Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

"kila nachoandika humu hua naandika kutokana na jinsi navyokiwazia na kukichukulia kichwani"

Hicho ambacho hujakielewa umekielezea hapo,jinsi unavyochukulia kichwani.. kazia hapohapo ndipo utanielewa..

Ninaweza kuelewa mtu kutokana na anachokiandika na hapa naomba niishie hapa ila ukitaka nihoji majibu yapo kwenye avatar yangu[emoji41][emoji41]
Ila usiitilie maanani itakuchanganya.[emoji23]
Acha kututisha hiyo avatar ya golden cd ambayo NASA waliituma space inahusianan nini apa?
 
Acha kututisha hiyo avatar ya golden cd ambayo NASA waliituma space inahusianan nini apa?
😂😂
Hakuna aliekutisha ni kuelewa tu ila itategemea umeelewa vipi nayo pia itapembua weledi wako😜
 
Hebu tuelekeze hiyo yako kidogo mkuu



Why don’t you bring that ” psychological formular” of yours in here,.
Psychological manipulation ime'base kwenye psychology and so ni very broad subject tukijaribu kuandika hapa thread zote zilizowahi kuwekwa jf hazitatosha.

But as an introduction unatakiwa ujue kuwa moyo hauplay part yoyote hapa ujue kuwa moyo ni kiungo na kazi yake kusukuma damu..ubongo ndiyo kila kitu.
Kwenye ubongo kuna consciousness and subconsciousness
We consciously think we make 100% of our decisions but most of them 98% are done subconsciously.
So kwenye hii psychological manipulation inabid ujue kumanipulate kwenye hizo level zote especially subconscious level.

Njia zako Denvers hazijaonesha any form of manipulation but with my formula you will make ur lover believe she/he loves you 100%.
It is the reason why yule mtu unayempenda ule upendo wa kweli unajikuta hujui sababu uliyompendea. unaweza kujitungia either ni smile yake,care yake,uzuri wake lakini unaweza kuta kuna mtu mwingine ana sifa kama hizo au zaidi ya hizo lakini humpendi.
It is because real love happens subconsciously na sio consciously

The key is to induce emotions and thoughts that you are the dreamboy/girl and she/he loves you..but being smart,polite and humble doesn't do that.


Sasa jinsi ya kuinduce hizo emotions and thoughts ni topic for another day but for now key concepts chache nimezitaja.

This works for all lovers,one nightstanders,marriages and friends for benefit
It works for all sanguines, introverts,ambiverts and extroverts all ages and shape without caring financial status

But haishauriwi kutumia hii njia for hit and run,one nightstander or friends for benefit kwasababu utajikuta unaumiza trail of women/men as it is very powerful.
Usitumie sumu ya nyoka kuua mende.
Niliyosema ni 0.000000000000000000001% ya psychological manipulation but you get the concept
 
Yaani we Citizen umefanya C &P ya Denvers’ post tena mbaya zaidi umeshindwa kutoa jibu la swali la msingi on how you induce those emotions to your “prey”

By the way this is in fact plagiarism per se ya kazi ya Denvers please acknowledge [emoji3]
Hahah very funny
FYI sijasema hata 0.00000001% ya how psychological manipulation is manifested.
Nimesema tu the results lakini sijaonesha the means.
Nilichodokeza kuhus means ni kuwa it is NOT what denvers has said i.e smartness,humbleness bla bla bla
Kwahyo unaposema ni c&p nakushangaa i am really confused
 
Yaani we Citizen umefanya C &P ya Denvers’ post tena mbaya zaidi umeshindwa kutoa jibu la swali la msingi on how you induce those emotions to your “prey”

By the way this is in fact plagiarism per se ya kazi ya Denvers please acknowledge [emoji3]
Na nilichogundua ni kuwa wew client unafikiri im bluffing
Let me tell you this...psychological manipulation yangu nayosemea sio "easy trick" ya kufanya au ''easy handout" it is actually very very complicated but simple when you master it through practice.
It is not an easy formula for two sentences but rather includes various concepts for various situations and all concepts are like meat held together by a backbone which is a four step procedure to completely manipulate a mind.

