Fahamu Kazi ya briefcase inayobebwa na walinzi wa raisi au viongozi wakubwa.

Fahamu Kazi ya briefcase inayobebwa na walinzi wa raisi au viongozi wakubwa.

Angalia na msafara wa kiongozi unavyoheshimu walipa Kodi kwenye nchi za wenzetu.
 
Angalia na msafara wa kiongozi unavyoheshimu walipa Kodi kwenye nchi za wenzetu.
View attachment 3188016
Kwetu inakuwa ngumu kwasabu ya teknolojia, hao jamaa Wana body scanner plus street cameras,
Hapo wote wanaovuka zebra wapo scanned kama Wana silaha na wanajua kama una weapon ambayo Iko registered or unregistered ili kuidentify threat, Kuna clip Moja kipindi cha Obama, Kuna jamaa alikuwa kwenye upande wa raia na kahold pistol afu safi,
ila sisi tuna jammer zinazo jam communication n.k ndiomana huwezi jikuta unavuka zebra na convoy inataka ipite, utakuwa huna wakumlaumu.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Briefcase za Hawa wa kwetu Huwa na pesa ili kutoa rushwa kwenye makongamano Yao ili waendelee kubakia madarakani
Jichanganye tu umewah shuhudia crew ya msafara wa kiongozi yeyote mkubwa wakipakia au kupakua mizigo hasa akiwa anasafir airport?
 
Siku ikifika haijalishi briefcase au bullet proof ni siku yako tu
Kama yaliyomkuta MWENDA ZAKE! Alikuwa anatoka Dodoma kwenda Chato, kwa njia ya barabara, kwa gharama kubwa sana! Magari zaidi ya 60. Karibia nusu yake, ni ya ulinzi. Angani, Helkopta mbili, ambazo nazo zinafuata mwendo wa magari. Lakini….waaaapiiiii, JOGOO AKAFA KWA UTITIRI!
 
Wengi tumekuwa tukiona walinzi wa viongozi wakubwa wakibeba briefcase na kufikiri Huwa wanabeba documents lakini kazi kubwa ni zaidi ya kubeba documents.
Briefcase hutumika kama silaha na pia vile vile bullet proof wakati wa shambulio hatarishi linapotokea, na uwezo wa kuunfold ni within seconds.
View attachment 3187997
Protection details zimejigawa kulingana na protocol ambazo wanatumia walinzi husika, kwahiyo usije ukajichanganya,

View attachment 3187995

Briefcase ambayo Huwa ni silaha ndani yake hubeba bunduki za aina mbalimbali zenye uwezo wa kuhold risasi zaidi ya 30.
View attachment 3187994

Nadhani ni lazima uwe umewiva sana kutumia hilo begi.maana snipers wanaweza kukudungua na begi lako umelishika liskashindwa kufunguka.
 
Asante kwa taarifa

Ulinzi bila YESU KRISTO ni bure kabisa
Yesu asema,sikutumwa ila kwa kondoo wa nyumba ya Israeli,,upande mwingine asema mnataka kuniua mimi MTU nk nk,,hivyo mnakosea sana kumfananisha au kumuita yesu ni mungu.
 
Naamini ile ya mama muda wote inakuwa na mkeka wa pdf...
 
Nadhani ni lazima uwe umewiva sana kutumia hilo begi.maana snipers wanaweza kukudungua na begi lako umelishika liskashindwa kufunguka.
Sio mahususi Kwa kuzuia sniper attack ila sniper akikosa shabaha begi laweza tumika kuzuia further attack.
 
Naamini ile ya mama muda wote inakuwa na mkeka wa pdf...
Tatizo hatuna capacity ya kuwa na silaha zinazoweza kuwa launched Kwa code. Wenzetu Mfano USA briefcase hutumika pia kama detonator.
Mfano Russia kama submarine hazina mawasiliano na government ikiwa serikali imecollapse Kwa kuwa attacked bas subs zilizodeploy zinaweza rusha nukes na kubomb Dunia nzima bila hata order ya raisi, ikiwa tu wameconfirm nchi yao imesambalatishwa.
 
Back
Top Bottom