cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
kuhu
kuhusu MAVAZI, tumeambiwa watekaji waliwarudisha akina Roma saa 9 usiku hapo walipo wachukua, baadaye ndio wakapelekwa Ostabay police, yawezekana mda huo ndio Roma kabadilisha mavazi
Halafu mtu wa hivyo nae unakuta ni mhitimu wa choo kikuu!Elimu yetu majanga sana.Kama umeenda ni Bashite utamaliza Bashite hivyohivyo ingawa una GPA kubwa.Hata hoja moja kuijenga hawezi.Anaandika tu kama mashairi ya taarabuUme crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Taratibu mkuu, huyu ni mawazo yake na ni member mbona zaidi ya miaka 5 humu. . tupeane maswali fikirishi na si kumeza na kufurahia kile tunachokipenda tuHaaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense
Hili ngoma lina stahili tuzo ya kill kabisa.ngoja niisambaze.
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]Poleni sana JF kwa kubeba kila kitu .
point taken.mleta uzi mi nimemuelewa sn kwa point zake maelezo ya kina ni muhimu juu ya aina ya utekaji huu.Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Kaleta evidence? Kwamba mkuu wa mkoa kwa kuwa ni kijana anajua mambo ya vijana kwa hiyo inawezekana alikuwa anajua kinachoendelea...ndio evidence?Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Wenye vichwa vibovu na mliofungwa fikra na akili ili msione mbele kwa kutolewa kafara ndivo mnavosapotiana hiviNimependa, ngoja nikae mkao mzuri wa kula nisome nikila butter popocorn.
Nimemaliza ungeongezea kuwa kalipwa pia na kuahidiwa mengi na walio nyuma ya kumchafua RC na Raisi wetu. Yote haya ni madawa, upinzania etc
Watanyooka tu
Awamu hii sio ya kujaribu blah blah blah
Wenye vichwa vibovu na mliofungwa fikra na akili ili msione mbele kwa kutolewa kafara ndivo mnavosapotiana hivi