Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Nimepiga kama trip 3,,kajitahd kidgo...ila honduland funga mwaka[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ucpo kuwa ni deleva makini kabisa wa ets2. maeneo haya haupiti ng'o
 

Attachments

  • ets2_20191225_102319_00.png
    1.7 MB · Views: 3
  • ets2_20191225_100735_00.png
    1.5 MB · Views: 3
Mkuu maelezo jinsi ya kutumia map zingine fata step zote nmepost kweny uzi

Kuhusu setup ,tumia tulizo post hapa

Tumiaa hii link kushusha game

Mkuu kcamp samahani naomba kujua hv ukisha install game hzo map unafanyaje ili zi work kwny game lako na je hyo program ya ets2 unaweza kutumia hz link kuipakua? Namaanisha km huna kabisa program kwny pc

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iasee hapa nilkula mzinga sikurud tena kupita..ngoja nkfanye mpango niparudie

hapo treller mbona kule mbele kuna barabara imepita chini ya mamiti mpaka giza, km urefu wa kilomita 40 hivi naona kuna mashetani, mm mpaka PC inagoma maana ina stuck, nikadhani ni resolution nikaenda rekebisha wapi
sasa ukitoka kule Pantano kwenda Hundutopia na mzigo (ukibakiza 1113 km) kuna mti nimeuangusha hampiti (namkumbuka Machibya alivyoliacha Truck London akasema tutalikuta) sijui nani anapita kwa speed ya 40km msitu huo Duh sirudi sasa mpaka mwaka kesho
kweli Hondulandia ni kibok wa hizi ETS-2 funga mwaka 2019
cc The coolest jw, kata shime officiar huo msitu wa mashetani hamjakutana nao huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…