Sio kitu cha kujua ndani ya siku moja hata ukikesha library but ukishakijua utaweza kucapture na kuteka moyo wa mtu yeyote within minutes.

Sio easy handbook kwasababu it contains years of researches done by thousands of psychologists,biologists and economists
You will be mesmerized kwasababu one of the founding father of this formula is dr. franz mesmer yes ndo tukapata neno mesmerized, mesmerizing etc.

Sio kitu simple kama unavyofikiri
Ina vitu vingi ndani yake
~Tinkerbell effect
~Game theory
In many perspectives
~Biological Perspective
~Cognitive Perspective.
~Behavioral Perspective.
~Psychodynamic Perspective.
~Humanistic & Existential Perspective
~Community-Cultural Perspective.

But simplified in four easy steps.
But im not going to tell you how psychological manipulation is manifested kwasababu i feel like im not obligated to and it will be like giving out war weaponry to a disco fight.

Labda mtu ambaye ntamfikiria ni yule
1.marriage problems(amaeoa/kuolewa lakini ana matatizo ndani ya ndoa)
2. Anatafuta mke/mume lakini anakumbana na matatizo

wengine kama hawa playboys aise mtanisamehe.

Ps:kuna watu ambao naturally wanakua na huo uwezo wa kumanifest psychological manipulation na kuinduce emotional thoughts of manipulation to a victim na hawa ndo wale wanakua Playboys unakuta mtu sura ya mkaa na hela hana lakini anapiganiwa na warembo au mwanamke mbovu lakini anagombaniwa na wanaume
Wao wameimaster hii naturally through their life experiences although kama hawajasoma utakuta amejitahidi sana anakuwa kwenye 25%.
Kwahyo ukijifunza hii hata kama ulikuwa 0% in love affairs utajikuta umepata mzigo wenyewe 100% it will turn a ho into a housewife a nerd into a pimp.

Ukiijua utajua why people that are loved are loved (it is not because they are smart and humble)
Watu smart and humble wanakuwa respected not loved please learn the difference.
 
But im not going to tell you how psychological manipulation is manifested kwasababu i feel like im not obligated to and it will be like giving out war weaponry to a disco fight.

Hii itakuwa ni siri kubwa sana ya kilingeni umefanya na maagano makali sana ya kutoitoa....
Ahsante kwa kupoteza my precious little time...
 
Na nilichogundua ni kuwa wew client unafikiri im bluffing
Let me tell you this...psychological manipulation yangu nayosemea sio "easy trick" ya kufanya au ''easy handout" it is actually very very complicated but simple when you master it through practice.
It is not an easy formula for two sentences but rather includes various concepts for various situations and all concepts are like meat held together by a backbone which is a four step procedure to completely manipulate a mind.

Sio kitu cha kujua ndani ya siku moja hata ukikesha library but ukishakijua utaweza kucapture na kuteka moyo wa mtu yeyote within minutes.

Sio easy handbook kwasababu it contains years of researches done by thousands of psychologists,biologists and economists
You will be mesmerized kwasababu one of the founding father of this formula is dr. franz mesmer yes ndo tukapata neno mesmerized, mesmerizing etc.

Sio kitu simple kama unavyofikiri
Ina vitu vingi ndani yake
~Tinkerbell effect
~Game theory
In many perspectives
~Biological Perspective
~Cognitive Perspective.
~Behavioral Perspective.
~Psychodynamic Perspective.
~Humanistic & Existential Perspective
~Community-Cultural Perspective.

But simplified in four easy steps.
But im not going to tell you how psychological manipulation is manifested kwasababu i feel like im not obligated to and it will be like giving out war weaponry to a disco fight.

Labda mtu ambaye ntamfikiria ni yule
1.marriage problems(amaeoa/kuolewa lakini ana matatizo ndani ya ndoa)
2. Anatafuta mke/mume lakini anakumbana na matatizo

wengine kama hawa playboys aise mtanisamehe.

