Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Tatizo sio kuwa na rasilimali nyingi, bali ni hizo rasilimali zinawanufaishaje watanzania na Taifa kwa jumla. Kumiliki rasilimali ni jambo moja na kufanya rasilimali hizo zinufaishe wengi ni jambo lingine
 
Kizazi kijacho hakihitaji plutonium, uranium, gold, diamonds, tanzanite or whatever, kinahitaji kukuta infrastructure imekaa sawa kwa shughuli za uchumi zitakazokuwapo! Watu kama wewe ndo mnafanya umaskini utamalaki ktk nchi hii kwa kudanganya mbumbumbu kwamba Tanzania ni tajiri. Unajua ni sawa na kusema tuna chakula kingi ndani halafu unashinda na njaa, mchwa, panya na bunguzi wanajifanyia michakato ndani ya ghala! Unasifia deposits za utajiri ambazo zinaondoka bila kuacha impact ya kimaendeleo halafu unafikiri zitaota tena! Uvumbuzi wa Olduvai gorge unatufaidisha nn sisi? Hili lina weza kuwa fuvu lililoletwa na maji kwani wale watu waliokufa ktk gharika waliishia wapi? Let's think objectively, utajiri wa kusema sema tu, hata Kenya wana magadi na yanawanufaisha zaidi kilimo almasi inavyofanya kwa Tanzania!

Maoni tu!
[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Tatizo sio kuwa na rasilimali nyingi, bali ni hizo rasilimali zinawanufaishaje watanzania na Taifa kwa jumla. Kumiliki rasilimali ni jambo moja na kufanya rasilimali hizo zinufaishe wengi ni jambo lingine
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
ati uanuiliza kama najua mpingo ni nini, boss i have successifuly sued people for cutting muvingo(mpingo) tree found on my land. i have had conversations with a cabinet secretary about that tree. i am intimately aware of the muvingo business in kenya. argue with me on anything else but not on the mpingo tree topic.
 
br mjibu mwenzako kwa hoja, mwenzako ameongea vizuri na wewe toa maneno mazuri
Kipi kizuri amesema? Kwani mimi nipo hapa kujibu watu. Huo ni umbumbumbu. Mimi nimetoa thread inayohusu Facts about Tanzania. Sasa unapouliza maswali ya kijinga unataka nikujibu nini!?

Mtu mwenye akili timamu hawezi akauliza maswali ya kipuuzi kama hayo. Sasa unaniuliza umaskini mimi nikufanyie nini!?
Nakuonesha fursa halafu unalalama kama kichaa unategemea nikufanyie nini!? Huo ni ujinga na kwenda out of topic.
 
ati uanuiliza kama najua mpingo ni nini, boss i have successifuly sued people for cutting muvingo(mpingo) tree found on my land. i have had conversations with a cabinet secretary about that tree. i am intimately aware of the muvingo business in kenya. argue with me on anything else but not on the mpingo tree topic.
Acha bra bra wewe!! Leta facts hapa, muvingo ni kitu gani hicho?
Hebu cheki hapa kwenye google
Google
 
Kipi kizuri amesema? Kwani mimi nipo hapa kujibu watu. Huo ni umbumbumbu. Mimi nimetoa thread inayohusu Facts about Tanzania. Sasa unapouliza maswali ya kijinga unataka nikujibu nini!?

Mtu mwenye akili timamu hawezi akauliza maswali ya kipuuzi kama hayo. Sasa unaniuliza umaskini mimi nikufanyie nini!?
Nakuonesha fursa halafu unalalama kama kichaa unategemea nikufanyie nini!? Huo ni ujinga na kwenda out of topic.
hahahahah hapo ndipo unapokosea

ok, mimi nakubali unanionyesha fursa, lakini kitu kimoja ambacho hutambui ni kwamba urasimu na ubadhilifu uliojaa kwenye taasisi zilizopewa dhamana zinafanya watu washindwe kuzifikia hizo fursa

mimi nakusapoti mia kwa mia kutangaza hizo fursa, ila nilikua natoa dukuduku kuwa it is very sad hatuwezi kuzifikia hizo fursa

au ulikuwa hutaki watu waeleze changamoto wanazoziona katika kuzifikia hizo fursa?
 
