Fahamu gunduzi kubwa zilizoanza kuvumbuliwa Afrika (Misri) kabla ya Wazungu

Fahamu gunduzi kubwa zilizoanza kuvumbuliwa Afrika (Misri) kabla ya Wazungu

Hao jamaa africa wapo kwa bahati mbaya.
North Africa wote walitakiwa wawe ulaya na asia..
Ndo mana hata corona inawababua kama wapo ulaya na asia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamisri wanaosemwa siyo hawa waarabu waliohamia haya ya Magreb. Angalia hiyo miili iliyohifadhiwa ndio utajua wakazi halisi wa haya maeneo. Vita ya kikoloni na uvamizi wa waarabu waliharibu na kupoteza historia nzima ya Egypt ya kale.
 
Mesopotenia ndio civilization ilianza
 
Back
Top Bottom