Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Lakini tumebaki nyuma kuwa masikini wa kutupwa
Hayo maneno yako. Hayanihusu, Tanzania haiishii leo wala kesho. Kuna kizazi kijacho.
Mtu mpumbavu hula chakula chake chote na kusahau kizazi kijacho. Lakini mwenye hekima hutumia mali zake kwa busara kwa ajili ya baadae. Sasa jitazame mawazo yako yapo katika kundi gani.
 
ni aibu tanzania kuendelea kuwa masikini hali ya kuwa tuna rasilimali za kutosha kuweza kutukomboa na umasikini

don't panic fellaz it's just what am thinking!!
 
Hayo maneno yako. Hayanihusu, Tanzania haiishii leo wala kesho. Kuna kizazi kijacho.
Mtu mpumbavu hula chakula chake chote na kusahau kizazi kijacho. Lakini mwenye hekima hutumia mali zake kwa busara kwa ajili ya baadae. Sasa jitazame mawazo yako yapo katika kundi gani.
sasa hicho kizazi kijacho ni kipi?

mbona watu washaanza kuimega keki yetu ya taifa siku nyingi,
hicho kizazi kijacho unachokisema huoni kitakuta mabua???

sisi pia tuliitwa kizazi kijacho, tumekuja lakini sidhani kama tunanufaika vya kutosha
 
nimeipenda post yako mtoa mada kwa sababu inachangia kutangaza rasilimali zetu, ila it's a shame kuona nchi yenye rasilimali kiasi hiki inaendelea kuwa masikini
Nani kakwambia Tanzania ni maskini? Au propaganda za wamagharibi zimekuingia!!?
Kwa mfano wewe ni maskini? Kitu gani ukitaka kufanya Tanzania kwa kujitafutia kipato unashindwa? Hebu fikiria zaidi ya hapo. Your better than this.
 
Unafikiria kitoto. Unatakiwa ufikiri kama mtu mzima. Tanzania itakuwepo, wewe utapita.
yah what u r sayin is very true, ila kumbuka it's now 56 yrs since independence, but we are not progressing enough, how many yrs are enough for us to move on??
 
Nani kakwambia Tanzania ni maskini? Au propaganda za wamagharibi zimekuingia!!?
Kwa mfano wewe ni maskini? Kitu gani ukitaka kufanya Tanzania kwa kujitafutia kipato unashindwa? Hebu fikiria zaidi ya hapo. Your better than this.
wooooow!? huenda wewe ukawa ndie mtanzania pekee ambae hujui kuwa nchi yetu ni masikini.

my br cha muhimu tupige kazi kwa nguvu zetu zote tuijenge nchi yetu kwa amani na upendo, hakuna haja ya kulumbana
 
yah what u r sayin is very true, ila kumbuka it's now 56 yrs since independence, but we are not progressing enough, how many yrs are enough for us to move on??
Bana ngonjera zako peleka huko sawa. Wewe umefanya nini katika familia yako kwa umri wako huo? Mbona kila kukicha kulalamika lalamika kama wehu. Unataka nani akufanyie kazi. Kama siyo ujinga ni nini. Unalalama lalama kama vile wewe unajua sanaaaana!!? Nimekueleza kwa heshima hutaki unataka nikuelezeje. Nimekuuliza maswali unarukia kulalamika kama mwehu.
 
Bana ngonjera zako peleka huko sawa. Wewe umefanya nini katika familia yako kwa umri wako huo? Mbona kila kukicha kulalamika lalamika kama wehu. Unataka nani akufanyie kazi. Kama siyo ujinga ni nini. Unalalama lalama kama vile wewe unajua sanaaaana!!? Nimekueleza kwa heshima hutaki unataka nikuelezeje. Nimekuuliza maswali unarukia kulalamika kama mwehu.
vipi! umekasirika???

usijali ukielewa ninachokiongea utapoa, mchana mwema br
 
Hayo maneno yako. Hayanihusu, Tanzania haiishii leo wala kesho. Kuna kizazi kijacho.
Mtu mpumbavu hula chakula chake chote na kusahau kizazi kijacho. Lakini mwenye hekima hutumia mali zake kwa busara kwa ajili ya baadae. Sasa jitazame mawazo yako yapo katika kundi gani.

