Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tell us about it.Hakuna anayetumia kunyasi/ astringent humu?
Pore strips je?
Wee mahi, hii bei gani?km ngoz ya mafuta tafuta La roche -posay
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kusoma huu uzi nimejiona niko gender ya peke angu. [emoji21][emoji21][emoji21]
80- pharmacyWee mahi, hii bei gani?
Nimekumbuka dermoviva🤣🤣🤣ila wafanyabiashara 🙌80- pharmacy
38-50- normal cosmetic shops
80k nadhani ila niffer alileta zile zake sijui 35k au ukitaka og agiza from amazon 😂Wee mahi, hii bei gani?
Kheee!! Unataka niambiaje mahi80k nadhani ila niffer alileta zile zake sijui 35k au ukitaka og agiza from amazon 😂
🤣🤣 wanatupiga sana sie wavivu tusiozurula madukani🥹Nimekumbuka dermoviva🤣🤣🤣ila wafanyabiashara 🙌
trust me mahi nilinunuaga ya 35k 😂😂alooo nikanunua ya 80k afu nikaja agiza kwao wenyewe sunscreen ya uso tu kadogo $39 ni tofauti na hizi tunazopewa huku nakwambia 😂😂😀Kheee!! Unataka niambiaje mahi
Kuna sehemu ndiyo nimeshuhudia wanauza 80k.
Wale wanaouza 38-50k?
😂😂😂shida ni kwamba unaweza toa hela kubwa ukahidi unanunua Og kumbe unanunua feki kwa bei ya Og🤣🤣 wanatupiga sana sie wavivu tusiozurula madukani🥹
😂😂😂😂mbona kudhaniUsipokuwa makini unaweza dhani JF ni matajiri na warembo tupu yan...
yaaan!!!! Vitu kama 30 hivi vinapakwa usoni...Daaah wanawake mnakazi jamani. Mungu nakushukuru kwa kuniumba mwanaume aisee...
Yan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi🤣🤣 wanatupiga sana sie wavivu tusiozurula madukani🥹