Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Sabuni African blacksoap or maakari shower gel
Mafuta huwa napaka ya Nazi(yasiyopikwa) vilevile natumia snail repairing cream

Usoni napakaa serum Aina mbili ya snail golden au yenye argan +vitamin E oil

Scrub natumia yenye kahawa mdalasini na kungumanga or yenye mchanganyiko wa mchele oats na asali

Pia huwa natumia cleanser walau Mara 1 kwa week na toner pia.

Mask natumia clay yenye matcha/spirulina(inategemea siku hiyo najisikia kutumia ipi)

Mnywaji mzuri wa maji mengi na juice carrot

[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi hizi scrub za kwenye masaluni wanatumia mafuta ya asili hayo uliyoyataja au
 
Natumia Thayers Toner & Pixi Glow Tonic
Lotion - Dr. Organic, but zamani nilikua natumia Shea Butter au Cocoa Butter... Shea Butter ina faida zaidi, nitarudia kutumia Shea Butter soon.

Every week nafanya Mask
Aztec Indian Healing Clay namix na Apple Cider Vinegar, ni nzuri mno.
Scrub natumia ya Tea Tree & witch Hazel.
e bwana eee!! mask ndo nini
 
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
chocolate kama hiyo kwenye dp?
 
napaka alovera jelly
baada ya nusu saa naondoa na maji
kama nipo nyumbani napaka mafuta ya nazi
kama natoka napaka lotion ya rinju ambaye ina mchanganyiko wa shea butter
ngozi inakuwa ya kung'aa inavutia na kupendeza
kwa nini unaondoa na maji?
 
Sabuni mshindi mafuta korie ila natamani nianze kutumia ya Nazi ila sijajua brand ipi ndo mazuri
 
Kwa promo hii muuzaji ni wewe mwenyewe.
Kama uko Dar nikuelekeze kwa mtu mwenye duka la cosmetics alinisaidia sana. Nilikuwa na uso usio na shukran, amenipa losheni nzuri, unamwambia tatizo lako anakuchagulia losheni /body cream anayoona itakufaa kulingana na shida yako, nimekuwa soft sana, mpaka watu wananiuliza napaka nini... Amewasaidia pia rafiki zangu na wameona matokeo mazuri.

Kama uko mkoani anakusudia pia, kama ni bidhaa anakutumia kwa bus.

Ukiwa tayari nipm nikupe contacts zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weeh😘..mnatengenezaje na kwakutumia Nini
Sorry sauni ni nini? Or ulimaanisha sabuni
Sabuni hapo pichani natengeneza na namfundisha wengine kutengeneza ,tunatumia caustic soda, mise au mbosa, silicate na aunt zainab natural clay
 
Back
Top Bottom