Ps:kuna watu ambao naturally wanakua na huo uwezo wa kumanifest psychological manipulation na kuinduce emotional thoughts of manipulation to a victim na hawa ndo wale wanakua Playboys unakuta mtu sura ya mkaa na hela hana lakini anapiganiwa na warembo au mwanamke mbovu lakini anagombaniwa na wanaume
Wao wameimaster hii naturally through their life experiences although kama hawajasoma utakuta amejitahidi sana anakuwa kwenye 25%.
Kwahyo ukijifunza hii hata kama ulikuwa 0% in love affairs utajikuta umepata mzigo wenyewe 100% it will turn a ho into a housewife a nerd into a pimp.

Ukiijua utajua why people that are loved are loved (it is not because they are smart and humble)
Watu smart and humble wanakuwa respected not loved please learn the difference.

Khiiii
 
Hii itakuwa ni siri kubwa sana ya kilingeni umefanya na maagano makali sana ya kutoitoa....
Ahsante kwa kupoteza my precious little time...
Sio ata siri i just don got the time or the patience to tell u because i know according to our African customs y'all (women) are the prey Amen.
And so it will be useless training a deer how to catch and feed on deers.
 
Salute
Around mwaka 2017 mkuu Rakims alileta uzi unaoitwa “Jinsi ya kumuita mtu jua linapozama na linapo
chomoza
“ mimi kama mchangiaji wa kawaida nilielezea jinsi mimi navyofahamu kuhusina na kumwita mtu unayempenda au kumfanya mtu unayempenda akupenda..It was some magical stuffs and spells
based… Im not witchcraft sorcerer but I know how to do and manipulate some magical spells but I don’t
practice them.

Mambo yote niliyoelezea kwenye uzi huo ni kweli na yanafanya kazi, waweza mpata yoyote umtakaye lakini njia ya mkato hua ina madhara au kila kitu hua na hasara zake so katika mambo hayo ni kweli unaweza mpata yoyote lakini kumbuka Yule mtu uliyempata unakua umempata kwa njia isiyo
halali..Dawa na mambo yale unayomfanyia yanaenda kumfunga akili muhusika unakua unamfanya utakavyo kiufupi unakua umemtia kama uzezeta Fulani au kama msukule Fulani. Mwisho wake ipo siku
mtu huyo atatoka kwenye kifungo hiko. Then you can guess the quencequences

Toka kipindi hiko nimekua napokea jumbe mbalimbali watu wakiulizia kama tunaweza fanya kitu, Upande wangu nakua nashindwa kuwasaidia kwakua sipendi kujihusisha na mambo haya ya giza nataka yabaki kama experience tu ya viti navyofahamu maishani. Basi mimi nilipenda leo tujadiliane njia mbalimbali zinazoweza kutupatia mpenzi uliyekua unampenda na unatamani siku moja awe wako wa
maisha..Nitatumia Psychological Manipulation, jinsi ya kumpata umpendae kwa kumteka kihisia na kiakili.

Kwanza kabisa ili uweze tengeneza computer inakubidi uelewe jinsi mifumo na vifaa vyote vilivyomo ndani ya Computer na jinsi vinavyofanya kazi..Chukulia mwili wa binaadamu ni Computer nzima, ubongo ni Processor,Monitor (kioo) ni Moyo. So inakua hivi unapomuona mtu unayempenda moyo hudunda haraka haraka mwili unajaa uoga pengine hua mtu anatoka hadi jasho usoni , hii inafanya watu wengi
tunaamini kua Upendo/Mapenzi yanatoka au yanakaa moyoni. Jibu ni NOOOO! Mapenzi hayakai moyoni wala hayatoki moyoni, moyo hauhusiani kabisa nawewe kumpenda mtu, moyo hua unafanya kazi ya kusukuma damu tu! Pia unatoa output ya Upendo.

Ubongo umegawanyika katika maeneo mbalimbali , ndani ya ubongo kuna sehemu inayoitwa
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…

Emotions zinakaa ndani ya Akili (Mind, kumbuka mind ipo ndani ya Ubongo) hivyo basi kupitia Limbic system Love
Emotions hutafsiriwa na kutolewa huko kwenye Moyo kama output Device.

NB. Mambo haya nitakyoelezea hapa yanaweza kufanywa na mtu wa jinsia yoyote, ila nimeegemea kwa jinsi ya kumpata mwanamke kwakua mwanamke ndio tamaduni yake kiafrika kutafutwa na mwanaume.