hebu angalia nchi kama china ambavyo wana utilize natural resources zao, hatuna budi na sisi tuige mfumo wa wenzetu katika udhibiti na usimamiaji wa rasilimali

kama wao wameweza nina amini na sisi pia tunaweza kusimamia vizuri rasilimali zetu ili zitunufaishe, na mwisho wa siku mabandiko kama yako na yenyewe yatakua na tija kwa taifa
 
oh and for the record that tree is found allover east and southern africa

and you got no shame posting that it is only found in tanzania. tanzanians will believe whatever bullshit CCM tells them. tanzanians lack the mental capacity and ability to research the validity of any information presented to them. and they wonder why kenyans call them danganyikans and bongolalas
 
hahahahah hapo ndipo unapokosea

ok, mimi nakubali unanionyesha fursa, lakini kitu kimoja ambacho hutambui ni kwamba urasimu na ubadhilifu uliojaa kwenye taasisi zilizopewa dhamana zinafanya watu washindwe kuzifikia hizo fursa

mimi nakusapoti mia kwa mia kutangaza hizo fursa, ila nilikua natoa dukuduku kuwa it is very sad hatuwezi kuzifikia hizo fursa

au ulikuwa hutaki watu waeleze changamoto wanazoziona katika kuzifikia hizo fursa?
Ndio maana nasema huo ni wehu na upumbavu. Na kujifanya mjuaji kumbe mpiga kelele tu. Vilevile usembe wa kichwani.
Tanzania ipo na eneo kubwa sana. Ardhi ipo bwelele, watu toka nje wanapokuja wanaitumia na kupata faida. Nyie mnabaki kupiga makelele kama vichaa, hamuoni na mnazidi kulalama. Kwanini watu kawaida toka nje anapokuja anaona fursa na kuitumia kisha anapata faida!!?

Huu upuuzi uliokaa kichwa unatakiwa uondolewe kwa nguvu, Sio wa kutetea hata kidogo. Maana maswali hayo ni ya watu wapumbavu wanaojifanya wajuaji.

Hapa tunaongelea Facts about Tanzania. Wewe unaleta issue out of topic. Tutakuchulia kwamba ni mtu usiye na direction kwamba unarukia rukia mada.
 
Still waiting to see if this is a blessing To benefit Tanzanians or a curse
Whatever you believe it will happen to you! Ukiwaza blessings zitakufuata mpaka kizazi cha nne ukiwaza laana basi nayo itahamia kwako mpaka kizazi cha nne!
 
hebu angalia nchi kama china ambavyo wana utilize natural resources zao, hatuna budi na sisi tuige mfumo wa wenzetu katika udhibiti na usimamiaji wa rasilimali

kama wao wameweza nina amini na sisi pia tunaweza kusimamia vizuri rasilimali zetu ili zitunufaishe, na mwisho wa siku mabandiko kama yako na yenyewe yatakua na tija kwa taifa
Unajua Historia ya china wewe au unabwabwaja tu hapa kama debe!!? Hapa tunaongelea facts about Tanzania. Anzisha thread hiyo ya kuongelea hayo. Usiharibu thread za watu na kuleta taarifa za kipumbavu.
 
Ndio maana nasema huo ni wehu na upumbavu. Na kujifanya mjuaji kumbe mpiga kelele tu. Vilevile usembe wa kichwani.
Tanzania ipo na eneo kubwa sana. Ardhi ipo bwelele, watu toka nje wanapokuja wanaitumia na kupata faida. Nyie mnabaki kupiga makelele kama vichaa, hamuoni na mnazidi kulalama. Kwanini wa kawaida toka nje anapokuja anaona fursa na kuitumia kisha anapata faida!!?

Huu upuuzi uliokaa kichwa unatakiwa uondolewe kwa nguvu, Sio wa kutetea hata kidogo. Maana maswali hayo ni ya watu wapumbavu wanaojifanya wanajuaji.

Hapa tunaongelea Facts about Tanzania. Wewe unaleta issue out of topic. Tutakuchulia kwamba ni mtu usiye na direction kwamba unarukia rukia mada.
yaah!! huenda mimi ni mpumbavu ila wewe mwerevu umeshindwa kuelewa kuwa watu wamechoshwa na matangazo yasiyo na tija

watu wana kiu na maendeleo ya kweli sio kutuambia fursa zipo halafu wanaopata na kunufaika nazo ni watu wachache
 
Watoto wa Primary school wa South Africa wanafundishwa kwamba binadamu wa kwanza na fuvu lake vilivumbuliwa South Africa.
 
Asante sana Anael kwa kutufumbua macho, hakika I'm totally proud and blessed to be part of my beautiful country Tanzania! Ehh Mwenye Mungu ibariki kwa baraka zote nchi yetu Tanzania!
 
Back
Top Bottom