Fahamu jinsi ya kuwasiliana na Viziwi kwa njia ya Alama

Fahamu jinsi ya kuwasiliana na Viziwi kwa njia ya Alama

Neno Bubu hua c vema kulitumia,maana wenyewe viziwi hawalipendi Na endapo akijua umemwita yy Bubu hapo kidg kutakua Na shida.tumia neno kiziwi ndo maana sahihi.
Kwani kiziwi na bubu ni ulemavu wa aina moja? Nilikuwa nafahamu bubu ni mtu asiyeweza kuongea na kiziwi ni mtu asiyeweza kusikia
 
Kwani kiziwi na bubu ni ulemavu wa aina moja? Nilikuwa nafahamu bubu ni mtu asiyeweza kuongea na kiziwi ni mtu asiyeweza kusikia
Yah bubu na kiziwi ulemavu wao ni wa aina moja japo kuna tofauti inayowatofaitisha japo c kubwa.
 
Nimewahi kuomba kozi ya BAESE pale OUT,nikaghairi kuendelea nayo.

Sijui niirudie.
 
Mkuu naweza kupata email yako? kuna vitu nataka nikuulize kuhusu lugha ya alama. Pia nahitaji hiko kitabu kinachohusu Tanzania sign language.
 
Mkuu naweza kupata email yako? kuna vitu nataka nikuulize kuhusu lugha ya alama. Pia nahitaji hiko kitabu kinachohusu Tanzania sign language.
Ucjal nitakupatia hio.
Ila Vitabu vya lugha ya alama vipo vingi ,ila kuna kamusi ya lugha ya alama iliyotayarishwa na Chavita kama sikosei. Ukihitaji nenda ofisi za chavita mkoa au wilaya yyte waombe ila unaweka oda then watakuletea baada ya muda.wanauza sh. 12000 kwa kamusi.Vitabu hivi navyotumia navyo vimeandaliwa na chavita ila c kikubwa kama ile kamusi. Ukikihitaj unatoa photocopy maana vinatolewa kwa taasis tu hawaviuzi.ukihitaji utapatiwa msaada.
Muhimu:- lugha ya alama hata ukipata kitabu kuna alama zingne lazma uelekezwe namna ya kutumia(kuonesha). Ila ni rahs kujifunza na kujua ilimrad tu ufanye mazoez ya Mara kwA mara.
 
Leo tuendelee waungwana.
ac36367a15a53c4608e31cb06189ed3b.jpg
52fd642a0972e57342e480a7bcc93d93.jpg
88c56b6b86a9b5e4e9b5abc78cf5cab2.jpg
5eeb0122d42e01dabb753e98e2f53ddb.jpg
706cc77d92e88e81dcfdd0504f572702.jpg

Karibuni darasani.
 
Habari za saizi wakuu,

Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo.

Lugha ya alama nini?

Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe kwa jamii kwa hadhira iliyokusudiwa na jamii husika.

Lugha ya alama imegawanyika katika makundi mawili;

1. Alama kwa njia ya herufi (alphabet)
2. Alama kwa njia ya ishara.

Katika mada hii ntaongelea zaidi kipengele cha kwanza ambacho ni ALAMA KWA NJIA YA HERUFI..

Kwanini?

Kwa sababu kipengele hiki ni rahisi kumfundisha mtu aliye mbali na akaelewa mfano hapa JAMII FORUMS.

Kipengele cha pili hufundishwa MUBASHARA .

Tulisongeshe,

ALAMA KWA NJIA YA HERUFI (ALPHABET)

Herufi A, B, C,D,E,F,G, H,I,J, K, L, M,N,O mpaka Z huweza kuandikika kwa kutumia vidole vyetu.

Mbinu gani hutumika?

Mbinu zitumikazo hapa ni kukunja vidole kwa kufuata umbo la herufi husika.

Mfano herufi "C" ukitizama katika picha hapo chini utaona KIDOLE GUMBA na vidole vingine vimekunjwa kuunda shape ya herufi C. Utaratibu huu pia hutumika katika kuandika herufi zinazo fuata.

NB: Herufi "I" na "J" katika picha utaona kama zinafanana, utaratibu wa kuzitofautisha upo hivi, UKITAKA KUANDIKA HERUFI J ANZA KWA KUANDIKA HERUFI ,"I" THEN KUWA KAMA UNACHORA HERUFI J HEWANI.

72453ddd3ee3cd7b225040237ac64135.jpg

55ac6f54a4f4accaf3df94ff08e5cb9d.jpg


Wakuu TUMIENI umakini kuchunguza MIKUNJO YA VIDOLE pamoja na alama husika mtagundua mikunjo ya vidole na imekunjwa kwa kufuata UMBO LA HERUFI HUSIKA. Mfano mzuri tizameni herufi Y.

