Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

Daah japo nayajua mambo haya ila sina gal.. I'm guiding others to the treasure that i can't afford...
Confusion
With all due respect mr denvers
It is because hiyo siyo ramani sahihi so haipeleki mtu kwenye treasure na ndomana hata wewe imeshindikana kwako.
Wanawake wataisapoti sana njia yako lakini trust me IT DOES NOT WORK!!

Ni sawa na kumuuliza swala jinsi ya kuwindwa na simba.
mfano ukasema ili simba amwinde na kumpata swala inabidi awe mpole,mtaratibu,slow,humble na asiwe na tamaa
Inshort swala watakusapoti sana. Lakini simba atakayefata huo ushauri atakufa na njaa..
Truth is wanawake hawajui wanataka mwanaume design gan so hata wao hawajui wanataka nini na hayo mambo uliyoweka juu utaishia kuwa rafiki tu kwa mwanamke (friend zoned)
Na kama wewe ulishajaribu hizo utagundua Mara nyingi unaishia kuwa rafiki.

Uliposema psychological manipulation mimi nikajua huyu jamaa anajua halafu umeongea vice versa kabisa.
psychological manipulation nayoijua mimi ni tofauti na yako ya kitoto hiyo na ya kwangu ina results 100%

in short you are training guys how to stay single forever and how to be friend zoned.

Psychological manipulation nayoijua mimi ina uhakika wa kukuletea dem hiyo hiyo siku for one night stand na pia inakuletea wife atakayekupenda for all eternity.

Rai yangu kwa watanzania wanaosoma huu uzi:
Ukitaka kuwa mshindi wasikilize washindi wanafanyaje nawewe ufanye sio kusikiliza mtu aliyeshindwa anakuambia yeye ameshindwa ila anajua jinsi ya kushinda. utaishia kuwa mshindani na siyo mshindi.

NB:
I have had thousands of women in my life through my simple psychological manipulation formula lakini sisemi mimi ndo mshindi unisikilize NO!! nachosema sio lazima mimi lakini hata mtu yeyote unayemjua personally anafanikiwa kuwa na wanawake wazuri wanaomganda...muulize anafanyaje jifunze and copy from him

Women will hate me for this but hey! ukisema njia sahihi za simba kumkamata swala je swala watapenda??
 
Umemsemea jinsi ke kwa asilimia mia! We know what we want and we go for it Sema tu jamii me inapenda sana kutweza kila akifanyacho,akiwazacho, akipendacho mwanamke... na ndicho exactly unafanya hapa!.... na wanawake huwa wanawaachia tu mjione washindi, we don’t want to corrupt your male ego.
With all due respect mr denvers
It is because hiyo siyo ramani sahihi so haipeleki mtu kwenye treasure na ndomana hata wewe imeshindikana kwako.
Wanawake wataisapoti sana njia yako lakini trust me IT DOES NOT WORK!!

Ni sawa na kumuuliza swala jinsi ya kuwindwa na simba.
mfano ukasema ili simba amwinde na kumpata swala inabidi awe mpole,mtaratibu,slow,humble na asiwe na tamaa
Inshort swala watakusapoti sana. Lakini simba atakayefata huo ushauri atakufa na njaa..
Truth is wanawake hawajui wanataka mwanaume design gan so hata wao hawajui wanataka nini na hayo mambo uliyoweka juu utaishia kuwa rafiki tu kwa mwanamke (friend zoned)
Na kama wewe ulishajaribu hizo utagundua Mara nyingi unaishia kuwa rafiki.

Uliposema psychological manipulation mimi nikajua huyu jamaa anajua halafu umeongea vice versa kabisa.
psychological manipulation nayoijua mimi ni tofauti na yako ya kitoto hiyo na ya kwangu ina results 100%

in short you are training guys how to stay single forever and how to be friend zoned.

Psychological manipulation nayoijua mimi ina uhakika wa kukuletea dem hiyo hiyo siku for one night stand na pia inakuletea wife atakayekupenda for all eternity.