Je nifanyeje ili kumpata nimpendae…?

Ili kumpata mtu unayempenda baada ya kujua kua hisia za mapenzi ya mtu zinakaa kwenye Mind inabidi
ucheze na Mind ya muhusika na ukiweza kufanya hivyo nakuhakikishia utampata yoyote umtakae.
Unachotakiwa kufanya ni kua mvumilivu maana mazuri hua yankuja polepole ukiwa umayatolea jasho.
Yafuatayo ni mambo makuu matatu ambayo ukiyafanya una uwezo wa kumpata hata Beyonce kama una
ukaribu nae..
  • Kindness (Wema)
Hapa tunaweza kusema kua ni mtu kua mwema na kufanya matendo ya wema na huruma, matendo hayo yanaweza kua Uaminifu,Loyality,Heshima,Kua Romantic nk. Kama unampenda mwanamke Fulani
tafuta kila njia uwe karibu nae, jua anavyopendelea na matatizo aliyonayo. Ukishamfahamu anza kumfanyia matendo ya wema kama Kumjulia hali, kusimama nae katika shida alizonazo, mtembelee, mtoe out, fanya kila kitu kuonyesha jinsi gani unavyomjali ,unamthamini, unamlinda,unamheshimu,nk.
mind ya kila binaadamu imewekea Wema, so Unapomfanyia mtu matendo ya wema unakua unaivuta
mind yake kujenga na attention kwenye mind yako.

Baada ya kua unamfanyia matendo ya wema mwanamke mind inaanza kutengeneza Emotions juu yako
kwakua unakua umekua umeigusa kwa kufanya vitu ambavyo Mind imeumbiwa kufanya na kufanyiwa.
Baadae zile emotions zitakua zinatolewa kutoka kwenye Mind na kupelekwa kwenye ile sehemu ya ubongo inayoitwa limbic system kisha moyo utakua unatoa outup sasa juu yako jinsi Mind inavyokufeel.

Ndio pale sasa ukimfanyia kitu Fulani anahuzunika pengine anaweza hata kulia kutokana na jinsi jinsi gani matendo yako yanvyogusa mind yake. Mwisho utakua ume win moyo wake kama tulivyozoea kusema lakini kiuhalisia ni Mind yake ndio unakua umeu-win. Utakua umejipatia mpenzi wa ndoto zako.

Hii njia inaweza kua ndefu, yenye vikwazo na yenye kukatisha tama, so itumie hii njia kwa Yule ambae
unayeona ndio wako wa maisha kama akikubalia ila kama unataka ku hit and run hii njia utaona ni
usumbufu na mzunguko mkubwa. Pia kuna vitu baadhi unaweza kuvitumia wakati unatekeleza hio njia,
vitakusaidia kuongeza point 3 muhimu katika kumteka moyo/akili mrembo huyo umtakae. Vitu hivyo ni..

  • Humbleness
Kua mtu usiye na makuu, hujikwezi,msikivu nk. Wanawake wanapenda watu ambao hawana makuu, sio
wabishi bishi kwa kila kitu, sio mr misifa. Humbleness ni bure kabisa waweza kuimudu bila kutumia
ghalama yoyote ile, Heshimu mwenzako hisia na mawazo yake. Akikuambia sitaki kutoka leo
usilazimishe, muda mwingine inabidi ujifanye mjinga ili uweze kutimiza malengo yako.
  • Be smart
Kua smart kichwani sio kila muda wewe mdomo wako unafyatua maneno yasiyo na staha au ya kihuni..Play smart and wise. Unaweza kua smart kichwani ila huna hekima, ukiwa na smart kua wise
katika vitendo na maongezi yako. Trust me ladies wengi wanapenda mno Man ambaye yupo vizurii kichwani akichambua kitu anakichambua . Jitambue kama mwanaume smart ambae unaweza
kumwongoza mwanamke pamoja na watoto mtakaowapata kama ikitokea mmeingia ndani ya ndoa! Kua
smart kichwani utapendwa na kila mwanamke.

