Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Rais mpya huwa anaingia na timu yake kama alikuwa balozi wa Uholanzi yeye ndio alimpeleka USA angeweza kumpiga chini

Masilingi alipelekwa na Kikwete uholanzi na Marekani siyo na Magufuli.

Magufuli anaweza kuwa ameextend muda wake wa ubalozi, lakini alimkuta hapo ubalozini Marekani keshateuliwa na rais aliyemtangulia (yaani Kikwete). Hata kiapo cha uteuzi Masilingi alikula mbele ya Kikwete siyo Magufuli
 
Hata kama ame mu extend/ confirm - mimi najua hiki kwa sababu mzazi wangu aliteuliwa na rais mmoja, akawa confirmed kuendelea kazini na rais mwingine, lakini bado alichosema Magufuli, kama kasema kweli kwamba yeye ndiye aliyemteua, ni half truth.

Kwa sababu anatoa impression kwamba yeye ndiye aliyetoa original appointment na si ku re affirm tu.

Mara nyingi walioteuliwa wanakuwa re affirmed as a matter of formality, unless mtu awe na scandal kubwa kafanya hapo kati.

Wewe muandishi wa habari, unajua kwamba, kama unaandika article, kwa journalistic integrity, unatakiwa kutofautisha original appointment na confirmation inayotokea baada ya rais mpya kushika madaraka.

Magufuli hana interest sana na facts, ana interest na siasa.
 
Ukweli unabaki pale....Masilingi hakuteuliwa na Magufuli au MEKO, Aliteuliwa na Kikwete kwa hiyo asiseme uongo, ndiyo alikuwa rais 2015 lakini hakumteua. Sijaona mtu muongo na msahaulifu kama hilo Magufuli. HAONI HATA AIBU...kwani akisema ukweli anakosa nini?
 
wewe ni mhutu nini kama unayemtetea ? manake nawasiwasi na uelewa wako wa lugha ya kiswahili.
Hivi Kumteua mtu kwenye kazi ni sawasawa na kumuongezea Muda Mtu kwenye kazi?
Kweli kabisa ubongo wako unafikiria sawasawa we mburura?
Nafasi ni ya uteuzi, rais akisema endelea kuwa balozi ni sawa amekuteua tena. Au ulitaka usikie amaetangaza ndio uelewe.
Wewe kinachokusumbua ni kuwa akili zako zimejaa kinyesi ndio maana unapost mavi.
 

acheni kuwa mazuzu jamani uu msamiati wa ukweli nusu ndio nimeanza kuusikia leo.
Ukweli ni Ukweli tu hakuna cha Ukweli Nusu au Uongo nusu .
Ukweli Magufuli kadananya umma hajamteua Masilingi kuwa Balozi Marekeni yeye kaingia madarakani kamkuta
 
Aseme basi alimuidhinisha kwa mara nyingine tena kwa kuona anafanya kazi nzuri huko ubalozini. Kama kuteuliwa alishateuliwa na JK, na jpm hakutengua.
 
acheni kuwa mazuzu jamani uu msamiati wa ukweli nusu ndio nimeanza kuusikia leo.
Ukweli ni Ukweli tu hakuna cha Ukweli Nusu au Uongo nusu .
Ukweli Magufuli kadananya umma hajamteua Masilingi kuwa Balozi Marekeni yeye kaingia madarakani kamkuta
Tatizo ni kwamba, msamiati wako mdogo.

Kama ndiyo leo unasikia msamiati wa "half truth", tunatofautiana mengi sana na sitegemei uweze kunielewa.

Ni bora nimfundishe sisimizi String Theory.

String Theory nayo ushawahi kuisikia?

Maana kama ndiyo leo unasikia "half truth", inawezekana kuna mengi sana ninayojua huyafahamu.

Bishana na kamusi sasa.

From www.dictionary.com


half-truth

/ˈhaf ˈˌtro͞oTH/

noun

a statement that conveys only part of the truth, especially one used deliberately in order to deceive someone.

"the nuclear industry has often resorted to half-truths and cover-ups"

Definition of HALF-TRUTH

Definition of half-truth

1: a statement that is only partially true

2: a statement that mingles truth and falsehood with deliberate intent to deceive
 
Magufuli hakutengua uteuzi wa Masilingi
Alikuta Masilingi keshateuliwa na Kikwete
Kwa hiyo siyo sahihi Magufuli kudai kuwa yeye ndiye aliyemteua Masilingi.
 
alimdanganya nani? na alimdanganya nini?
Baba watu wakisha piga kunako, kimbia tu! 🏃‍♀️🏃🏽‍♂️Kwanini ung’ang’anie wakati gemu imeisha? Utamsababisha jamaa afukue makaburi zaidi!!
 