Mawazo yangu yako kwenye kundi la kuhifaadhi Tanzaniaiwasaidue watanzania Leo na kesho na miaka mingi ijayo. Lakini haiwezekani bila uongozi mzuri. Mawazo yako yako wewe ni Mali tu tuliyonayo lakini jiulize inamsaidia nani? Tanzania ina Mali nyingi na nchi nzuri ambayo haiwasaidii watu wake. Ikiwa Mali hizi hazitusaidii kwa sasa tutajenga nchi hii isaidie generation ijayo kwa vipi? Nchi nzuri yenye utajili wa asili mali, basi Mali hizi zitumiwe vizuri, kwenye elimu, afya, na mambo mengi ya kujenga taifa. Vitu vizuri ambazo havitumiki kuendeleza maisha bora ya wananchi, kisha unaniuliza niko kwenye kundi gani, jiulize wewe Mali hii unayotuonyesha Watanzania wakati watoto wetu hawana hata maji safi ya kunywa uko kwenyekunfi gani?
 
Nani kakwambia Tanzania ni maskini? Au propaganda za wamagharibi zimekuingia!!?
Kwa mfano wewe ni maskini? Kitu gani ukitaka kufanya Tanzania kwa kujitafutia kipato unashindwa? Hebu fikiria zaidi ya hapo. Your better than this.
Wenzako tu ndio wanakumaliza,, wakenya tumenyamza
 
The earliest human skull in the world was discovered in Olduvai Gorge in Tanzania
Ni Tanzania pekee duniani iliyopatikana na fuvu la mtu wa kwanza duniani. Kwa maana hiyo inasadikika hapa Tanzania ndiyo bustani ya Aden ilikuwepo.

View attachment 480721 View attachment 480722
That makes sense! Maybe it was Adam's skull, and maybe that's why we have peace in our country! But was he black or white?!

But kuna confusion
Watu walioishi kabla ya Nuhu wote walifukiwa chini ya ardhi na gharika, miili yao haikuonekana tena. Hivyo baada ya gharika kuanzia uzao wa nuhu ndo uliishi juu ya ardhi hii mpya baada ya mvua, na labda fuvu likawa ni la kuanzia uzao wa kina nuhu na hivyo bustan ya Eden haikuwepo Tanzania- this makes sense too
 
wooooow!? huenda wewe ukawa ndie mtanzania pekee ambae hujui kuwa nchi yetu ni masikini.

my br cha muhimu tupige kazi kwa nguvu zetu zote tuijenge nchi yetu kwa amani na upendo, hakuna haja ya kulumbana

Lakini tumebaki nyuma kuwa masikini wa kutupwa

ni aibu tanzania kuendelea kuwa masikini hali ya kuwa tuna rasilimali za kutosha kuweza kutukomboa na umasikini

don't panic fellaz it's just what am thinking!!

nimeipenda post yako mtoa mada kwa sababu inachangia kutangaza rasilimali zetu, ila it's a shame kuona nchi yenye rasilimali kiasi hiki inaendelea kuwa masikini

This is some western's mind game. They know the power of mind so the best they can do is to feed us with negativities so we can believe we're not capable of.. And so we can lack belief in ourselves wakihofia kuzidiwa kiuchumi and extra. Umaskin wetu ni akili zetu.
 
This is some western's mind game. They know the power of mind so the best they can do is to feed us with negativities so we can believe we're not capable of.. And so we can lack belief in ourselves wakihofia kuzidiwa kiuchumi and extra. Umaskin wetu ni akili zetu.
Yaani huwa nashangaa sana watu wa namna hii
 
Yaani huwa nashangaa sana watu wa namna hii
hii sio ligi br, tambua freedom of self expression

nakubali nilitakiwa kukusapoti, ila sio dhambi watu wakieleza wanavyohuzunishwa na jinsi rasilimali zinavyobadhiliwa

nchi ni yetu sote, na kila mmoja anaijenga kwa nafasi yake

ila ni vigumu kuzuia hisia za watu
 
kwa uzuri na mambo kadha wakadha matakatifu na matamu ya Tanzania nadhani sisi ndio number moja duniani,lakini kimaendeleo tushakilia nafasi ya bashite
 
Absolutely truth. We are above all in Eastern and central African Countries.

By the way if you will combine Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi together, still Tanzania is biggest in kilometers square.

Kenya; 581,309 sq km
Uganda; 241,040 sq km
Rwanda; 26,338 sq km
Burundi; 10,747 sq km
Total 859,434 sq km.

While Tanzania is 945,087 sq km!!!!!
 
Back
Top Bottom