Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Tanzanians love hip hop music and has created Bongo Flava, which is an amalgamation of international styles like reggae, afrobeat, blues, rasta and dancehall with local musical traditions like taarab and dansi.
 
...

tatizo umechukulia kuwa mtu akieleza huzuni aliyonayo basi atakua ni mlalamikaji

lazima tulalamike, ...

kama wewe unakula vizuri, unakunywa vizuri na unalala pazuri basi tambua kuna wengine hali zao ni kinyume chako, na wala si kwa sababu ni wazembe bali hakuna opportunities za kutosha

...

bado hujaelewa tu??

Acha nikwambie.
Kwanza umejicontradict hapo juu kuhusu malalamiko.

Pili. Fursa zipo nyingi sana. Sana. Na ni UZEMBE ikiwa mtu ni timamu mwenye afya asinufaike nazo. Huyo anaezuia wengine ni nani hata ana nguvu zaidi ya Mungu? Tafadhali usikufuru.
 
Tanzania is a friendly country in diplomatic circles, but the country did declare war on neighboring Uganda on October 30, 1978. Tanzania totally owned the Ugandans and won a victory after 5 months.
 
The world’s longest river, the Nile is most synonymous with the world’s first civilization – The Egyptian Civilization. This river originates from Lake Victoria, Tanzania.
 
Acha ujinga. Hujui uongealo. Ninakusamehe bure.
Ukitukana utatukanwa, kwani ulichoandika nani alikutuma? Sisi hiyo historia tumeisoma wee bado unatawazwa na mamaako na bado haikuleta mabadiliko mpaka Leo! Ukaona nawe ume hit kwa utumbo wako hapa na hutaki kukosolewa, TTB wameshindwa we kapuku utaweza wapi?

Angalia wengine hatukuzoea kutukana!
 
Ikiwa una chakula kingi ndani au umeambiwa ndani mwako kuna chakula kingi ilhali wewe unakufa njaa utafanya nini?

Utatoka nje kupaaza sauti kuwa una njaa, utapiga mbiu kuwa unadanganywa shambani mwako kuna chakula ama utafanya jambo upate chakula ule?

Nchi ni tajiri. SANA. Wapo watu jangwani na wanatuuzia juisi. Hivi unataka nini kifanyike?

Umelima nini kikashindwa kuuzika? Umetengeneza nini kiwandani kikadoda? Umebuni nini kisikubalike? Una hatimiliki ngapi hadi sasa?

Una elimu gani? Umeitumiaje? Una ujuzi gani? Unanufaika nao vipi? Una kipaji gani? Kimekutoa?

Kosoa sana watendaji kosoa wengine ila nchi usiiguse.

Na hao unaowaona maskini umebuni kazi ukawapa wakakataa?
 
Ukitukana utatukanwa, kwani ulichoandika nani alikutuma? Sisi hiyo historia tumeisoma wee bado unatawazwa na mamaako na bado haikuleta mabadiliko mpaka Leo! Ukaona nawe ume hit kwa utumbo wako hapa na hutaki kukosolewa, TTB wameshindwa we kapuku utaweza wapi?

Angalia wengine hatukuzoea kutukana!
Povu la nini sasa wewe mwehu!? Halafu ujinga siyo tusi. Uelewa wako ni finyu.
 
Haya haya Sasa ninaanza kuwaletea facts kuhusu Tanzania. Tanzania nchi bora kabisa Africa Mashariki. Sasa nitakuwa nadondosha kimoja baada ya kingine na picha juu. Watani wetu wa jadi ruksa kutoa mapovu tutayafuta tu. Nitakuwa nachanganya Lugha yaani kiswahili na kingereza

Tanzania has the most expensive hardwood tree in the world; the Mpingo trees, also known as the African Blackwood trees.

Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.
View attachment 480717 View attachment 480718
Hayo mengine Sina ujakikanyo but hili la mpingo kupatikana Tanzania pekee hapana sikweli...!

Mpingo unapatikana nchi tatu ktk Africa Tanzania Kenya na Msumbiji na unapatikana kwa wingi zaidi Mozambique
 
Haya haya Sasa ninaanza kuwaletea facts kuhusu Tanzania. Tanzania nchi bora kabisa Africa Mashariki. Sasa nitakuwa nadondosha kimoja baada ya kingine na picha juu. Watani wetu wa jadi ruksa kutoa mapovu tutayafuta tu. Nitakuwa nachanganya Lugha yaani kiswahili na kingereza

Tanzania has the most expensive hardwood tree in the world; the Mpingo trees, also known as the African Blackwood trees.

Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.
View attachment 480717 View attachment 480718
Lie #1. In kenya the south eastern of the country has them trees however they are endangered because they are used for the wood carvings
 
Hayo mengine Sina ujakikanyo but hili la mpingo kupatikana Tanzania pekee hapana sikweli...!

Mpingo unapatikana nchi tatu ktk Africa Tanzania Kenya na Msumbiji na unapatikana kwa wingi zaidi Mozambique
Hahaha!!! Yaani umeamua kuiweka Kenya. Huo Mpingo kenya unapatikana wapi?
 
Acha nikwambie.
Kwanza umejicontradict hapo juu kuhusu malalamiko.

Pili. Fursa zipo nyingi sana. Sana. Na ni UZEMBE ikiwa mtu ni timamu mwenye afya asinufaike nazo. Huyo anaezuia wengine ni nani hata ana nguvu zaidi ya Mungu? Tafadhali usikufuru.
naomba unielekeze usitumie jazba

lengo sio kugombana wala kuaibishana au kushindana, lengo ni kuwekana sawa

toa hoja upewe hoja, hakuna haja ya kutukanana.l
 
kukosoa ni njia mojawapo ya kutengeneza, ukikosolewa jitetee kwa maneno mazuri sio kwa kutukana tukana hovyo
 
matusi sio hoja, jibu hoja kwa kutoa hoja
Haha hoja huyo lengo lake ni kuharibu thread. Nimeshamueleza maelezo mengi mno. Halafu anarudia hicho hicho.
 
Back
Top Bottom