HERUFI HIZI HUTUMIKA JE?

Herufi hizi hutumika kwa kuandika neno au maneno uliyokusudia kwa mhusika (kiziwi) kwa kufuata herufi tajwa hapo juu katika picha.

Jaribu sasa kwa kuanza na maneno kama DADA, KAKA, MAMA, BIBI n.k,
Ni rahisi sana na utaweza kuwasiliana au kuongea na kiziwi yeyote.

Karibuni kwa nyongeza , maoni, hoja na maswali.

Ahsanteni.
Santee,,
 
Leo tena tuendelee kujifunza lugha ya alama
67db7f7ee44e422a2943e2635827e0d0.jpg
7ea9153f18d4ff3697fda2f31ec5ffed.jpg
04734ed55becdece1e6640c855ba43e9.jpg
30bf804b1805f407d0c44287031e07ae.jpg
ba7169dc4a993f13154639c68a5b80fb.jpg
37fbb288a5e3d68dbe02d220f16c5580.jpg
 
Inshaallah mungu akipnda kesho nitajitahid niweke na video kuonyesha jinsi ya kutumia maneno yoote niloyaweka toka mwanzo.ila itakua kidgo kidg.
 
Habari za saizi wakuu,

Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo.

Lugha ya alama nini?

Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe kwa jamii kwa hadhira iliyokusudiwa na jamii husika.

Lugha ya alama imegawanyika katika makundi mawili;

1. Alama kwa njia ya herufi (alphabet)
2. Alama kwa njia ya ishara.

Katika mada hii ntaongelea zaidi kipengele cha kwanza ambacho ni ALAMA KWA NJIA YA HERUFI..

Kwanini?

Kwa sababu kipengele hiki ni rahisi kumfundisha mtu aliye mbali na akaelewa mfano hapa JAMII FORUMS.

Kipengele cha pili hufundishwa MUBASHARA .

Tulisongeshe,

ALAMA KWA NJIA YA HERUFI (ALPHABET)

Herufi A, B, C,D,E,F,G, H,I,J, K, L, M,N,O mpaka Z huweza kuandikika kwa kutumia vidole vyetu.

Mbinu gani hutumika?

Mbinu zitumikazo hapa ni kukunja vidole kwa kufuata umbo la herufi husika.

Mfano herufi "C" ukitizama katika picha hapo chini utaona KIDOLE GUMBA na vidole vingine vimekunjwa kuunda shape ya herufi C. Utaratibu huu pia hutumika katika kuandika herufi zinazo fuata.

NB: Herufi "I" na "J" katika picha utaona kama zinafanana, utaratibu wa kuzitofautisha upo hivi, UKITAKA KUANDIKA HERUFI J ANZA KWA KUANDIKA HERUFI ,"I" THEN KUWA KAMA UNACHORA HERUFI J HEWANI.

72453ddd3ee3cd7b225040237ac64135.jpg

55ac6f54a4f4accaf3df94ff08e5cb9d.jpg


Wakuu TUMIENI umakini kuchunguza MIKUNJO YA VIDOLE pamoja na alama husika mtagundua mikunjo ya vidole na imekunjwa kwa kufuata UMBO LA HERUFI HUSIKA. Mfano mzuri tizameni herufi Y.

HERUFI HIZI HUTUMIKA JE?

Herufi hizi hutumika kwa kuandika neno au maneno uliyokusudia kwa mhusika (kiziwi) kwa kufuata herufi tajwa hapo juu katika picha.

Jaribu sasa kwa kuanza na maneno kama DADA, KAKA, MAMA, BIBI n.k,
Ni rahisi sana na utaweza kuwasiliana au kuongea na kiziwi yeyote.

Karibuni kwa nyongeza , maoni, hoja na maswali.

Ahsanteni.
Shukran kwa elimu
 
Hizo kuna bubu flani alinifundisha zamani kidogo, basi kila tukikutana tulikuwa tunapiga story na tunacheka kabisa yaani.

Ukizizoea zinakuwa tamu sana, sasa uwakute mabubu wanaongea hehe. Jamaa hata kama ulijifunza lazima utoke kapa vyenye wanazipeleka fasta.
Hahahahhahahahahaa hatar sn
 
Kwa faida ya wale wanaotaka kujifunza lugha ya alama ya Tanzania waende CHAVITA kununua kamusi ya lugha ya alama na santuri ya video (Video CD). Hakika ni rahisi sana kujifunza lugja ya alama.
Wanapatikana wapi chavita,mim nahitaj sana kujifunza
 
Back
Top Bottom