono ngono.

Mimi napenda sana michezo, nikifungua fb habari nazokutana nazo sana ni za kuhusu michezo hasa mpira wa miguu.

Unaweza usilike hizo pages lakini kitendo cha kuruhusu kuona taarifa zao mara kwa mara filter ya fb inang'amua kuwa unapendelea hayo na itakuwa inakusogezea mbele kabisa.
Wala sio hvyo hao ni kama hackers utakuta umepost kwenye page yako bila kujua ni suala la setting..
Hzo unazosema ww ni favourite news pages zako
 
Wandugu mi sielewi. Ni muda Sasa tangu nianze kuona hizi picha yaani saizi hata kufungua mbele za watu Facebook naogopa maana lazima nizikute picha za ngono. Sijui wengine mnaziona pia daaa!
Mimi recently Kila nikifungua Twitter, nakutana na hizo zaga
 
Wala sio hvyo hao ni kama hackers utakuta umepost kwenye page yako bila kujua ni suala la setting..
Hzo unazosema ww ni favourite news pages zako
Wewe unachosemea ni tagging, kwa nilivyomuelewa mleta mada anamaanisha akifungua tu homepage. Labda kama sio hivyo aelekeze hapa.
 
Nenda sehemu ya profile na unlike page zote then uanze kulike upya

Pole Sana mkuu
 
Yaan kwangu ndo tabu tupu, nilikuwa na mazoea ya kufungua facebook mbele ya watoto lakin kwa sasa nimeogopa. Marafik wengi wanaconnectiwa (tag) kwenye post za picha za ngono, mwanzon nilianza ku unfriend na ku unffolow yoyote waliyemtag na picha chaf, nimefanya hivyo lakin bado tu. Sasa kuna jipya tena, kuna ma kurasa ya animation (yaan picha kama za michoro vile) za uchi. Nimeyablock lakn yanamiminika kama maji. Hata mim nataka msaada kwa hilo.
 
Back
Top Bottom