NB. Katika maansishi yangu nimetaja Mwanaume sio Boy na mwanamke sio girl nikimaanisha kua njia hi itumiwe na watu wenye commitment na ndoa sio wanaotaka kufanya ngono na kuondoka. Kama utakua
unamuhitaji mtu kwa ajili ya ndoa hii njia itakua rahisi na utaweza kuvumilia usumbufu utakai upata si
unajua mambo mazuri huchelewa ili kukupima uwezo wako wa kuvumilia.
All the best MEN.

The End…
~Da’Vinci.
El maestro.
Nyc
 
Salute
Around mwaka 2017 mkuu Rakims alileta uzi unaoitwa “Jinsi ya kumuita mtu jua linapozama na linapo
chomoza
“ mimi kama mchangiaji wa kawaida nilielezea jinsi mimi navyofahamu kuhusina na kumwita mtu unayempenda au kumfanya mtu unayempenda akupenda..It was some magical stuffs and spells
based… Im not witchcraft sorcerer but I know how to do and manipulate some magical spells but I don’t
practice them.

Mambo yote niliyoelezea kwenye uzi huo ni kweli na yanafanya kazi, waweza mpata yoyote umtakaye lakini njia ya mkato hua ina madhara au kila kitu hua na hasara zake so katika mambo hayo ni kweli unaweza mpata yoyote lakini kumbuka Yule mtu uliyempata unakua umempata kwa njia isiyo
halali..Dawa na mambo yale unayomfanyia yanaenda kumfunga akili muhusika unakua unamfanya utakavyo kiufupi unakua umemtia kama uzezeta Fulani au kama msukule Fulani. Mwisho wake ipo siku
mtu huyo atatoka kwenye kifungo hiko. Then you can guess the quencequences

Toka kipindi hiko nimekua napokea jumbe mbalimbali watu wakiulizia kama tunaweza fanya kitu, Upande wangu nakua nashindwa kuwasaidia kwakua sipendi kujihusisha na mambo haya ya giza nataka yabaki kama experience tu ya viti navyofahamu maishani. Basi mimi nilipenda leo tujadiliane njia mbalimbali zinazoweza kutupatia mpenzi uliyekua unampenda na unatamani siku moja awe wako wa
maisha..Nitatumia Psychological Manipulation, jinsi ya kumpata umpendae kwa kumteka kihisia na kiakili.

Kwanza kabisa ili uweze tengeneza computer inakubidi uelewe jinsi mifumo na vifaa vyote vilivyomo ndani ya Computer na jinsi vinavyofanya kazi..Chukulia mwili wa binaadamu ni Computer nzima, ubongo ni Processor,Monitor (kioo) ni Moyo. So inakua hivi unapomuona mtu unayempenda moyo hudunda haraka haraka mwili unajaa uoga pengine hua mtu anatoka hadi jasho usoni , hii inafanya watu wengi
tunaamini kua Upendo/Mapenzi yanatoka au yanakaa moyoni. Jibu ni NOOOO! Mapenzi hayakai moyoni wala hayatoki moyoni, moyo hauhusiani kabisa nawewe kumpenda mtu, moyo hua unafanya kazi ya kusukuma damu tu! Pia unatoa output ya Upendo.

Ubongo umegawanyika katika maeneo mbalimbali , ndani ya ubongo kuna sehemu inayoitwa
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…

Emotions zinakaa ndani ya Akili (Mind, kumbuka mind ipo ndani ya Ubongo) hivyo basi kupitia Limbic system Love
Emotions hutafsiriwa na kutolewa huko kwenye Moyo kama output Device.

NB
. Mambo haya nitakyoelezea hapa yanaweza kufanywa na mtu wa jinsia yoyote, ila nimeegemea kwa jinsi ya kumpata mwanamke kwakua mwanamke ndio tamaduni yake kiafrika kutafutwa na mwanaume.

Je nifanyeje ili kumpata nimpendae…?

