kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #1,321
Hii picha nilipost makusud..hapa hapapitik kirahis sjui gari inakwama wapi...mwanzo nilihisi ni bug kwamba huez endelea zaid ya hapo...ila nikatoa trailer kichwa kikapita....basi nikaangaika wee hadi nikapita...
Then nikaja funga engene mod kwaiyo napita kwa kuvuta sana gari...hapo nahis kuna jini halitaki gari zipite[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Then nikaja funga engene mod kwaiyo napita kwa kuvuta sana gari...hapo nahis kuna jini halitaki gari zipite[emoji16]
View attachment 1300340
Mkuu kcamp naona una Volvo Globetrotter hapo kwenye kichaa (hawa wanaozurura barabarani nawagonga tu la sivyo kumkwepa ni mweleka) huyo anayeongoza gari mm ndio mwisho wangu hapo nimekwama na Caterpiller linakwama sijui mti Jiwe au huyo jmaa namgonga nimezima Game nitarudi baadae nipo na Volvo ndogo sijanunua bado sijui wanataka Level gani
Sent using Jamii Forums mobile app