FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka si ndio unaisha huu?Mwaka jana makamba alitangaza vita na hii mifuko na kusema mwishon mwa mwaka huu ndo itakuwa mwisho wa matumizi yake nchini...
Mwaka 2018 huu umeshaanza, Makamba na Makonda hawajatimiza ahadi zao, na hakuna daliliEeeh
😀😀😀😀Hiyo namba 2 wakiisikia hao jamaa (mashoga) itakuwa ndio kisingizio chao na watachoma hiyo mifuko kupita maelezo ili watuambukize.
Mbona Makamba anawaambukiza kila kukicha na wapo kimya😀😀😀😀
Unadhani ni kwanini serikali inalifumbia macho suala hili? Rushwa?Ni lethal walahi!
Mola atusaidie!