Fahamu jinsi ya kuwasiliana na Viziwi kwa njia ya Alama

Fingers spell au tahajia ya vidole ,hutumika kuelezea majina ya mtu au sehemu .au misamiati isiyo na alama. Kuhusu sentensi lugha ya alama ni tofauti na kiswahili . Kwenye LAT unafikishwa ujumbe muhimu tu . Na sio sentensi nzima
Upo sahihi
 
Fingers spell au tahajia ya vidole ,hutumika kuelezea majina ya mtu au sehemu .au misamiati isiyo na alama. Kuhusu sentensi lugha ya alama ni tofauti na kiswahili . Kwenye LAT unafikishwa ujumbe muhimu tu . Na sio sentensi nzima
Kumbe nawe nawe ni mdau wa elim maalum??
 
Ngoja nitawapa link ya kamusi ya lugha ya alama ambayo ndio pendekezwa.
 
Pia nikipata fursa nitawatumia na Vitabu vya kuanzia kujifunza lugha ya alama ni rahisi ka una nia ila ni ngumu kama huna nia.
 
Vitabu itabid mvumilie kdg maana mb ni shida kdg. Nikiwa vzr nitawatumia . Tuwe tuna kumbushana
 
Pia kuna group la chuo kikuu huria tawi la Tabora wanafundisha lugha ya alama kuanzia mwanzo kabisaaaa hasa kwa wanaoanza linawafaa kabisaaa maana awamu ya kwanza walianza na alphabets,numbers na kuunganisha herufi na kuunda sentensi..
Kwa awamu ya kwanza walimaliza ila mwisho wa mwezi huu tena wataanza kufundisha. Wakikaribia kuanza nitawajuza ili mkajiunge mfaidike. Pia muwe mnanikumbusha wakuu.
Asanteni
 
Naomba niwatumie kwanza hii yenye mb ndg SIKU ZA WIKI.
 

Attachments

  • VID-20241006-WA0000.mp4
    9 MB
Mkuu PM yangu inashida nashindwa kusoma jumbe zilizotumwa wala mm kutuma . I remember tulipanga kuwasiliana jana
Yah ni kweli mkuu. Maana nimeku PM but msg haijasomwa.
Naomba unipe njia ya kuwasiliana nawe.
 
Dole la kati kumbe haipo
 
Namba
 

Attachments

  • ni_sehemu_ya_kuweza_kujua_lugha_ya_alama_karibu_Jifunze_namba_kwa_lugha_ya_alama(360p).mp4
    3.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…