Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
kwani kuna brand zaidi ya moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuna brand zaidi ya moja?
hivi hizi scrub za kwenye masaluni wanatumia mafuta ya asili hayo uliyoyataja auSabuni African blacksoap or maakari shower gel
Mafuta huwa napaka ya Nazi(yasiyopikwa) vilevile natumia snail repairing cream
Usoni napakaa serum Aina mbili ya snail golden au yenye argan +vitamin E oil
Scrub natumia yenye kahawa mdalasini na kungumanga or yenye mchanganyiko wa mchele oats na asali
Pia huwa natumia cleanser walau Mara 1 kwa week na toner pia.
Mask natumia clay yenye matcha/spirulina(inategemea siku hiyo najisikia kutumia ipi)
Mnywaji mzuri wa maji mengi na juice carrot
[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
e bwana eee!! mask ndo niniNatumia Thayers Toner & Pixi Glow Tonic
Lotion - Dr. Organic, but zamani nilikua natumia Shea Butter au Cocoa Butter... Shea Butter ina faida zaidi, nitarudia kutumia Shea Butter soon.
Every week nafanya Mask
Aztec Indian Healing Clay namix na Apple Cider Vinegar, ni nzuri mno.
Scrub natumia ya Tea Tree & witch Hazel.
chocolate kama hiyo kwenye dp?nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
ngozi za mafuta ndo zipiYan haya Mambo ya ngozi mpk umepata the best kwenye ngonzi umeangaika hatari hasa sisi wenye ngozi za mafuta
ngozi ya mafuta ndo ipojeYaani wewe mimi kabisa na ngozi yangu ya mafuta ndio maana nimetulia kwenye boutour naona kidogo imeupenda uso wangu
umebadilika rangi?
yule binti uliyekuwa unamtaftia kazi alishapata?Nivea for Men
kwa nini unaondoa na maji?napaka alovera jelly
baada ya nusu saa naondoa na maji
kama nipo nyumbani napaka mafuta ya nazi
kama natoka napaka lotion ya rinju ambaye ina mchanganyiko wa shea butter
ngozi inakuwa ya kung'aa inavutia na kupendeza
yanaitwaje nikanunue?Mie natumia yale yakupika!
Kama uko Dar nikuelekeze kwa mtu mwenye duka la cosmetics alinisaidia sana. Nilikuwa na uso usio na shukran, amenipa losheni nzuri, unamwambia tatizo lako anakuchagulia losheni /body cream anayoona itakufaa kulingana na shida yako, nimekuwa soft sana, mpaka watu wananiuliza napaka nini... Amewasaidia pia rafiki zangu na wameona matokeo mazuri.
Kama uko mkoani anakusudia pia, kama ni bidhaa anakutumia kwa bus.
Ukiwa tayari nipm nikupe contacts zake
umebadilika rangi?
Bado natumiahiyo kitu bado unatumia au imeisha?
ya nazi unayachanganya na mafuta mengine au unapaka yenyewe peke ake?
Sabuni hapo pichani natengeneza na namfundisha wengine kutengeneza ,tunatumia caustic soda, mise au mbosa, silicate na aunt zainab natural clayWeeh😘..mnatengenezaje na kwakutumia Nini
Sorry sauni ni nini? Or ulimaanisha sabuni
😀chocolate kama hiyo kwenye dp?