Baba watu wakisha piga kunako, kimbia tu! 🏃‍♀️🏃🏽‍♂️Kwanini ung’ang’anie wakati gemu imeisha? Utamsababisha jamaa afukue makaburi zaidi!!
nyumbu ni nyumbu tuu
HIv ata jinsia yako unaijua kwel?
 
Nafasi ni ya uteuzi, rais akisema endelea kuwa balozi ni sawa amekuteua tena. Au ulitaka usikie amaetangaza ndio uelewe.
Wewe kinachokusumbua ni kuwa akili zako zimejaa kinyesi ndio maana unapost mavi.
wewe ndio akili zako zimejaa kinyesi, nani kakwambia nafasi zote za uteuzi wa Rasi , raisi mpya akiingia madarakani lazima ateue upya.
Nyingi tu anaendelea nazo na akiamua kumbadilisa anambadilisha baadae.
Nikupe mfano wa Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alipoingia madarakani Magufuli aliamua kuendelea naye kwa muda , na baadae akamtengua.
Kwa akili zako mavi unataka kutuaminisha kwaba alivyoingia madarakani alimteua Sefue kuendelea naye halafu baadae kidogo akamtengua akisema atampangia kazi nyingine.
Nakueleweasha kitu wewe mbulula, pamoja na instruments nyingine zinazoambatana na uteuzi wa Rais , Instrument moja muhimu ni kula kiapo na kukisaini mbele ya Mteule yaani Rais (dhama kubwa ya uteuzi wa Rais ipo hapa we mjinga nazani unavyoona watu wanaapiswa na Raisi sijui unaelewa nini pale nahisi hufaamu kitu wala maana ya kiapo)
Sasa jiulize ni lini Masilingi aliapa mbele ya Magufuli , wakati kiutaratibu ni lazima kila mteule wa Rais kabla ya kuanza kazi ni lazima ale kiapo cha utii mbele ya Raisi aliyemteua?
 
Akili yako imejaa mavi na unakunywa gongo la mavi. Kula kiapo mbele ya rais sio kuwa ndio ishara pekee kuwa rais amekuteua.Kitendo cha kuacha undelee na uteuzi, impliedly amekuteua na umekula kiapo. Kwa sababu huna akili na unakariri ndio maana ulitaka uone Masilingi anaapa ikulu.
 
Na ukweli nusu ni Sawa Sawa na uongo! Ile nusu hufichwa ili ku-deceive!
 

Nimeongelea kuhusu Ukweli Nusu na sio " half Truth",
Niletee kamusi yenye neno Ukweli Nusu ndio nitakuelewa, kiswaili hakina msamiati ukweli nusu au uongo nusu.
la sivyo nimekuelewa hivi "a statement that mingles truth and falsehood with deliberate intent to deceive"
Kwa hiyo hiyo "half truth " madhumuni yake ni kudanganya ndio maana tunasema magufuli kadananya na hata huo msamiati "half truth " kwa kiingereza maana yake ni kudanganya ila ni katika kuficha ukali wa kutumia neno False
 
Kwanza kajifunze kuandika ndo uje tena kukoment.
 
nyumbu ni nyumbu tuu
HIv ata jinsia yako unaijua kwel?
Jinsia naijua, pia kwenye nyumbu sipo! Hata Wewe siyo nyumbu, lakini pia hapa siyo swala la jinsia, hapa jamaa ameweka vielelezo, alichosema Baba ako na uteuzi wa Masilingi, Wewe unabishana na facts! Usipaniki, watu wakikuzidi hoja, unaachana nayo, kwani ni lazima utokwe na povu jiiingi?! Kunywa maji jitulize, alafu kafanye mambo mengine!
 
kawadanganye wajingawajinga wenzako wewe mbulula , Ukiteuliwa na Rais ni lazima ule kiapo mbele yake HII NI LAZIMA NA NI MUST ni takwa la kikatiba na kisheria,
So uwezi kusema Masilingi kateuliwa na Magufuli kwani hakuapishwa na yeye. Mjinga mkubwa we na akili yaki imejaa mavi kama unayemtetea
 
Meko kazoea uongo,ni kama alivyodanganya milioni 50 kila kijiji
 
Kwani mimi nimeandika "ukweli nusu" au "half truth"?

Na wapi nilisema Magufuli hakuwa na nia ya kudanganya?

Umejua maana ya half truth sasa?

Au bado unataka kubishana mpaka na kamusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…