Rai yangu kwa watanzania wanaosoma huu uzi:
Ukitaka kuwa mshindi wasikilize washindi wanafanyaje nawewe ufanye sio kusikiliza mtu aliyeshindwa anakuambia yeye ameshindwa ila anajua jinsi ya kushinda. utaishia kuwa mshindani na siyo mshindi.

NB:
I have had thousands of women in my life through my simple psychological manipulation formula lakini sisemi mimi ndo mshindi unisikilize NO!! nachosema sio lazima mimi lakini hata mtu yeyote unayemjua personally anafanikiwa kuwa na wanawake wazuri wanaomganda...muulize anafanyaje jifunze and copy from him

Women will hate me for this but hey! ukisema njia sahihi za simba kumkamata swala je swala watapenda??
 
Umemsemea jinsi ke kwa asilimia mia! We know what we want and we go for it Sema tu jamii me inapenda sana kutweza kila akifanyacho,akiwazacho, akipendacho mwanamke... na ndicho exactly unafanya hapa!.... na wanawake huwa wanawaachia tu mjione washindi, we don’t want to corrupt your male ego.
Hahaha thats where the paradox lies..you think you know what you want but you really don't
Now Ask yourself this: why the guys that really love you end up being your best friend or someone that you dont really love as much back BUT the guys you really really love almost always end up hurting you?
 
Now you are mixing two things being hurt doesnt mean that one doesn’t know what he/she wants, they are totally different!

Hahaha thats where the paradox lies..you think you know what you want but you really don't
Now Ask yourself this: why the guys that really love you end up being your best friend or someone that you dont really love as much back BUT the guys you really really love almost always end up hurting you?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata mimi mwanzo wa uzi aliniteka nikajua labda ukimtaja jina tu huyo mwanamke anakutafuta mwenyewe na kukuganda,mwisho wa uzi anaanza kuweka milolongo mirefu ambayo ni zaidi ya kutongoza.
Wuuuuu nilijua nikakitu kama maneno mawili,

Mwajuma njoo, nakupenda
Tayar anakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Now you are mixing two things being hurt doesnt mean that one doesn’t know what he/she wants, they are totally different!
Unless you genuinely like being hurt.
But It means you go after what you think you don't like but you do like it.

Or are you implying that 99% of women go after what is inevitably going to hurt them but it has nothing to do with why they like or dislike it?
 
Let’s put it the other way round, does it mean that you men for that matter don’t get hurt because you know exactly what you want!
Unless you genuinely like being hurt.
But It means you go after what you think you don't like but you do like it.

Or are you implying that 99% of women go after what is inevitably going to hurt them but it has nothing to do with why they like or dislike it?
 
With all due respect mr denvers
It is because hiyo siyo ramani sahihi so haipeleki mtu kwenye treasure na ndomana hata wewe imeshindikana kwako.
Wanawake wataisapoti sana njia yako lakini trust me IT DOES NOT WORK!!

Ni sawa na kumuuliza swala jinsi ya kuwindwa na simba.
mfano ukasema ili simba amwinde na kumpata swala inabidi awe mpole,mtaratibu,slow,humble na asiwe na tamaa
Inshort swala watakusapoti sana. Lakini simba atakayefata huo ushauri atakufa na njaa..
Truth is wanawake hawajui wanataka mwanaume design gan so hata wao hawajui wanataka nini na hayo mambo uliyoweka juu utaishia kuwa rafiki tu kwa mwanamke (friend zoned)
Na kama wewe ulishajaribu hizo utagundua Mara nyingi unaishia kuwa rafiki.

Uliposema psychological manipulation mimi nikajua huyu jamaa anajua halafu umeongea vice versa kabisa.
psychological manipulation nayoijua mimi ni tofauti na yako ya kitoto hiyo na ya kwangu ina results 100%

in short you are training guys how to stay single forever and how to be friend zoned.

