FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Hapo huenda ni kudhulumiana au pesa, au mapato ya nyimbo, au mashahiri su beat ya mziki...hakuna siasa, wala serikali hapo
 
Porojo tu utatoaje fact wakati maelezo kwa alietekwa bado
 

Natamani ingetokea mtu akaanzisha chama kingine cha upinzani, ili kichangamshe serikali na maendeleo nchini yaonekane.

Wana matumbo yamejaa njaa, hawajali wananchi kabisaaaaaaa.
 
Swali muhimu ni hao waliotekwa walipatikana wapi??

Hapo ni wajibu wa police na serikali nzima ambayo imeonekana ikishutumiwa kujinasua katika hili na kuuthibitishia umma kwamba hao vijana walijiteka!
Naungana nawe katika kuhoji hili
 
Porojo tu utatoaje fact wakati maelezo kwa alietekwa bado

Waliosema wametekwa wamejipa muda mrefu kusema wanayotaka kusema.

Wale walioongea na mapaparazi alipotokomea, ni muhimu sana sana katika jambo hili.

Mkewe pia.
 
Halafu bwana Nape eti "Roma Oooooh No"
 
Waliosema wametekwa wamejipa muda mrefu kusema wanayotaka kusema.

Wale walioongea na mapaparazi alipotokomea, ni muhimu sana sana katika jambo hili.

Mkewe pia.
Lazima wajipe muda ili wawe sawa kisaikolojia kwani kuna uharaka gani
 
Poleni sana JF kwa kubeba kila kitu .
Na kama kuna mtanzania ataunga mkono Jf kufungiwa nitamshangaa sana. Mtandao ambao haubagui nani aseme nini , wakati gani, mahali gani!! Eti huyu naye kaleta uchambuzi huku akijua wazi uchambuzi wake una matobo kama chandarua? Halafu Mods wamemwachia ajimwage anavyojisikia na washabiki wake kina chaneli koko wamejitokeza eti na "popkorn" kumuunga mkono, halafu ajitokeze mtu aseme Jf ifungiwe?? Hoja gani ya yenye uzito wa kuonyesha ukweli wa mleta mada? 1.Kwamba watekaji walitakiwa wavae ovyo ovyo? Hoja dhaifu kuliko zote ni hii, mtoa mada anategemea watekaji wavae marapurapu kwa vile tu kitendo wanachokifanya ni uhalifu? Hiyo dunia ilishapita, majambazi wanavaa suti siku hizi.
2.Kwamba watekaji walitakiwa wawe na sura za kikatili? Huu ni udhaifu wa kuvamia taaluma za watu bila kujijua. Siku hizi mtu anakuua kwa kukununulia kinywaji na kukaa naye kirafiki.
3.Kwamba watekaji walitakiwa wawe wanamjua Roma vilivyo kwa vile anafahamika nchi nzima? Mbona kuna mtu mzima anaitwa Le mutuz alipost hamjui kabisa huyo Roma wenu, na hamkumshangaa mnashangaa watekaji?
4.Kwamba watekaji waliwaambia wasiohusika mbaki hapo hapo? Yaani mlitaka wawaambie nendeni kituo cha Polisi mkatoe taarifa? Walichokifanya watekaji ndicho walichotakiwa kufanya, wale wabaki hapo mpaka watakapotokomea.
5.Kwamba Rc kusema watarudishwa kabla ya jumapili wakiwa salama na ikatokea kweli ni kwa vile yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama? Hoja yenye utani mwingi hii!! Watu wametekwa, wenzao wakaitisha kikao wakasema wewe Rc warudishe wenzetu "maana una uwezo wa kufanya hivyo", nawe kama Rc bila kujiuliza undani wa kauli hiyo unajitokeza na kusema "watarudi kabla ya jumapili tena wakiwa salama", na kweli jumamosi wanaonekana tena wakiwa salama kama ulivyoahidi!! Ni wangapi kwenye mkoa wako wamepotea au kufanyiwa uhalifu ukatoa tamko tu wakaonekana?
6.Kwamba mateka mmoja amerudi na nguo tofauti na alizotekwa nazo? Ukiangalia kwa nje unaweza kuiona ni hoja nzito, lkn hata wote wangeweza kupewa nguo tofauti hasa nyeusi kukidhi matakwa ya watekaji na kuendana na mazingira.
7.Hoja nyingine ni dhaifu kiasi cha kutohtaji majibu.
 

Si alikua anachechemea yule?
Au na wewe umehadithiwa?? Kijana jipange na propaganda zako mfu
 
Haaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense
Kuhusu nguo inamaana ujajua kuwa Ruge aliwapata tangu usiku?
 
""""" hahahahahahahah nguo zimeshuka bei? mana sikukuu hii naona hali mby""""""""'''' ha!!! kumbe mnazungumzia ROMA?
 
Haaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense
Mkuu hapo kwenye nguo vipi jamaa alibadilisha. Au
 
Watekaji wa tanzania sio kama unaowaonaga kwenye muvi za ulaya. Huku hata makachero wa usalama wa taifa wakiambiwa watoe vitambulisho huwa wanatoa bastola.
Uongo wangu upo wapi mkuu fafanua kwa fact kiongozi
 
Wewe ni muandishi mzuri 95%
Lakini sio mtoa hoja mzuri 20%
 

Mmmhhh mpaka hili boksi la popcon liishe ntakuwa nmeona vya kutosha... j3 ni mwendo wa karanga na all eyes on radio&Tv...wapi mzee wa kuwafunulia watu mixer udaku na facts in issue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] LMAO
 
Lumumba ndio wapi, inakuuma nini wewe kie kumsoma na kujilia popcorn?

Wewe wa kutafakari andika yako, muache aliyeamua amejitahidi.


Mengine siongezi, nimeamua kumpa support na kulike juu... tu ha ha haaaaa jipige vibao vya usoni.
Hahahaa!!! Ngoja nijitandike vibao pah pah pahh! ila Cocochanel punguza mahaba na ccm dahhh!!!
 

Mmmhhh mpaka hili boksi la popcon liishe ntakuwa nmeona vya kutosha... j3 ni mwendo wa karanga na all eyes on radio&Tv...wapi mzee wa kuwafunulia watu mixer udaku na facts in issue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] LMAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…