Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..


Kijana wangu ndoa ni pana sana haingalii kitu kimoja tu, ndiyo maana ndoa inaitwaa taasisi yani ina mambo yake yanahitaji mambo ya ziada, uliyoyelezea hapo juu ni ngumu japo ukijaribu ndiyo utaumia zaidi, wanaume wengi wanaoua ni kwasababu ya kufuata hayo uliyoyaeleza, ndoa sio jambo dogo eti,
 
”Money makes a MAN but LOVE is a hustle, you know who you love but don’t know who loves you!” ~Fid Q.
 
Ubaya ni kwamba mwandishi yuko single.

Mimi nahisi mwandishi anashida na yeye hajajua kinachomsumbua ndo maana anapata stress.

Ebu muone mwanasaikolojia.

Mimi niko njiani kumuona maana watz wengi tuu-vichaa
 
Naomba nitoa comments kwanza ndio nisome content.
Wanaume,TAFUTENI PESA. UTAMPATA MKE UNAYEMTAKA NA UTAMFANYA UTAKACHO.
 
Savimbi, upo sahihi maana hata alivyoelezea mleta mada hapo vyote vinaangukia kwenye Matumizi ya Pesa
 
Pamoja na kuandika yote haya but I'm still Single, Singular.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…