Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki

Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki

 
 
Tunasubiri kwa hamu upigwaji marufuku mwezi July
 
 
Yule kijana waziri mdogo aliyejifanya anasubiri wadau na machakato wa upembuzi yakinifu yabisi bado atafanya huo mkutano na hao watu wake?
 
Yule kijana waziri mdogo aliyejifanya anasubiri wadau na machakato wa upembuzi yakinifu yabisi bado atafanya huo mkutano na hao watu wake?
Huo mkutano ulikuwa ni zuga tu, na JPM alishasema hataki mawaziri wa michakato, huyu ni anakwenda na maji..!
 
 
2.) Matatizo ya homoni za jinsia (Ushoga na usagaji)
Kemikali ya 'Dioxin' ambayo hupatikana kwenye moshi wa taka za plastiki zilizochomwa, endapo itavutwa kwa njia ya hewa na mtoto mchanga, utafiti umeonyesha kwamba inaweza ikasababisha mfarakano katika mfumo wa homoni za jinsia kwa mtoto huyo.

Mtoto wa kiume anaweza akaja kuanza kuonyesha tabia za mtoto wa kike, na mtoto wa kike anaweza akaanza kuonyesha tabia za mtoto wa kiume hapo baadae, hivyo kupelekea kuongezeka kwa mashoga na wasagaji katika jamii.
Kwenye majumba yetu ambako kila siku hutumia mifuko hiyo kuwashia moto hali ikoje kama ni kweli hicho ulichokinukuu?
 
 
Back
Top Bottom