Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
mkuu huko kufika ni kazi sana yaani una pita juu ya makontena mara juu ya nguzo mara kwenye reli yaani ni vurugu tupu. we muulize k camp anapajua vizuri tuView attachment 1301906
duh huku bado sijafika ingawa nipo Divine Champion hawajanipa Mji wa 3
wala Scania au Volvo siyaoni moja nijikongoje