Ili kumpata mtu unayempenda baada ya kujua kua hisia za mapenzi ya mtu zinakaa kwenye Mind inabidi
ucheze na Mind ya muhusika na ukiweza kufanya hivyo nakuhakikishia utampata yoyote umtakae.
Unachotakiwa kufanya ni kua mvumilivu maana mazuri hua yankuja polepole ukiwa umayatolea jasho.
Yafuatayo ni mambo makuu matatu ambayo ukiyafanya una uwezo wa kumpata hata Beyonce kama una
ukaribu nae..
  • Kindness (Wema)
Hapa tunaweza kusema kua ni mtu kua mwema na kufanya matendo ya wema na huruma, matendo hayo yanaweza kua Uaminifu,Loyality,Heshima,Kua Romantic nk. Kama unampenda mwanamke Fulani
tafuta kila njia uwe karibu nae, jua anavyopendelea na matatizo aliyonayo. Ukishamfahamu anza kumfanyia matendo ya wema kama Kumjulia hali, kusimama nae katika shida alizonazo, mtembelee, mtoe out, fanya kila kitu kuonyesha jinsi gani unavyomjali ,unamthamini, unamlinda,unamheshimu,nk.
mind ya kila binaadamu imewekea Wema, so Unapomfanyia mtu matendo ya wema unakua unaivuta
mind yake kujenga na attention kwenye mind yako.

Baada ya kua unamfanyia matendo ya wema mwanamke mind inaanza kutengeneza Emotions juu yako
kwakua unakua umekua umeigusa kwa kufanya vitu ambavyo Mind imeumbiwa kufanya na kufanyiwa.
Baadae zile emotions zitakua zinatolewa kutoka kwenye Mind na kupelekwa kwenye ile sehemu ya ubongo inayoitwa limbic system kisha moyo utakua unatoa outup sasa juu yako jinsi Mind inavyokufeel.

Ndio pale sasa ukimfanyia kitu Fulani anahuzunika pengine anaweza hata kulia kutokana na jinsi jinsi gani matendo yako yanvyogusa mind yake. Mwisho utakua ume win moyo wake kama tulivyozoea kusema lakini kiuhalisia ni Mind yake ndio unakua umeu-win. Utakua umejipatia mpenzi wa ndoto zako.

Hii njia inaweza kua ndefu, yenye vikwazo na yenye kukatisha tama, so itumie hii njia kwa Yule ambae
unayeona ndio wako wa maisha kama akikubalia ila kama unataka ku hit and run hii njia utaona ni
usumbufu na mzunguko mkubwa. Pia kuna vitu baadhi unaweza kuvitumia wakati unatekeleza hio njia,
vitakusaidia kuongeza point 3 muhimu katika kumteka moyo/akili mrembo huyo umtakae. Vitu hivyo ni..

  • Humbleness
Kua mtu usiye na makuu, hujikwezi,msikivu nk. Wanawake wanapenda watu ambao hawana makuu, sio
wabishi bishi kwa kila kitu, sio mr misifa. Humbleness ni bure kabisa waweza kuimudu bila kutumia
ghalama yoyote ile, Heshimu mwenzako hisia na mawazo yake. Akikuambia sitaki kutoka leo
usilazimishe, muda mwingine inabidi ujifanye mjinga ili uweze kutimiza malengo yako.
  • Be smart
Kua smart kichwani sio kila muda wewe mdomo wako unafyatua maneno yasiyo na staha au ya kihuni..Play smart and wise. Unaweza kua smart kichwani ila huna hekima, ukiwa na smart kua wise
katika vitendo na maongezi yako. Trust me ladies wengi wanapenda mno Man ambaye yupo vizurii kichwani akichambua kitu anakichambua . Jitambue kama mwanaume smart ambae unaweza
kumwongoza mwanamke pamoja na watoto mtakaowapata kama ikitokea mmeingia ndani ya ndoa! Kua
smart kichwani utapendwa na kila mwanamke.

NB. Katika maansishi yangu nimetaja Mwanaume sio Boy na mwanamke sio girl nikimaanisha kua njia hi itumiwe na watu wenye commitment na ndoa sio wanaotaka kufanya ngono na kuondoka. Kama utakua
unamuhitaji mtu kwa ajili ya ndoa hii njia itakua rahisi na utaweza kuvumilia usumbufu utakai upata si
unajua mambo mazuri huchelewa ili kukupima uwezo wako wa kuvumilia.
All the best MEN.

The End…
~Da’Vinci.
El maestro.
Tafuta pesa achana na uzinzi.
 
Back
Top Bottom