Psychological manipulation nayoijua mimi ina uhakika wa kukuletea dem hiyo hiyo siku for one night stand na pia inakuletea wife atakayekupenda for all eternity.

Rai yangu kwa watanzania wanaosoma huu uzi:
Ukitaka kuwa mshindi wasikilize washindi wanafanyaje nawewe ufanye sio kusikiliza mtu aliyeshindwa anakuambia yeye ameshindwa ila anajua jinsi ya kushinda. utaishia kuwa mshindani na siyo mshindi.

NB:
I have had thousands of women in my life through my simple psychological manipulation formula lakini sisemi mimi ndo mshindi unisikilize NO!! nachosema sio lazima mimi lakini hata mtu yeyote unayemjua personally anafanikiwa kuwa na wanawake wazuri wanaomganda...muulize anafanyaje jifunze and copy from him

Women will hate me for this but hey! ukisema njia sahihi za simba kumkamata swala je swala watapenda??
Man hii kitu inafanya kazi..mimi nilikua sina kwa sababu zangu binafsi..ila Hii njia inaweza leta matokeo mazuri. Hebu tuelekeze hiyo yako kidogo mkuu
 
Let’s put it the other way round, does it mean that you men for that matter don’t get hurt because you know exactly what you want!
For men its different....Men get hurt not because they dont go for what they want but because they dont know how to get what they want...so they be after what they really dont want and cant keep or get what they want.

Darling this isn't about what you do and don't want its about what you can have(For men) and what you crave (for women)

So when men know how to get and keep what they want (example my psychological manipulation formula) they simply dont get hurt.

In simple words women are emotional men are logical but we all know emotions can be manipulated psychologically if you know you know.
 
For men its different....Men get hurt not because they dont go for what they want but because they dont know how to get what they want...so they be after what they really dont want and cant keep or get what they want.

Darling this isn't about what you do and don't want its about what you can have(For men) and what you crave (for women)

So when men know how to get and keep what they want (example my psychological manipulation formula) they simply dont get hurt.

In simple words women are emotional men are logical but we all know emotions can be manipulated psychologically if you know you know.
Why don’t you bring that ” psychological formular” of yours in here, so that we know where exactly do you stand! As for me I see you playing with words intertwining them words.
 
Why don’t you bring that ” psychological formular” of yours in here, so that we know where exactly do you stand! As for me I see you playing with words intertwining them words.
Hahahah
 
Kuna mahala hujapatendea haki sifa za mtoto wa kike kumpenda mtu muda mwengine huja na psychology personalities.. kuna watu hupenda watu wajanja wajanja,mission town fulani watu wa namna fulani hivi wasiotulia!!
Wao hivyo ndo huwa wanapenda huwa wanawaona it's like there's something behind!! Like she wants to know you better Sasa hapo ndo njia ya kumpatia.

Mkuu hizo njia za kupoa sana wengine huwatii kwenye mikono yako tena wanawake wengine wakiona upo smart Sana kichwani ndo anajiona si type yake😂

Denvers

Nita guess vitu hivi toka kwako najua umeandika haya kwa weledi wa personality yako nikikosea kwamba hizi sio character zako sema.

Wewe ni introvert.
Wewe ni mtu fulani hivi mpole na mtaratibu.
Unaongea mwenyewe zaidi ama kwa kuwaza ama kuongea kabisa, tofauti na ukiwa na watu wengine.
Unapenda kusoma.
You want to understand people coz of your introvert personality yako(hili sidhani Kama utalielewa ila ukilitafakari zaidi utaelewa tu)
Niishiie hapo..
 
Kuna mahala hujapatendea haki sifa za mtoto wa kike kumpenda mtu muda mwengine huja na psychology personalities.. kuna watu hupenda watu wajanja wajanja,mission town fulani watu wa namna fulani hivi wasiotulia!!
Wao hivyo ndo huwa wanapenda huwa wanawaona it's like there's something behind!! Like she wants to know you better Sasa hapo ndo njia ya kumpatia.

