Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Naombeni utaratibu wa kubadili lugha kutoka Russia to English. Nili-unstall game sababu nilipiga windows chini, nilipo-install tena game, nilitick kabisa kwenye bendera ya marekani iwe ndio lugha nitakayoitumia, lakini game lilipomaliza kuinstall lugha iliyokuja ni hiyo Russia,. Nimejaribu mara mbili kuistall lakini hali inajirudia hiyohiyo.
View attachment 1344020
ndiyo mkuu nilikwama kabisa. na tena cha ajabu ndo kwanza goba anazidi kupolomosha map za hatari hata zaidi ya peru
mkuu hiyo ni version ngapi iyo isiyo support modNikipata muda kesho nitatupia akaunti yangu hapa,na garage kama 40 na truck mia na kitu,na hapo na miezi 4 sijacheza hii game kutokana na ubusy,kitu kimoja tu kinaniboa siwezi kutumia mods,nilijaribu sana lakini sikufanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
hii hapa ya v 1.36 Download green bangladesh map
ndiyo mkuu nilikwama kabisa. na tena cha ajabu ndo kwanza goba anazidi kupolomosha map za hatari hata zaidi ya peru
naona russian baikal ipo kabisa tena ni v 1.36. sema hapa jamaa kaandika ki russian YouTube
Nikipata muda kesho nitatupia akaunti yangu hapa,na garage kama 40 na truck mia na kitu,na hapo na miezi 4 sijacheza hii game kutokana na ubusy,kitu kimoja tu kinaniboa siwezi kutumia mods,nilijaribu sana lakini sikufanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
DAAH huyu jamaa. mwisho wake utafika tu ngoja atulingishieYani hapo hadi ulipie membership kwa goba mwenyew ndio unapata access ya kuingia kweny web yao hyo ili kupakua Mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ila una moyo. mimi siwezi kabisa kucheza ETS2 bila modNikipata muda kesho nitatupia akaunti yangu hapa,na garage kama 40 na truck mia na kitu,na hapo na miezi 4 sijacheza hii game kutokana na ubusy,kitu kimoja tu kinaniboa siwezi kutumia mods,nilijaribu sana lakini sikufanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikitulia itabidi unipe darasa la jinsi ya kuingiza mod kiumakini zaidi 😀Hongera mkuu..ila sisi Humu tunaipiga map tunahama..yani huo muda kwa kukusanya garage na magar hatuna [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasapoti sema sijajua namna ya kuinstall modsmkuu hiyo ni version ngapi iyo isiyo support mod
Nipe link ni download iyo sound chapEbwana skilizeni hii V8 sound..yani hadi sichoki kupush huu mndinga wanguView attachment 1361637
Sent using Jamii Forums mobile app
DAAH huyu jamaa. mwisho wake utafika tu ngoja atulingishie
mkuu ila una moyo. mimi siwezi kabisa kucheza ETS2 bila mod
Nikitulia itabidi unipe darasa la jinsi ya kuingiza mod kiumakini zaidi [emoji3]
Hivi ili game ni kwa wenye laptop au hata sisi wa smartphone tunaweza cheza
Sent using Jamii Forums mobile app