Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

Sasa apa mbn tutakoma
 
Nilishawahi kupewa Kisa Kimoja na Mganga wa Kienyeji, kisa ni kirefu...

Straight to the point alinambia Pesa inayotumika kwenye Ulimwengu wa Kichawi ni tofauti na Tunayotumia Duniani!

Kwamba kwenye Ulimwengu wa Kichawi, unakuta Binti wa Miaka 15, ina Pesa ya Kichawi inayofika 50 Millions....!

Na pia Wachawi wanapata hizo pesa kwa kutumikishwa na Wachawi wenzao kazi za Kichawi, kama kwenda kusaidia Kufukua Mtu makaburini, kusaidia kwenda kuwanga Majumbani, ama kutafuta Vitendea kazi vyao Mahospitalini.... Je Utafiti wako ni kweli!?
Miongoni mwa vifaa vinavyotumika kukusanyia pesa za wachawi ni 'Kambuma' (pembe ya Paa), ambayo hutumiwa kuiba pesa kutoka kwa watu. Pesa za kichawi hazitumiki uraiani.
Kwa nini pesa za kichawi zinaibwa kutoka Uraiani ila hazitumiki tena Uraiani!?
 
Sasa wanga wanajiusisha na mambo ya Giza na hawapatani na Nuru (mwanga)kwani ni wanaitwa mwanga/wanga na siyo jina linaloendana na mambo ya giza?
Pana mshirikina,mwanga, mchawi, shetani ni watu wawili tofaut wanatofautiana madaraja tu.
Mwanga ni level ndogo ukitoka mwanga unakuwa mchawi, ukitoka level ya mchawi unapanda daraja unakuwa shetani
 

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, kuna thread ulisema kuwa huamini sana habari za uwepo wa jehanum... Hapa naona kama upo positive sana nalo
 
Hiyo Moto Moto museum ipo wapi? Kiingilio chake kikoje.
 
Uchawi upo katikati ya tabaka la maskin sana. Wao ndo wanaendelza Mila kale na maendeleo yao mazito sana... Unawez kupata hela Leo ukaanza kuumwa kesho na huponi mpaka hela iishe
 
Kuna baadhi y waganga wanawanga nao. Kuna waganga wana visa sana. Akikutibia anakuingiza kwenye mauza uza badala ya kupona yeye anakugeuza kuwa mteja wa kudumu
 
Huu utakuwa usafiri Bora kuwahi kutokea kwenye sekta ya usafirishaji,swali langu Je nitaruhusiwa kuendelea na shughuli zangu kesho yake mchana?
Kwenda marekani inabidi ule karanga za kutosha mana wese likikata njiani unapiga puri chapchap uliongezee. Mana mafuta ya ndege hiyo ni mbegu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…