Mkuu hizo njia za kupoa sana wengine huwatii kwenye mikono yako tena wanawake wengine wakiona upo smart Sana kichwani ndo anajiona si type yake😂

Denvers

Nita guess vitu hivi toka kwako najua umeandika haya kwa weledi wa personality yako nikikosea kwamba hizi sio character zako sema.

Wewe ni introvert.
Wewe ni mtu fulani hivi mpole na mtaratibu.
Unaongea mwenyewe zaidi ama kwa kuwaza ama kuongea kabisa, tofauti na ukiwa na watu wengine.
Unapenda kusoma.
You want to understand people coz of your introvert personality yako(hili sidhani Kama utalielewa ila ukilitafakari zaidi utaelewa tu)
Niishiie hapo..
Mkuu hujakosea..hawa wanawake sometimes hua hawatabiriki wala kueleweka wanataka nini hasa.
Ni kweli kila nachoandika humu hua naandika kutokana na jinsi navyokiwazia na kukichukulia kichwani. Kweli hayo uliyohisi kuhusu mm ni sahihi.
Hilo la chini kweli sijaelewa..kama ni Want au Need ( sijaelewa hiyo statement)
 
Kenzy kwa mtazamo wako hapo pa wasichana kupenda wajanja wajanja ni kweli ila kwa wasichana hili hutokea mara nyingi wakati wa kucheza/ mpito siyo pale anataka kutulia kwenye ndoa/ relationship ya maana.
Kuna mahala hujapatendea haki sifa za mtoto wa kike kumpenda mtu muda mwengine huja na psychology personalities.. kuna watu hupenda watu wajanja wajanja,mission town fulani watu wa namna fulani hivi wasiotulia!!
Wao hivyo ndo huwa wanapenda huwa wanawaona it's like there's something behind!! Like she wants to know you better Sasa hapo ndo njia ya kumpatia.

Mkuu hizo njia za kupoa sana wengine huwatii kwenye mikono yako tena wanawake wengine wakiona upo smart Sana kichwani ndo anajiona si type yake😂

Denvers

Nita guess vitu hivi toka kwako najua umeandika haya kwa weledi wa personality yako nikikosea kwamba hizi sio character zako sema.

Wewe ni introvert.
Wewe ni mtu fulani hivi mpole na mtaratibu.
Unaongea mwenyewe zaidi ama kwa kuwaza ama kuongea kabisa, tofauti na ukiwa na watu wengine.
Unapenda kusoma.
You want to understand people coz of your introvert personality yako(hili sidhani Kama utalielewa ila ukilitafakari zaidi utaelewa tu)
Niishiie hapo..
 
Mkuu hujakosea..hawa wanawake sometimes hua hawatabiriki wala kueleweka wanataka nini hasa.
Ni kweli kila nachoandika humu hua naandika kutokana na jinsi navyokiwazia na kukichukulia kichwani. Kweli hayo uliyohisi kuhusu mm ni sahihi.
Hilo la chini kweli sijaelewa..kama ni Want au Need ( sijaelewa hiyo statement)
"kila nachoandika humu hua naandika kutokana na jinsi navyokiwazia na kukichukulia kichwani"

Hicho ambacho hujakielewa umekielezea hapo,jinsi unavyochukulia kichwani.. kazia hapohapo ndipo utanielewa..

Ninaweza kuelewa mtu kutokana na anachokiandika na hapa naomba niishie hapa ila ukitaka nihoji majibu yapo kwenye avatar yangu😎😎
Ila usiitilie maanani itakuchanganya.😂
 
Kenzy kwa mtazamo wako hapo pa wasichana kupenda wajanja wajanja ni kweli ila kwa wasichana hili hutokea mara nyingi wakati wa kucheza/ mpito siyo pale anataka kutulia kwenye ndoa/ relationship ya maana.
Ulishawahi ona mapenzi ya sanguine to sanguine huwa yanakuwaje..?
Ukijua utajua nilichoandika..
 
Back
Top Bottom