Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu. Ila nataka tuanze kujifunza maneno ya kuanzia kama salam tutakwenda ado ado . Nitakua naweka picha za matendo na nitaanza na kitabu cha 1 maneno karibu yote tutajifunza.Mkuu niko powa,
Somo la namba ni zuri sana pia kama utaweza ongezea na jinsi ya kuhesabu pesa na wakati (saa),
Nami pia nitakuwa naongezea kile ninachokifahamu.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ok mkuu. Ila nataka tuanze kujifunza maneno ya kuanzia kama salam tutakwenda ado ado . Nitakua naweka picha za matendo na nitaanza na kitabu cha 1 maneno karibu yote tutajifunza.
Mkuu haionekani vizuri
Bila shaka ni Moshi TechHii elimu mimi nilipata kipindi nasoma miaka ya zamani sekondari flani ya ufundi kule kaskazini.
Ndio mkuu,Bila shaka ni Moshi Tech
Ndio Boss mdau piaNdio mkuu,
Nawewe ulipita tech?
Ww weka ukweli wako na si kubishana hapa. Hapa twaelekezana.Huo uongo mkubwa,lugha ya kutumia Ishara ndo yaweza,kuwa universal,ila syo hiyo ya herufi maana wafaranya na Kiswahi WAP na WAP ....think BG before answering
Mkuu haionekani vizuri