Facial treatment / matibabu ya uso

Facial treatment / matibabu ya uso

em njoo we shangazi Fake P
Aikoooo niite kwa adabu maharagwe weye.🤣🤣🤣
Najiosha na Cerave, then moisturizer (Garnier),
namaliza na Poda
Nawahi Mji wa serikali kupanda miti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna anayetumia kunyasi/ astringent humu?

Pore strips je?
 
80k nadhani ila niffer alileta zile zake sijui 35k au ukitaka og agiza from amazon 😂
Kheee!! Unataka niambiaje mahi
Kuna sehemu ndiyo nimeshuhudia wanauza 80k.

Wale wanaouza 38-50k?
 
Daaah wanawake mnakazi jamani. Mungu nakushukuru kwa kuniumba mwanaume aisee...
 
Kheee!! Unataka niambiaje mahi
Kuna sehemu ndiyo nimeshuhudia wanauza 80k.

Wale wanaouza 38-50k?
trust me mahi nilinunuaga ya 35k 😂😂alooo nikanunua ya 80k afu nikaja agiza kwao wenyewe sunscreen ya uso tu kadogo $39 ni tofauti na hizi tunazopewa huku nakwambia 😂😂😀
 
🤣🤣 wanatupiga sana sie wavivu tusiozurula madukani🥹
😂😂😂shida ni kwamba unaweza toa hela kubwa ukahidi unanunua Og kumbe unanunua feki kwa bei ya Og
 
🤣🤣 wanatupiga sana sie wavivu tusiozurula madukani🥹
Yan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi
 
Back
Top Bottom