Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha RAM iwe na na angalau na 6GBNatumia computer ya Toshiba C50-B : processor : intel(R) pentium (R) CPU N3550 @ 2.16GHz (4CPUs) ~2.2GHz na display ni intel(R) HD graphics . Current na cheza Euro truck version 1.32.3s .swali ni je kwa izo specification naweza kucheza euro truck 1.34 au 1.35 ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona daraja unalivuka wakati RED ya empty tank inakuita na safari bado sana 🙆♂️ 😀Wazee, hii Map ya Honduland ina shida gani nimeweka fast level na money mod hazifanyi kazi naishia kupwea Euro 200,000 tu na level hazipandi wala nini.View attachment 1305354
popote kwenye Game la Hondulandia usichukue haya maCaterpiller au crane kwani yanachukua eneo (Cubic) zinazozidi teller, hivyo ni lazima utakwangua milima na majabaliwajameni ukikutana na mission ya kubeba trekta kama hili hondula usichukue kwani lina mateso
Wazee, hii Map ya Honduland ina shida gani nimeweka fast level na money mod hazifanyi kazi naishia kupwea Euro 200,000 tu na level hazipandi wala nini.View attachment 1305354
Natumia computer ya Toshiba C50-B : processor : intel(R) pentium (R) CPU N3550 @ 2.16GHz (4CPUs) ~2.2GHz na display ni intel(R) HD graphics . Current na cheza Euro truck version 1.32.3s .swali ni je kwa izo specification naweza kucheza euro truck 1.34 au 1.35 ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio ramani bora na nzuri kwa mwaka huu na pia ndio ngumuView attachment 1305700View attachment 1305701View attachment 1305702
Unajua nn mkuuETS2 1.36.2.2s(Road To Black Sea)
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.www.mediafire.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Me ram Ni 2gb linachezaHakikisha RAM iwe na na angalau na 6GB
chini ya hapo ni shida, utasumbbuliwa na steam au kugoma kabisa
wajameni naombeni tusaidiane kutafuta mod za map zifuatazo 1] MAP EMMI 2] MAP D'EXTREME nimezidownload kupitia ETS2.LT na all mod lakini zimeingia kama virus tafadhali mwenye link ya maana atupitishie hapa
Unajua nn mkuu
Zile link zakwanza zilikua zinakupeleka direct kweny torrent sas his zinadonload kwa defaults apps
Unafanyaje ili iende kwenye torrent
kelphin kepph
Me ram Ni 2gb linacheza
kelphin kepph
Hiv ram inafanya linakua jepesi auYes ets2 minimum ram ni 2,ila ukitaka kuenjoy ni kuzidid 4 kwenda juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv ram inafanya linakua jepesi au
kelphin kepph
Mkuu pc yangu ikifanya kaz muda furan inazima inaleta hi error sijui ata nfanyajeView attachment 1305872
kelphin kepph
Level 1
Level 1
Sent from my SM-G532F using Tapatalk